Magufuli kuondoa kauli za ‘njoo kesho’ serikalini
MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli ameendelea kueleza msimamo wake wa kutaka Tanzania yenye viwanda kwa kusisitiza kuwa hatakubali kuwepo kwa urasimu kwa watu wanaotaka kuwekeza nchini.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-P1yr31mNYkE/VkRef4y_CtI/AAAAAAAIFaY/HnKCJ4o5NZA/s72-c/unnamed%2B%252842%2529.jpg)
KATIBU WIZARA YA NISHATI NA MADINI ATAKA KAULI ZA "NJOO KESHO" ZIKOME
![](http://4.bp.blogspot.com/-P1yr31mNYkE/VkRef4y_CtI/AAAAAAAIFaY/HnKCJ4o5NZA/s640/unnamed%2B%252842%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-n9yvc5iikhk/VkRef5L8scI/AAAAAAAIFaU/9ioazoxntZc/s640/unnamed%2B%252843%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-MsbGWUE5i8k/VkRef35fTCI/AAAAAAAIFaQ/9qWmmq28q0o/s640/unnamed%2B%252844%2529.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-P1yr31mNYkE/VkRef4y_CtI/AAAAAAAIFaY/HnKCJ4o5NZA/s72-c/unnamed%2B%252842%2529.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini Ataka kauli za “njoo kesho” zikome
![](http://4.bp.blogspot.com/-P1yr31mNYkE/VkRef4y_CtI/AAAAAAAIFaY/HnKCJ4o5NZA/s640/unnamed%2B%252842%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-n9yvc5iikhk/VkRef5L8scI/AAAAAAAIFaU/9ioazoxntZc/s640/unnamed%2B%252843%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-MsbGWUE5i8k/VkRef35fTCI/AAAAAAAIFaQ/9qWmmq28q0o/s640/unnamed%2B%252844%2529.jpg)
9 years ago
MichuziRAIS MAGUFULI AKUTANA NA WATENDAJI WAKUU SERIKALINI
9 years ago
Dewji Blog10 Nov
TEWUTA wampongeza Rais Dk. Magufuli, wamuomba kugeukia mashirika ya mawasiliano ya Serikalini
Katibu mkuu wa TEWUTA, Junus Ndaro (katikati) alkizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) mapema leo jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mwenyekiti wa TEWUTA, Pius Makuke, kushoto ni afisa kutoka chama hicho. (Picha na Rabi Hume)
Na Rabi Hume
[DAR ES SALAAM] Chama cha Wafanyakazi wa Sekta ya Huduma za Mtandao wa Mawasiliano Tanzania (TEWUTA), kimemtaka rais wa Tanzania, Dr. John Magufuli kuyasaidia mashirika ya mawasiliano yaliyo chini ya seikali kutokana na mashirika hayo kuwa na hali...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/pmfRDHCmruk/default.jpg)
10 years ago
Habarileo14 Aug
Magufuli afikiria kuondoa malori Dar es Salaam
WAZIRI wa Ujenzi, Dk John Magufuli amesema anafikiria namna ya kuondoa malori ya mizigo katikati ya Jiji la Dar es Salaam, ili kupunguza tatizo la foleni na kuzuia uharibifu wa barabara.
9 years ago
StarTV06 Nov
Rais Magufuli awataka wapinzani kuondoa tofauti zao
Rais wa awamu ya Tano Dokta John Pombe Magufuli amevitaka vyama vya upinzani nchini kuondoa tofauti zao na badala yake washirikiane pamoja katika kuwatumikia watanzania ili kufanikisha azma ya kuwaletea wananchi maendeleo.
Kauli hiyo ameitoa mara baada ya kuapishwa rasmi na kuwa rais wa Jamhri ya muungano wa Tanzania awamu ya tano Katika Sherehe zilizofanyika JIjini Dar es Salaam.
Kushushwa kwa Bendela ya Rais inaonesha kufikia ukomo kwa uongozi wa Serikali ya awamu ya nne na sasa...
9 years ago
Mtanzania11 Dec
Kauli za mawaziri wateule wa Dk. Magufuli
Kauli za mawaziri wateule
NA WAANDISHI WETU, DAR/MIKOANI
SAA chache baada ya kutangazwa kwa Baraza jipya la Mawaziri na Rais Dk. John Magufuli, MTANZANIA iliwatafuta baadhi ya mawaziri na kuzungumza nao kuhusu uteuzi wao.
BALOZI MAHIGA
Kwa upande wake, Waziri mteule wa Wizara ya Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Balozi Dk. Augustine Mahiga, alisema: “Siwezi kuongea jambo lolote kwa sababu hata rais wangu hatujazungumza…nawaomba muwe na...
5 years ago
BBCSwahili28 Apr
Kauli ya Rais wa Tanzania, John Magufuli inawaondolea hofu watanzania?