Mahabusu ya watoto yakosa maji
MAHABUSU ya watoto mkoani Tanga haina huduma ya maji, jambo ambalo huenda likachangia kuwepo kwa magonjwa ya mlipuko na kuhatarisha maisha ya watoto waliopo katika mahabusu hiyo. Akizungumza na gazeti hili,...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima19 Apr
Mahabusu ya watoto Tanga haina maji safi
WATOTO wanaotumika adhabu za vifungo katika mahabusu ya watoto Barabara ya 16 Tanga, wapo hatarini kupata magonjwa ya mlipuko kutokana na ukosefu wa huduma ya maji safi kwa zaidi ya...
11 years ago
GPLMAHABUSU YA WATOTO YAPATA MSAADA WA KIFAA CHA KUSAFISHA MAJI SAFI NA SALAMA
10 years ago
MichuziRAIS KIKWETE ATOA MKONO WA EID EL FITR KWA WATOTO YATIMA ,MAHABUSU YA WATOTO PAMOJA NA WAZEE WASIOJIWEZA
11 years ago
Michuzi14 Aug
Mahabusu ya watoto Tanga kupatiwa fedha
Serikali imetenga fedha zitagawiwa kwenye vituo vyote vinavyotoa ushauri nasaha na kurekebisha watoto walio chini ya umri wa miaka 18 vilivyo chini ya Idara ya Ustawi wa jamii nchini.
Kauli hiyo imetolewa na Msemaji wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Nsachris Mwamwaja kufuatia habari iliyochapishwa na gazeti la Majira toleo Na. 7524 Vol.II/5624 la Jumatano Agosti 13, mwaka huu yenye kichwa cha habari “Mahabusu ya watoto yadaiwa mil. 1/=”.
“Ni kweli tatizo hilo lipo...
10 years ago
Michuzi
JK AWAPA ZAWADI YA IDD MAHABUSU YA WATOTO ARUSHA

10 years ago
Vijimambo
Rais Kikwete awakumbuka watoto mahabusu Arusha

Na Mussa Juma, Mwananchi
Atoa mbuzi wawili kwa ajili ya kushereheka Pasaka
Arusha. Rais Jakaya Kikwete ametoa msaada wa mbuzi wawili, chakula na mafuta kwa watoto waliopo mahabusu mkoani hapa ili kusheherehea Sikukuu ya Pasaka.Akikabidhi msaada huo, Ofisa Maendeleo ya Jamii Sekretarieti ya Mkoa wa Arusha, Thabita Matiko alisema juzi kuwa vitu vyote hivyo vina thamani ya Sh400,000.
Alisema watoto hao wanapaswa kusherehekea Pasaka kama wengine wanaoishi na wazazi wao.
Wakati huohuo, Ofisa Ustawi...
10 years ago
Mwananchi06 Apr
FURAHA YA SIKUKUU: Rais Kikwete awakumbuka watoto mahabusu Arusha
10 years ago
Dewji Blog24 Sep
Rais Jakaya Kikwete awapa zawadi ya Idd mahabusu ya watoto Arusha
Katibu Tawala wa mkoa wa Arusha, Addoh Mapunda (wa pili kulia)kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete akimkabidhi zawadi za Idd el Hajj Meneja wa Mahabusu ya Watoto mkoa wa Arusha, Mussa Mapua jana kwa ajili ya kusherekea siku kuu hiyo leo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Jakaya Kikwete ametoa zawadi mbalimbali katika Mahabusu ya watoto walikinzana na sheria iliyopo jijini Arusha.
Akikabidhi zawadi hizo kwa niaba ya Rais Kikwete,Katibu Tawala wa mkoa wa...
5 years ago
Michuzi
JESHI LA MAGEREZA LASITISHA KUTEMBELEWA KWA WAFUNGWA NA MAHABUSU GEREZANI, MAHABUSU WAPYA KUPOKELEWA KWA KUHAKIKI AFYA ZAO
Akizungumza na MICHUZI BLOG, Msemaji wa jeshi la magereza SSP. Amina Kavirondo amesema kuwa baada ya kupimwa mahabusu wapya na kujiridhisha kuwa wako salama kwa maana hata polisi nao watakuwa wamechukuwa hatua kwa mahabusu hao.
"Na sisi watakapofika kwenye himaya ya kwetu tutachukua hatua ya kuhakikisha...