Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Magufuli: Sijui tumeponaje

SIKU moja baada ya viongozi waandamizi wa serikali kunusurika kufa katika ajali ya helikopta iliyoanguka juzi wakati ikijaribu kuruka, viongozi hao wamesema hawajui waliponaje. Viongozi hao ni pamoja na Makamu...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Sijui niseme ‘rest in peace’ Taifa Cup

Miaka ya 60 hadi 70 kulikuwa na kombe lililokuwa linaitwa Sunlight. Hili lilikuwa linashindaniwa na mikoa, timu za mikoa zilikuwa zikionyeshana kazi kweli kweli.

 

10 years ago

Mwananchi

Sijui kama Wanakumbuka,leo ni januari 26,2015

Baada ya kusubiri saa 48 za taarifa kutoka mjengo mweupe, kinachofuata ni mivutano ya hoja. Tunataraji kusikia hoja zikitoka Makao Makuu mjengoni kuanzia kesho.

 

10 years ago

BBCSwahili

Sijui nitacheza wapi msimu ujao:Messi

Hatima ya Nahodha wa Ajentina Lionel Messi kusalia katika klabu yake ya barcelona bado iko mashakani.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Awadh Juma: Sijui hatima yangu Simba

MCHEZAJI wa Simba, Awadh Juma amekiri kutofahamu hatima yake ndani ya klabu ya Simba kutokana na uvumi kuwa uongozi wake unataka kumpeleka kwa mkopo kwa timu ya Stand United ya...

 

9 years ago

BBCSwahili

Riek Machar:Sijui nitarudi lini uongozini

Makamu wa rais wa zamani wa Sudan Kusini, Riek Machar, anasema kuwa hajui ni lini atarejea nchini humo na kuendelea na kazi yake.

 

10 years ago

GPL

TIKO: SIJUI HATA IDADI YA WANAUME NILIOTOKA NAO

Mwanadada anayefanya vizuri kwenye muziki na uigizaji wa filamu Bongo, Tiko Hassan. Stori: Gladness Mallya Leo mwandishi wetu Gladness Mallya amemnasa mwanadada anayefanya vizuri kwenye muziki na uigizaji wa filamu Bongo, Tiko Hassan. Unataka kujua ameulizwa maswali gani na akajibu vipi? Fuatilia hapa chini. Ijumaa: Wasanii wengi mna tabia ya kuwa na wapenzi zaidi ya mmoja, yaani yupo wa kukupa fedha, wa mapenzi na wa kujirusha...

 

11 years ago

Bongo5

David Luiz: Sijui tutafanya nini ili tuwaone tena Wabrazil wakitabasamu!

Nahodha wa muda wa Brazil, David Luiz amewataka mashabiki wa timu hiyo kote duniani kuwasamehe wachezaji waliokuwa uwanjani Selecao ilipoadhibiwa kichapo cha mabao 7-1 na Ujerumani katika mechi ya kwanza ya nusu fainali ya kombe la dunia huko Brazil. David Luiz akilia kwa uchungu baada ya kipigo cha goli 7-1 Luiz ambae alionekana akilia kwa […]

 

10 years ago

Bongo5

Mnafikiria hatupendi na sisi kuandika LONDON, NIGERIA GET READY TONIGHT? sijui kuna kizuizi gani- Roma

Miongoni mwa ndoto alizonazo kila msanii ni pamoja na kuwa mwanamuziki mkubwa wa ndani na baadae kuvuka mipaka ya nyumbani na kutambulika nje. Roma amekiri kuwa miongoni mwa wasanii wenye ndoto hizo japo amekosa jibu la kwanini mpaka sasa hajaanza kupata mashavu kama ya Diamond ya kupata show za nje. Kupitia Instagram rapper huyo amezungumza […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani