Magufuli atangaza neema
MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli amesema Serikali atakayoiongoza baada ya kuchaguliwa, itapandisha mishahara ya watumishi wote wa umma ilingane na ile ya Wakala wa Taifa wa Barabara (Tanroads), ambayo aliianzisha na kuwapa wafanyakazi wake mishahara minono.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/Magufuri-alipokuwa-Jimbo-la-Bukene-leo.jpg?width=650)
MAGUFULI ATANGAZA NEEMA TABORA
11 years ago
Habarileo06 May
JK atangaza neema kwa mahakimu, majaji
SERIKALI inatarajiwa kuajiri mahakimu wapya zaidi ya 300 katika mwaka ujao wa fedha 2014/ 2015 na mwaka unaofuata wa 2015 /2016, itaajiri mahakimu wengine 300.
11 years ago
Mwananchi30 Apr
Maghembe atangaza neema ya maji Karatu
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/magiufuli-akiwa-uwanja-wa-zimbihile-jimbo-la-muleba-kusini.jpg?width=650)
MAGUFULI AAHIDI NEEMA KWA WANABUKOBA
9 years ago
Habarileo07 Sep
Dk Magufuli afunika Moro, ashusha neema
MGOMBEA Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli, amesema Serikali atakayoiongoza itajenga viwanda vikubwa, vya kati na vidogo ili kuongeza ajira na mapato ya Serikali, huku akiwaahidi wakazi wa Morogoro kufufua viwanda vyao.
9 years ago
Habarileo05 Sep
Magufuli awahakikishia neema wahandisi wazawa
WAZIRI wa Ujenzi, Dk John Magufuli amewahakikisha wahandisi kwamba endapo atachaguliwa kuwa Rais wa serikali ya Awamu ya Tano hatawaangusha na atahakikisha anawatumia vyema kwa ajili ya kujenga uchumi kutoka wa chini kwenda wa kati.
9 years ago
Habarileo13 Oct
Magufuli kuwashushia neema walima korosho
MGOMBEA urais wa CCM, Dk John Magufuli amesema akichaguliwa kushika nafasi hiyo, atatumia utajiri wa gesi uliopo katika mikoa ya Kusini, kutoa ruzuku kwa vifaa vya ujenzi ili kushusha bei na kuwawezesha wananchi kujenga nyumba bora.
9 years ago
Mwananchi09 Oct
Dk Magufuli ashusha neema ya barabara Moshi
9 years ago
GPLMAGUFULI AAHIDI NEEMA SINGIDA, KESHO KUIANZA KONDOA