Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAGUFULI NA KAMPENI ZA KUJIKOSOA, NAMFANANISHA NA MWALIMU NYERERE NA KAULI YA TUJISAHIHISHE

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Tiketi ya CCM Dkt John Pombe Magufuli Na Humphrey Pole Pole
Kumekuwa na maoni kutoka kwa wadau mbalimbali kuhusu mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia CCM, Dr. John Pombe Magufuli, kuibua na kuzungumzia mapungufu ya serikali ambayo yeye ni waziri. Baadhi ya watu wanaofuatilia kampeni zake wameenda mbali zaidi na kuhisi kuwa kwa kufanya hivyo, Magufuli anawafanyia kampeni labda bila yeye kujua wapinzani wake katika...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

RAIS MAGUFULI ATOA BILLIONI 15 KUMALIZIA UJENZI HOSPITALI YA MWALIMU NYERERE MARA

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli ametoa kiasi cha shillingi Billioni 15 kwa ajili ya kumalizia ujenzi wa hospitali ya Rufaa ya Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere iliyojengwa kwa miaka 40 bila kumalizika.
Haya yamebainika wakati wa ziara ya Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu  na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi katika hospitali hiyo kujionea maendeleo ya ujenzi wake.
Akizungumza mara baada ya...

 

5 years ago

CCM Blog

RAIS MAGUFULI ATOA SH. BILIONI 15 KUMALIZIA UJENZI HOSPITALI YA MWALIMU NYERERE, MARA

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu(kushoto) akijadiliana jambo na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi na Mkuu wa Mkoa wa Mara Adam Malima wakati walipokutana mkoani Marawakati Mawaziri hao walipofanya ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa hospitali ya Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere iliyopo mkoani Mara

Na Mwandishi Wetu, Musoma.
Rais Dk. John Magufuli ametoa Sh. Billioni 15 kwa ajili ya kumalizia ujenzi wa hospitali ya Rufani ya...

 

9 years ago

Vijimambo

DK MAGUFULI AZURU KABURI LA NYERERE BUTIAMA, AKABIDHIWA KIFIMBO CHA 'NYERERE'

 Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akizuru kaburi la Baba wa Taifa marehemu Julius Nyerere, katika Kijiji cha Mwitongo, wilayani Butiama, Mkoa wa Mara jana , aliposimama kwa muda akielekea kwenye mkutano wa kampeni wilayani huo leo. Kulia ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mara, Christopher Sanya. Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, John Magufuli akiweka shada la la maua alipozuru kaburi la Baba wa Taifa marehemu Julius Nyerere, katika Kijiji cha Mwitongo wilayani Butiama,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kauli ya Bi Maria Nyerere kuhusu Escrow

Mjane wa hayati Julius Nyerere, Maria Nyerere Tanzania amezungumzia sakata ya ufisadi ya Escrow. Je kauli yake ilikuwa nini?

 

10 years ago

BBCSwahili

Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere

Tanzania inaadhimisha kumbukumbu ya miaka 15 tangu kufariki kwa mwasisi wa taifa hilo marehemu Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mwalimu Nyerere hatotoweka

KADI yangu ya chama cha TANU Na.C.875903 ya 20.04.1971, tawi la Bank-NBC- Dar es Salaam, na pia kumbukumbu yangu ya kuwa mwanachama wa kikundi cha ‘Tanu Youth League’ tokea 1968...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tunakukumbuka Mwalimu Nyerere

LEO Tanzania inaadhimisha miaka 15 ya kifo cha Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, aliyefarikidi dunia 14/10/1999 nchini Uingereza. Kwa namna ya pekee tunawatakia Watanzania wote maazimisho mema, lakini kubwa kuliko...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani