Magufuli: ‘Kadi za Krismasi kwa gharama zenu’
Serikali ya Tanzania imepiga marufuku utengenezaji wa kadi za Krismasi na Mwaka Mpya kwa gharama ya serikali au pesa za umma.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog26 Nov
HAPA KAZI TU: Kadi za Krismass na Mwaka mpya marufuku kwa gharama za Serikali!
Balozi Ombeni Sefue
Na Andrew Chale, Modewjiblog
[DAR ES SALAAM] Usije shangaa unapata taarifa kuwa Michango ya Harusi inafutwa na baadala yake watu wafunge ndoa kimya kimya!! aah inawezekana ama isiwezekane ila kwa kuhakikisha kazi zinafanyika na kubana matumizi yasio ya lazima, huko tunakoelekea inatupaswa kufanya hivi ili mipango na fedha nyingi zielekezwa katika huduma za afya, Elimu, Miundombinu na mambo mengine ya Kimaendeleo.
Modewjiblog inapongeza juhudi zote za msingi zinazotolewa...
11 years ago
MichuziCRDB yazindua huduma ya malipo ya gharama za matibabu kwa njia ya Kadi KCMC
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-M8TeCSFMyMo/VlbZOD-sBfI/AAAAAAAIIcs/zyKOUBFvJIA/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-11-20%2Bat%2B8.55.15%2BPM.png)
SERIKALI YAPIGA MARUFUKU UTENGENEZAJI NA UCHAPISHAJI KADI ZA XMAS NA MWAKA MPYA KWA GHARAMA ZAKE
![](http://1.bp.blogspot.com/-M8TeCSFMyMo/VlbZOD-sBfI/AAAAAAAIIcs/zyKOUBFvJIA/s640/Screen%2BShot%2B2015-11-20%2Bat%2B8.55.15%2BPM.png)
Balozi Sefue, ameelekeza kuwa yeyote anayetaka kutengeneza ama kuchapisha kadi hizo, afanye hivyo kwa gharama zake mwenyewe.
Badala yake Balozi Sefue ameagiza fedha zilizopangwa kugharamia utengenezaji na uchapishaji wa kadi, zitumike kupunguza madeni ambayo Wizara, Idara na Taasisi za umma zinadaiwa na wananch/wazabuni waliotoa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-eP63lMmMCc0/XndVoEhLdlI/AAAAAAACJFY/zrhpRBMlYscBgiSxe7YeI7ewx_KQ0YXUACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200322_150152_109.jpg)
RAIS MAGUFULI: WATANZANIA NA WAGENI WATAKAOINGIA NCHINI KUTOKA NCHI ZILIZOATHIRIWA NA CORONA WOTE KUJITENGA SIKU 14 KWA GHARAMA ZAO.
![](https://1.bp.blogspot.com/-eP63lMmMCc0/XndVoEhLdlI/AAAAAAACJFY/zrhpRBMlYscBgiSxe7YeI7ewx_KQ0YXUACLcBGAsYHQ/s400/IMG_20200322_150152_109.jpg)
IKULU, Chamwino, Dodoma
Rais Dk. John Magufuli leo ametangaza hatua nyingine ili za kukabiliana na ugonjwa wa homa ya mapafu unaosababishwa na virusi vya Coron
Rais Dk. John Magufuli amesema kuanzia kesho wasafiri wote watakaoingia nchini kutoka katika mataifa yaliyoathirika zaidi na ugonjwa wa Corona, watalazimika kufikia sehemu za kujitenga kwa siku 14 kwa gharama zao wenyewe.
Akihutubia taifa,...
9 years ago
MichuziRAIS MAGUFULI ATOA ZAWADI ZA SIKUKUU YA KRISMASI KWA WATOTO WANAOISHI KWENYE KITUO CHA KUHUDUMIA WATOTO WA KIJIJI CHA MATUMAINI MKOANI DODOMA.
9 years ago
Mwananchi26 Dec
Wito wa kumuombea Magufuli, amani ya nchi vyatawala mahubiri Krismasi
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/vNzGynp9zao/default.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-tggaI27wQUA/Vn0C--kW8HI/AAAAAAAIOmU/L4eopUNDvCw/s72-c/x2.jpg)
RAIS MAGUFULI ASHIRIKI MISA YA KRISMASI KATIKA KANISA LA MTAKATIFU PETER JIJINI DAR ES SALAAM LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-tggaI27wQUA/Vn0C--kW8HI/AAAAAAAIOmU/L4eopUNDvCw/s640/x2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-XWWJmUvBq1g/Vn0DCgoGnII/AAAAAAAIOmw/KZtRgomr2_I/s640/x3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9NbQUGgYIm0/Vn0DDqHzdYI/AAAAAAAIOm8/UwuoebKhg9g/s640/x4.jpg)
9 years ago
Dewji Blog25 Dec
Rais Magufuli ahimiza Amani nchini, ashiriki misa ya Krismasi katika kanisa la Mtakatifu Peter jijini Dar e Salaam !
Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akitoa salamu zake za heri ya Krismasi mara baada ya kumalizika Ibada ya Krismas misa ya kwanza katika Kanisa la Mtakatifu Peter jijini Dar es salaam leo Desemba 25, 2015.
![](http://2.bp.blogspot.com/-GFgCRpAfCxY/Vn0C2_RTeUI/AAAAAAAIOlc/t2cBkzh_PPw/s640/x13.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-nziZB1rPgcs/Vn0C4VEg2yI/AAAAAAAIOlk/ZTlom5d_tmI/s640/x14.jpg)