MAGUFULI NA KAMPENI ZA KUJIKOSOA, NAMFANANISHA NA MWALIMU NYERERE NA KAULI YA TUJISAHIHISHE
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ukva0bdsYrA/VfR2s3YTriI/AAAAAAAATyg/URIjtsa_Vjs/s72-c/magufuli.jpg)
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Tiketi ya CCM Dkt John Pombe Magufuli Na Humphrey Pole Pole
Kumekuwa na maoni kutoka kwa wadau mbalimbali kuhusu mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia CCM, Dr. John Pombe Magufuli, kuibua na kuzungumzia mapungufu ya serikali ambayo yeye ni waziri. Baadhi ya watu wanaofuatilia kampeni zake wameenda mbali zaidi na kuhisi kuwa kwa kufanya hivyo, Magufuli anawafanyia kampeni labda bila yeye kujua wapinzani wake katika...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-L1qhpFBXwDE/XmI-Z03NjuI/AAAAAAALhgE/ahNIUppVPtUEIPQOCtIatFBeaaIZ5QiggCLcBGAsYHQ/s72-c/Pic%252Bjpm.gif)
RAIS MAGUFULI ATOA BILLIONI 15 KUMALIZIA UJENZI HOSPITALI YA MWALIMU NYERERE MARA
![](https://1.bp.blogspot.com/-L1qhpFBXwDE/XmI-Z03NjuI/AAAAAAALhgE/ahNIUppVPtUEIPQOCtIatFBeaaIZ5QiggCLcBGAsYHQ/s640/Pic%252Bjpm.gif)
Haya yamebainika wakati wa ziara ya Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi katika hospitali hiyo kujionea maendeleo ya ujenzi wake.
Akizungumza mara baada ya...
5 years ago
CCM BlogRAIS MAGUFULI ATOA SH. BILIONI 15 KUMALIZIA UJENZI HOSPITALI YA MWALIMU NYERERE, MARA
Na Mwandishi Wetu, Musoma.
Rais Dk. John Magufuli ametoa Sh. Billioni 15 kwa ajili ya kumalizia ujenzi wa hospitali ya Rufani ya...
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/GrumRRxu4WA/default.jpg)
9 years ago
GPL14 Oct
9 years ago
VijimamboDK MAGUFULI AZURU KABURI LA NYERERE BUTIAMA, AKABIDHIWA KIFIMBO CHA 'NYERERE'
10 years ago
BBCSwahili26 Nov
Kauli ya Bi Maria Nyerere kuhusu Escrow
10 years ago
BBCSwahili14 Oct
Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere
10 years ago
Tanzania Daima14 Oct
Mwalimu Nyerere hatotoweka
KADI yangu ya chama cha TANU Na.C.875903 ya 20.04.1971, tawi la Bank-NBC- Dar es Salaam, na pia kumbukumbu yangu ya kuwa mwanachama wa kikundi cha ‘Tanu Youth League’ tokea 1968...
10 years ago
Tanzania Daima14 Oct
Tunakukumbuka Mwalimu Nyerere
LEO Tanzania inaadhimisha miaka 15 ya kifo cha Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, aliyefarikidi dunia 14/10/1999 nchini Uingereza. Kwa namna ya pekee tunawatakia Watanzania wote maazimisho mema, lakini kubwa kuliko...