MAHABA:Huyu Ndie Manzi Aliemshika Hemmedy PHD
Kuwa na mpenzi ni kitu cha kawaida katika maisha ya mtu mzima na pengine kila mtu mzima hapa labda anampenzi wake, ila linapokuja swala la mapenzi ya mtu maarufu katika jamaii, akiwa na mpenzi na wakiamua jamii itambue hiyo lazima iwe story.
Msanii mwenye vipaji vya kucheza filamu na kuimba muziki, Muhammed Seleman aka Hemmed PHD, kupitia mitandaoni amekuwa akitupia picha za akiwa na mrembo huyu wakiwa katika mapozi ya kimahaba zaidi na kuandika maneno yakaashiria kwa wo ni wapenzi....
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-IQ68xKHBLRg/Xq6X0LNS8mI/AAAAAAALo7Y/8c0KXp-ZBPg7eD5t6hwQKNO5wqWfpvdfQCLcBGAsYHQ/s72-c/9..jpg)
HUYU NDIE RAIS WA KARNE JPM
![](https://1.bp.blogspot.com/-IQ68xKHBLRg/Xq6X0LNS8mI/AAAAAAALo7Y/8c0KXp-ZBPg7eD5t6hwQKNO5wqWfpvdfQCLcBGAsYHQ/s640/9..jpg)
-JPM yuko tayari kutuma ndege kwenda Madagascar kuleta dawa inayotajwa kutibu virusi vya korona, hapa anamanisha yuko tayari kufanya chochote chema kwa wananchi wake
- JPM ameonyesha kusikitishwa na jinsi watu wanaofariki na korona wanavyoshughulikiwa akitolea mfano tukio la Marehemu Dc Evod Mmanda...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/BE_93CBGZsY/default.jpg)
10 years ago
Bongo Movies16 Dec
Kajala,Wolper na Hemmedy Kambini Tegeta Kwa Mzigo Mpya
Mwako 2014 ukiwa unaendea ukingoni kumalizika, waigizaji Jackline Wolper na Kajala Masanja pamoja nawaigizaji wengine akiwemo Hemmedy Selemani " Hemmedy PHD" wameonekana wapo mzigoni kutengeneza filamu mpya.
Akiweka picha hii mtandaoni leo asubuhi, Wolper alii-caption;
“Watu wengne tumenuna kuamshwa mapema wengne wanatabasam..jamani haya bana ..new movie location day2 Mungu tusimamie”
Akionyesha kuwa wapo kambini, na badae Kajala kuongeza kwa maneno “@tegeta location moja....."...
11 years ago
BBCSwahili31 May
Peter Mutharika ndie rais mteule Malawi
11 years ago
Dewji Blog30 Jun
Raisa ndie Redds Miss kanda ya Kaskazini
![](http://1.bp.blogspot.com/-yVV4A9Ehavc/U7F7EJy5kbI/AAAAAAAAMyY/zeAZeVX8q80/s1600/IMG-20140628-WA0108.jpg)
Hawa ndio washindi wa Redd’s Miss kanda ya Kaskazini kwa mwaka 2014.
![](http://4.bp.blogspot.com/-7U6DvMw5GFQ/U7F7PM5vAcI/AAAAAAAAMyg/wp1DPpiAGpU/s1600/IMG-20140628-WA0021.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9JyT2XU-RSA/U7F7PVmFfqI/AAAAAAAAMyk/RvQKKUOP1D4/s1600/IMG-20140628-WA0022.jpg)
Hawa ni wadhimini wa shindano hilo kutoka Minjingu.
![](http://2.bp.blogspot.com/-EYv05fb1a1k/U7F7T8l_lbI/AAAAAAAAMzs/Uxn7ENLiHlk/s1600/IMG-20140628-WA0030.jpg)
LEMUTUZ nae alikuwemo ndani ya Redd’s Miss Kanda ya Kaskazini bila kumsahau mwenyekiti wa Taswa Juma Pinto.
![](http://3.bp.blogspot.com/-FF4O462Mma0/U7F7UKby9fI/AAAAAAAAMzo/gd3zNQBxL88/s1600/IMG-20140628-WA0031.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9oro-J-xrf0/U7F7VGySvuI/AAAAAAAAMz4/cBpV9iaIicg/s1600/IMG-20140628-WA0033.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Arusha pamoja na mkuu wa mkoa wa Manyara waliuthuria katika usiku huo wa kumsaka mrembo wa kanda ya kaskazini ambapo katika shindano hilo warembo wanne wa mwanzo wataingia katika kambi ya Redd’s miss Tanzania.
![](http://1.bp.blogspot.com/-Jcw9FfOsuOE/U7F7VjdYt1I/AAAAAAAAMz8/O15OeXy-0kg/s1600/IMG-20140628-WA0034.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rgQ8nMzh1AQ/VQh_Ge0Z2QI/AAAAAAAHLJA/zuw7b2HiU70/s72-c/Manara(2).jpg)
Haji Sunday Manara ndie msemaji mpya wa Simba
![](http://4.bp.blogspot.com/-rgQ8nMzh1AQ/VQh_Ge0Z2QI/AAAAAAAHLJA/zuw7b2HiU70/s1600/Manara(2).jpg)
Katibu mkuu wa Simba Steven Ally ameiambia Globu ya Jamii kuwa Manara atachua nafasi ya Humphrey Nyasio ambaye atapangiwa majukumu mengine.
"Kamati ya Utendaji ya Simba imemkabidhi jukumu Manara baada ya kujiridhisha pasi na shaka uzoefu wake katika masuala ya michezo na pia uzoefu wake katika mambo mbalimbali ya kiutawala, hivyo kuwa na imani kwamba...
10 years ago
Bongo Movies12 Jan
Le Mutuz: Asante Lulu,Wewe Ndie Rafiki wa Kweli!
The King Of All Bongo Social Media Network, Le Mutuz ukipenda muite Mzee wa mabebezz amemshukuru mrembo na mwigizaji lulu kwa kuonyesha kumjali wakati wa matizao na kuwashukia baadhi ya marafiki zake ambao huwa wao pamoja nae wakati wa raha tu, ila wakataki washida wote hupoatea. Le mutuz alifunguka
“Kwenye shida ndio utajua marafiki wa kweli na le super gademu mburulazzz mazafantazzzz.....nilipotangaza my House warming Party yanapiga simu kila dakika kuomba mualiko lakini nimesema Mama...