Maghembe akataa taarifa ya mhandisi
WAZIRI wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe, ameikataa taarifa ya hali ya utoaji wa huduma ya maji kwa Mkoa wa Kilimanjaro iliyosomwa na Mhandisi wa Maji wa mkoa huo, Immaculate Rafael,...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo27 Jan
RC akataa taarifa ya ujenzi maabara Kilosa
MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Dk Rajab Rutengwe ameikataa taarifa ya ujenzi wa maabara ya Wilaya ya Kilosa kutokana na utekelezaji wake kusuasua na kuagiza kukamilishwa ndani ya Machi mwaka huu.
9 years ago
Mtanzania04 Nov
Mhandisi jela kwa rushwa
NA BEATRICE MOSSES, BABATI
MHANDISI wa maji katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu mkoani Manyara, Baslid Mlay, amehukumiwa kifungo cha miaka sita jela au kulipa faini ya Sh milioni 1.5 baada ya kupatikana na hatia ya kuomba rushwa ya Sh milioni saba.
Katika kesi hiyo ya jinai namba 118 ya mwaka 2013, Mlay ambaye alishtakiwa kwa tuhuma sita, alitiwa hatiani kwa makosa matatu ambapo kila kosa alihukumiwa kwenda jela miaka miwili au kulipa faini ya Sh 500,000.
Akisoma hukumu hiyo mjini Babati,...
11 years ago
Tanzania Daima29 Mar
DC Mpanda amtolea uvivu mhandisi
MKUU wa Wilaya ya Mpanda, Paza Mwamlima, amempa siku saba Mhandisi wa Ujenzi wa Halmashauri ya Mji wa Mpanda, Albert Kinyando, kuhakikisha jengo la Ofisi ya Mtendaji wa Kata ya...
11 years ago
Habarileo15 Jan
Mwanri amsimamisha kazi mhandisi
NAIBU Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Aggrey Mwanri amemsimamisha kazi Kaimu Mhandisi wa Halmashauri ya Wilaya ya Itilima mkoani Simiyu, Paschal Manyama.
11 years ago
Mwananchi04 May
Mr Bean: Mhandisi anayezeekea kwenye vichekesho
9 years ago
Mwananchi25 Dec
Waziri Muhongo akerwa na mhandisi wa maji
10 years ago
Habarileo02 Mar
Mwanri achefuka viwango vya mhandisi
NAIBU Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Aggrey Mwanri ametilia shaka uwezo wa kitaaluma na kiutendaji wa Mhandisi wa ujenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko, Ngonyani Ngonyani na hivyo kuagiza kupatiwa taarifa zake binfasi na vyeti vyake.
10 years ago
Mwananchi03 Nov
Mhandisi apewa siku 14 kukamilisha mradi
11 years ago
Mwananchi02 Jul
Mhandisi asisitiza barabara ya Arusha —Mara itajengwa