Magufuli kuishangilia Stars mwanzo mwisho
RAIS wa Awamu ya Tano nchini, Dk John Magufuli anatarajiwa kuwa mmoja wa mashabiki watakaoipa nguvu timu ya soka ya taifa ya Tanzania `Taifa Stars’ katika mchezo wa kuwania kufuzu Kombe la Dunia Urusi 2018 dhidi ya Algeria kwenye Uwanja wa Taifa keshokutwa Jumamosi.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo26 Dec
Agizo la Rais Magufuli linatiliwa mkazo, Songea leo ni usafi tu mwanzo mwisho.. (+Picha)
Rais John Pombe Magufuli aliagiza December 9 2015 iwe siku ya usafi nchi nzima, na agizo likatekelezwa kama ilivyoagizwa. Lakini viongozi wa ngazi mbalimbali wengine walijipangia kwamba kila baada ya muda fulani ufanyike usafi kwenye maeneo mbalimbali… mmoja wa walioagiza hivyo ni Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Said Thabit Mwambungu nae aliagiza kwamba usafi ufanyike mara […]
The post Agizo la Rais Magufuli linatiliwa mkazo, Songea leo ni usafi tu mwanzo mwisho.. (+Picha) appeared first on...
9 years ago
GPL12 Nov
11 years ago
Tanzania Daima05 Feb
Je, ni mwanzo wa mwisho wa Zitto?
YAMEISHAANDIKWA mengi kuhusiana na hatima ya kisiasa ya aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Maendeleo na Demokrasia (CHADEMA), Zitto Kabwe. Kitu kimoja tu hakijaandikwa. Nacho ni kuandika tanzia yake...
10 years ago
Vijimambo20 Mar
Zitto: Mwisho ama mwanzo.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Zitto-20March2015.jpg)
Baadaye Zitto alikwenda bungeni katika kikao cha jioni kwa ajili ya kuwaaga wabunge wenzake na kuwaeleza sababu za uamuazi wake.
Hata hivyo, kabla ya kuwasili bungeni akisubiri kupewa fursa ya kuwaaga wabunge, aliwaeleza waandishi wa habari kwamba Spika wa Bunge, Anne Makinda amemzuia kuchukua uamuzi huo na kwamba yeye (Zitto) alikuwa akiendelea kumshawishi...
10 years ago
Mwananchi20 Dec
Je, huu ndiyo mwanzo wa mwisho?
11 years ago
Mwananchi09 Mar
Yanga: Tutashambulia mwanzo mwisho leo
11 years ago
Mwananchi28 Mar
Mwanzo, mwisho Tume ya Jaji Warioba
11 years ago
GPL08 Aug
TAMASHA LA MATUMAINI 2014 NI BURUDANI MWANZO MWISHO
10 years ago
Mwananchi28 Jul
UCHAMBUZI: Lowassa, mwanzo au mwisho wa ndoto zake?