Magufuli asifia uongozi wa Rais Kikwete
WAZIRI wa Ujenzi, Dk John Magufuli amesema Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete, amekiongoza chama hicho kwa misingi imara iliyodumisha umoja na mshikamano. Amesema iwapo Watanzania watamchagua kuwa rais, atasimamia ilani ya uchaguzi ijayo na kwamba hatawaangusha.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-S5H1zKYU8YE/VkDTYds2YsI/AAAAAAAIFF4/gCDOTHs_PU0/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-05-12%2Bat%2B4.36.49%2BPM.png)
BREAKING NYUZZZZZ.....: RAIS MAGUFULI AVUNJA BODI YA UONGOZI WA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI, ATEUA UONGOZI MPYA WA MUDA
![](http://4.bp.blogspot.com/-S5H1zKYU8YE/VkDTYds2YsI/AAAAAAAIFF4/gCDOTHs_PU0/s640/Screen%2BShot%2B2015-05-12%2Bat%2B4.36.49%2BPM.png)
“ Rais amesikitishwa na kuhuzunishwa na hali ya huduma kwa wagonjwa hususan wanaolala chini. Pia amekasirishwa na hali ya kutokujali wala kushughulikia vifaa vya kufanyia kazi ambapo amekuta mashine muhimu za uchunguzi wa magonjwa kama vile MRI na CT-SCAN zikiwa hazifanyi kazi kwa muda wa miezi miwili...
11 years ago
BBCSwahili10 Apr
Rais Kikwete atunukiwa tuzo ya uongozi
11 years ago
Dewji Blog25 Jun
Rais Kikwete apokea Tuzo ya Uongozi Bora nchini
Mkaguzi na mdhibiti mkuu wa hesabu za serikali Bwana Ludovick Utouh akikmabidhi Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete Tuzo maalum kwa kutambua mchango wange kwa taasisi simamizi katika kuimarisha Uwazi,Uadilifu na uwajibikaji wakati wa hafla maalum ya chakula cha jioni iliyofanyika katika ukumbi wa wa kimataifa wa mikutano Julius Nyerere(JNICC) jijini Dar es Salaam
Bwana Utouh alikabidhi Tuzo hiyo kwa niaba ya taasisi sita ambazo ni Bodi ya Taifa ya wahasibu na wakaguzi,TAKUKURU, Mamlaka ya...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tL2WYbPRQ0o/U6iYQBOs5eI/AAAAAAAFsjA/FtycHoqFX9U/s72-c/mzee.jpg)
Rais Kikwete apewa Tuzo Ya Uongozi Bora nchini
![](http://2.bp.blogspot.com/-tL2WYbPRQ0o/U6iYQBOs5eI/AAAAAAAFsjA/FtycHoqFX9U/s1600/mzee.jpg)
Bwana Utouh alikabidhi Tuzo hiyo kwa niaba ya taasisi sita ambazo niBodi ya Taifa ya wahasibu na...
5 years ago
BBCSwahili17 Jun
Rais Magufuli kuwania muhula wa pili wa uongozi, yapi mafanikio, changamoto?
10 years ago
GPLUONGOZI WA UMOJA WA WENYEVITI SERIKALI ZA MTAA KUONANA NA RAIS KIKWETE
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-toXm_phEMns/U0fboUew00I/AAAAAAAFZ-I/pWp7JHqROKE/s72-c/D92A2779.jpg)
Lions Club Yamtunuku Rais Kikwete Medali ya Uongozi Bora
![](http://1.bp.blogspot.com/-toXm_phEMns/U0fboUew00I/AAAAAAAFZ-I/pWp7JHqROKE/s1600/D92A2779.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-oIcLRo5LoE8/U0fbxwVGNKI/AAAAAAAFZ-Q/HVmu7_N3-0E/s1600/D92A2781.jpg)
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-0IYF2YDI9c8/VB0owTa80hI/AAAAAAAGkuk/wz_lqbi1kuA/s1600/0L7C1657.jpg)
RAIS KIKWETE AHUDHURIA HAFLA YA KUMPONGEZA KWA UONGOZI MZURI
11 years ago
Habarileo03 Jul
Kikwete asifia uhusiano wa Tanzania na Afrika Kusini
RAIS Jakaya Kikwete amesifia uhusiano mzuri uliopo kati ya Tanzania na Afrika Kusini, akisema haujapata kuwa mzuri zaidi ya ulivyo sasa.