Kauli za mawaziri wateule wa Dk. Magufuli
Kauli za mawaziri wateule
NA WAANDISHI WETU, DAR/MIKOANI
SAA chache baada ya kutangazwa kwa Baraza jipya la Mawaziri na Rais Dk. John Magufuli, MTANZANIA iliwatafuta baadhi ya mawaziri na kuzungumza nao kuhusu uteuzi wao.
BALOZI MAHIGA
Kwa upande wake, Waziri mteule wa Wizara ya Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Balozi Dk. Augustine Mahiga, alisema: “Siwezi kuongea jambo lolote kwa sababu hata rais wangu hatujazungumza…nawaomba muwe na...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/JUPJxGO-oyQ/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OII46PIbulw/XvCI7XwHESI/AAAAAAALu6E/v0ZwHfmJh_MXFHQ2w9Ab4pFdzJadZXh0gCLcBGAsYHQ/s72-c/12..jpg)
RAIS MAGUFULI AONESHA KUSIKITISHWA NA WATEULE WAKE WANAOSHINDWA KUTEKELEZA MAJUKUMU YAO
![](https://1.bp.blogspot.com/-OII46PIbulw/XvCI7XwHESI/AAAAAAALu6E/v0ZwHfmJh_MXFHQ2w9Ab4pFdzJadZXh0gCLcBGAsYHQ/s400/12..jpg)
*Azungumzia vijana kutoridhika kwenye nafasi walizonazo...atoa siri ya Gambo
Na Said Mwishehe, Michuzi TV.
RAIS Dk.John Magufuli amesema huwa anasikitishwa kuona watu ambao wamewapa nafasi na kuwaamini wanashindwa kutekeleza yale ambayo amewatuma kwenda kufanya na badala yake wanakwenda kufanya ya kwao huku akitumia nafasi hiyo kuzungumzia vijana ambao amewapa nafasi lakini hawaridhiki nazo.
Akizungumza leo Juni 22, 2020...
9 years ago
MillardAyo03 Jan
Nyumba ya Mch.LWAKATARE, Mawaziri wa Magufuli Vinginguti, KINGUNGE na kasi ya MAGUFULI..#Magazetini
HABARILEO Makatibu wakuu na Naibu Makatibu Wakuu walioteuliwa na kuapishwa juzi wamekutana katika ukumbi wa mikutano wa Ikulu jijini Dar es Salaam kwa ajili ya semina elekezi iliyoongozwa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue. Akizungumza kabla ya kuanza kwa mada zilizoandaliwa katika semina hiyo jana, Katibu Mkuu Kiongozi Sefue, alisema semina hiyo ni ya […]
The post Nyumba ya Mch.LWAKATARE, Mawaziri wa Magufuli Vinginguti, KINGUNGE na kasi ya MAGUFULI..#Magazetini appeared first on...
9 years ago
Habarileo29 Sep
Magufuli kuondoa kauli za ‘njoo kesho’ serikalini
MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli ameendelea kueleza msimamo wake wa kutaka Tanzania yenye viwanda kwa kusisitiza kuwa hatakubali kuwepo kwa urasimu kwa watu wanaotaka kuwekeza nchini.
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Ukva0bdsYrA/VfR2s3YTriI/AAAAAAAATyg/URIjtsa_Vjs/s72-c/magufuli.jpg)
MAGUFULI NA KAMPENI ZA KUJIKOSOA, NAMFANANISHA NA MWALIMU NYERERE NA KAULI YA TUJISAHIHISHE
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ukva0bdsYrA/VfR2s3YTriI/AAAAAAAATyg/URIjtsa_Vjs/s640/magufuli.jpg)
Kumekuwa na maoni kutoka kwa wadau mbalimbali kuhusu mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia CCM, Dr. John Pombe Magufuli, kuibua na kuzungumzia mapungufu ya serikali ambayo yeye ni waziri. Baadhi ya watu wanaofuatilia kampeni zake wameenda mbali zaidi na kuhisi kuwa kwa kufanya hivyo, Magufuli anawafanyia kampeni labda bila yeye kujua wapinzani wake katika...
5 years ago
BBCSwahili28 Apr
Kauli ya Rais wa Tanzania, John Magufuli inawaondolea hofu watanzania?
9 years ago
Mtanzania11 Nov
Mawaziri wamtesa Dk. Magufuli
*Sura mpya zatajwa kuingia Baraza jipya
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
ZIKIWA zimetimia siku sita tangu Rais Dk. John Magufuli aapishwe kuwa Rais wa Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wingu zito limetanda kuhusu uteuzi wa Baraza la Mawaziri.
Wakati kitendawili cha kwanza kinatarajiwa kuteguliwa Novemba 19 mjini Dodoma, pale Bunge la 11 litakaporidhia uteuzi wa waziri mkuu anayesubiriwa kwa hamu, mtihani mwingine unabaki kwa mawaziri.
Uchunguzi uliofanywa na gazeti hili baada ya...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-_vLuCwXZnXQ/VdykXchDPxI/AAAAAAAC-Dw/NRmG7HmOFEo/s72-c/_MG_6285.jpg)
Magufuli akataa Mawaziri.
![](http://2.bp.blogspot.com/-_vLuCwXZnXQ/VdykXchDPxI/AAAAAAAC-Dw/NRmG7HmOFEo/s640/_MG_6285.jpg)
Dk. Magufuli alitoa ahadi hiyo jana, wakati akijinadi kwa wananchi wilayani Nkasi na Kalambo, mkoani Rukwa akiwa katika siku ya pili ili achaguliwe kuwa rais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba...
9 years ago
Mwananchi24 Dec
Dk Magufuli akamilisha Baraza la Mawaziri