Mhandisi asisitiza barabara ya Arusha —Mara itajengwa
>Mpango wa ujenzi wa barabara ya lami inayounganisha mikoa ya Arusha na Mara utaendelea kama ilivyotangazwa na Serikali isipokuwa katika eneo la kilometa 53 lililoko katika Hifadhi ya Serengeti.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziWARATIBU WA TARURA WA MIKOA WATAKIWA KUFANYA UKAGUZI WA MARA KWA MARA KATIKA MADARAJA NA BARABARA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bcR5gI3u_Bc/XqBwJ7w5nCI/AAAAAAALn2M/SBP5e8FfrmEd1OFPBtogYY8yGCiQck44QCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200422-WA0049.jpg)
DC ATOA SIKU SABA KWA MHANDISI WA JIJI LA ARUSHA KUWEKA MAJI KWENYE JENGO LA KITUO CHA AFYA MURIET
![](https://1.bp.blogspot.com/-bcR5gI3u_Bc/XqBwJ7w5nCI/AAAAAAALn2M/SBP5e8FfrmEd1OFPBtogYY8yGCiQck44QCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200422-WA0049.jpg)
Mkuu wa wilaya na kamati ya ulinzi na usalama ya Jiji la Arusha wakikagua madarasa kwenye Shule ya Sekondari Sombetini jijini Arusha Jana picha na Ahmed Mahmoud Arusha.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/IMG-20200422-WA0046.jpg)
Mkuu wa wilaya ya Arusha Gabriel Daqarro akiongea mara baada ya kukagua ujenzi wa madarasa kwenye Shule ya Sekondari Sombetini na kutoa siku Saba kwa mhandisi kuhakikisha wanaweka maji kwenye kituo Cha Afya huku akipongeza Ujenzi wa madarasa hayo na kutaka yakamilike kwa wakati picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/IMG-20200422-WA0043.jpg)
Afisa elimu...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-S4FNTAwxH6w/U8Wa_ZjCgCI/AAAAAAAF2kk/vg7Zv_T7HpU/s72-c/unnamed+(7).jpg)
DKT.MAGUFULI AIBUKIA MKOA WA NJOMBE, ASISITIZA BARABARA ZA KWENDA LIGANGA ZIKAMILIKE NDANI YA MUDA ULIOPANGWA
9 years ago
StarTV07 Oct
Magufuli asisitiza amani na utulivu kwa mkoa wa Arusha
Mgombea urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dokta John Magufuli ameonya kuwa kuendelea kwa vitendo vya vurugu mkoani Arusha huenda kukaharibu sifa ya mkoa huo ambao unaheshimika kitaifa na kimataifa.
Dokta Magufuli amesema heshima ya Mji huo imeifanya Tanzania kujulikana zaidi duniani kuwa nchi yenye amani na utulivu ingawa sasa vitendo vya vurugu mkoani humo vinahofiwa kuipoteza sifa hiyo.
Mbio za kuusaka urais kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM zimemfikisha Dokta John Magufuli katika...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-d7V225kTUiI/U7mlXF0-YRI/AAAAAAAFvVI/GxaiKSbOisQ/s72-c/unnamed+(7).jpg)
Dk.MAGUFULI AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA BARABARA ZA USAGARA - KISESA NA MAKUTANO - NATTA MKOANI MWANZA NA MARA
![](http://2.bp.blogspot.com/-d7V225kTUiI/U7mlXF0-YRI/AAAAAAAFvVI/GxaiKSbOisQ/s1600/unnamed+(7).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-cn86ZwhcxKk/U7mlYLS3vII/AAAAAAAFvVc/5x2pihJ4L4Y/s1600/unnamed+(8).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-llEPyVQHvQA/U7mlYEr1w6I/AAAAAAAFvVg/HtmGe1xf-Xw/s1600/unnamed+(9).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZqU637KVQfs/U7mlWwjoyoI/AAAAAAAFvVM/DvEDl1jCt60/s1600/unnamed+(10).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-prFe0IwzjMs/VfhpmsGhVNI/AAAAAAAH5EA/CxQHt6U7i4I/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS AADHIMISHA KILELE CHA SIKU YA MARA (MARA DAY) BUTIAMA MKOANI MARA
![](http://3.bp.blogspot.com/-prFe0IwzjMs/VfhpmsGhVNI/AAAAAAAH5EA/CxQHt6U7i4I/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-tsiZAHkOin0/VfhpxGyMqRI/AAAAAAAH5Eg/rSdPFad4r4M/s640/2.jpg)
11 years ago
Habarileo11 Feb
Mvua yakata barabara Dar - Arusha
MVUA kubwa zilizonyesha usiku wa kuamkia jana mkoani Kilimanjaro, zimekata mawasiliano ya barabara kuu ya Dar es Salaam-Arusha na kusababisha magari kukwama kwa saa nane Hedaru wilayani hapa.
9 years ago
Michuzi18 Dec
Serikali yasaini makubaliano ya ujenzi wa Barabara Arusha.
![uj1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/uj1.jpg)
Mkurugenzi wa barabara Wizara ya Ujenzi , Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Ven Ndiyakumana kushoto akisaini mkataba wa awali kuhusu mkopo wa fedha wa riba nafuu utakaosaidia ujenzi wa Barabara ya Arusha hadi Holili kulia ni Naibu Mkurugenzi wa Idara ya ushirikiano Afrika kutoka Japan (JICA) Bw. Hideyuki Manioka wakati wa hafla fupi iliyofanyika leo Jijini Dar es salaam.
![uj2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/uj2.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HH5EPnzPgDJDwDU5J-VcAsyFt90lyyiy0lVf3JH9dnCbjFt1J2dFjuAc*enJW-LNskwGWL1e7IAp3UFadupW79zz82NIw5pq/IMG20140929WA0005.jpg?width=650)
AJALI YATOKEA BARABARA YA MOSHI - ARUSHA MCHANA HUU