Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Magufuli kuondoa kauli za ‘njoo kesho’ serikalini

MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli ameendelea kueleza msimamo wake wa kutaka Tanzania yenye viwanda kwa kusisitiza kuwa hatakubali kuwepo kwa urasimu kwa watu wanaotaka kuwekeza nchini.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

KATIBU WIZARA YA NISHATI NA MADINI ATAKA KAULI ZA "NJOO KESHO" ZIKOME

Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Omar Chambo (kushoto) akijadiliana jambo na Kamishna wa Nishati, Mhandisi Hosea Mbise (katikati). Wa kwanza kulia ni Kamishna Msaidizi anayeshughulikia Maendeleo ya Nishati, James Andilile.Wajumbe wa kikao wakimsikiliza katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Omar Chambo.Mkurugenzi Mkuu wa EWURA, Felix Ngamlagosi (kushoto) akizungumza wakati wa kikao na Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Omar Chambo (kulia)....

 

9 years ago

Michuzi

Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini Ataka kauli za “njoo kesho” zikome

Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Omar Chambo (kushoto) akijadiliana jambo na Kamishna wa Nishati, Mhandisi Hosea Mbise (katikati). Wa kwanza kulia ni Kamishna Msaidizi anayeshughulikia Maendeleo ya Nishati, James Andilile. Wajumbe wa kikao wakimsikiliza katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Omar Chambo. Mkurugenzi Mkuu wa EWURA, Felix Ngamlagosi (kushoto) akizungumza wakati wa kikao na Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Omar...

 

9 years ago

Michuzi

RAIS MAGUFULI AKUTANA NA WATENDAJI WAKUU SERIKALINI

Rais Dkt. John Pombe Magufuli akiongoza kikao cha watendaji wakuu serikalini kilichofanyika ikulu jijini Dar es Salaam leo asubuhi.(picha na Freddy Maro)

 

9 years ago

Dewji Blog

TEWUTA wampongeza Rais Dk. Magufuli, wamuomba kugeukia mashirika ya mawasiliano ya Serikalini

tewuta

Katibu mkuu wa TEWUTA, Junus Ndaro (katikati) alkizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) mapema leo jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mwenyekiti wa TEWUTA, Pius Makuke, kushoto ni afisa kutoka chama hicho. (Picha na Rabi Hume)

Na Rabi Hume

[DAR ES SALAAM] Chama cha Wafanyakazi wa Sekta ya Huduma za Mtandao wa Mawasiliano Tanzania (TEWUTA), kimemtaka rais wa Tanzania, Dr. John Magufuli kuyasaidia mashirika ya mawasiliano yaliyo chini ya seikali kutokana na mashirika hayo kuwa na hali...

 

10 years ago

Habarileo

Magufuli afikiria kuondoa malori Dar es Salaam

Malori ya mizigo na mafuta yakiwa kwenye msururu kwenye Barabara ya Mandela, eneo la Tazara, Dar es Salaam jana. Serikali ipo mbioni kuhamishia malori yote eneo la Ruvu ili kupunguza msongamano jijini. (Picha na Fadhili Akida).WAZIRI wa Ujenzi, Dk John Magufuli amesema anafikiria namna ya kuondoa malori ya mizigo katikati ya Jiji la Dar es Salaam, ili kupunguza tatizo la foleni na kuzuia uharibifu wa barabara.

 

9 years ago

StarTV

Rais Magufuli awataka wapinzani kuondoa tofauti zao

 

Rais wa awamu ya Tano Dokta John Pombe Magufuli amevitaka vyama vya upinzani nchini kuondoa tofauti zao na badala yake washirikiane pamoja katika kuwatumikia watanzania ili kufanikisha azma ya kuwaletea wananchi maendeleo.

Kauli hiyo ameitoa mara baada ya kuapishwa rasmi na kuwa rais wa Jamhri ya muungano wa Tanzania awamu ya tano Katika Sherehe zilizofanyika JIjini Dar es Salaam.

Kushushwa kwa  Bendela ya Rais inaonesha kufikia ukomo kwa uongozi wa Serikali ya awamu ya nne na sasa...

 

9 years ago

Mtanzania

Kauli za mawaziri wateule wa Dk. Magufuli

Ummy MwalimuKauli za mawaziri wateule

 

NA WAANDISHI WETU, DAR/MIKOANI

SAA chache baada ya kutangazwa kwa Baraza jipya la Mawaziri na Rais Dk. John Magufuli, MTANZANIA iliwatafuta baadhi ya mawaziri na kuzungumza nao kuhusu uteuzi wao.

 

BALOZI MAHIGA

Kwa upande wake, Waziri mteule wa Wizara ya Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Balozi Dk. Augustine Mahiga, alisema: “Siwezi kuongea jambo lolote kwa sababu hata rais wangu hatujazungumza…nawaomba muwe na...

 

5 years ago

BBCSwahili

Kauli ya Rais wa Tanzania, John Magufuli inawaondolea hofu watanzania?

Baadhi ya wakazi wa Dar es Salaam wamezungumza na BBC kuhusu namna hali ilivyo hivi sasa baada ya kuingia kwa mlipuko wa virusi vya corona

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani