MAHAKAMA YAENDELEA KUWEKA MIKAKATI KUKABILIANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-HELyR-PXDPs/XnphbEqmsWI/AAAAAAALk9Y/YVkqrXE5gMEBV4YS7gGQh_oVJdBsScEwgCLcBGAsYHQ/s72-c/FC4A7288.jpg)
Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mhe. Dkt. Eliezer Feleshi akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu Hatua zinazochukuliwa na Mahakama ya Tanzania katika kuunga mkonojuhudi za Serikali katika kukabiliana na ugonjwa unaosababishwa na virusi vya Corona.
Baadhi ya Viongozi wa Mahakama ya Tanzania walioambatana na Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mhe. Dkt. Eliezer Feleshi alipokuwa akizungumza na Waandishi wa Habari leo jijini Dar es salaam. Katikati ni Mkurugenzi wa Tehama...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili27 Apr
Virusi vya corona: Nchi zinazoongozwa na wanawake wametumia mikakati gani kukabiliana na janga hili?
10 years ago
Dewji Blog12 Jan
CCM Lindi yakutana kuweka mikakati mizuri
![](http://2.bp.blogspot.com/-ajWlQPI8wtU/VLNPq92YKeI/AAAAAAAAVaQ/leYpib_tnHQ/s1600/2.jpg)
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiwa na Mwenyekiti aliyeshinda uchaguzi Hamid Rashid Namtonda akitoa salaam za kushukuru wakazi wa kijiji cha...
9 years ago
StarTV17 Nov
Serikali yashauriwa kuweka mikakati imara ya kuimarisha uchumi
Chama cha Tathmini Tanzania kimeishauri Serikali kuweka mikakati imara ya kufanya tathmini na kutumia takwimu katika utungaji wa sera na mipango mbalimbali ya nchi ili kuwawezesha wananchi kuimarika kiuchumi.
Imesemekana kuwa Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo hazijaweka kipaumbele umuhimu wa kufanya tathmini katika miradi na matumizi ya takwimu kwenye uamuzi ,jambo ambalo linarudisha nyuma maendeleo ya watanzania.
Wakati Tanzania ikiajiandaa kuadhimisha siku ya Tathmini Duniani...
9 years ago
StarTV11 Nov
Serikali yashauriwa kuweka mikakati ya kupunguza athari zitokanazo na majanga hasili.
Serikali imeshauriwa kuweka mikakati mahsusi ya kuwekeza kwenye Sayansi ili kupunguza kasi ya ongezeko la majanga ya asili duniani yakiwemo mafuriko, ukame na vimbunga yanayoweza kuleta athari kubwa kwa nchi zinazoendelea.
Maadhimisho ya siku ya sayansi duniani yanayofanyika Novemba 10 kila mwaka, yanakwenda sanjari na uzinduzi wa toleo jipya lenye dhana muhimu ya Sayansi Duniani kwa amani na maendeleo, likiwa na maana ya kuonyesha mwelekeo wa sayansi, teknolojia na maendeleo kwa kila...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--E5U07fbx-w/XuBfd9Nt_oI/AAAAAAALtR8/bxP9zsvHM68KpG9xNsv0hBaoCXmlhfcPACLcBGAsYHQ/s72-c/1.Jaji%2BMihayo%252C%2BDevota%2BMdachi%2Bna%2BWaitara.jpeg)
TTB YAKUTANA NA MABALOZI KUWEKA MIKAKATI YA KUTANGAZA UTALII, UKANDA WA ASIA, AUSTRALASIA
![](https://1.bp.blogspot.com/--E5U07fbx-w/XuBfd9Nt_oI/AAAAAAALtR8/bxP9zsvHM68KpG9xNsv0hBaoCXmlhfcPACLcBGAsYHQ/s640/1.Jaji%2BMihayo%252C%2BDevota%2BMdachi%2Bna%2BWaitara.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZdnUxUzggFs/XuBfePW5RaI/AAAAAAALtSA/-qQAy6FNGI8mBYi_NyaGVmTKuLy-1-LIwCLcBGAsYHQ/s640/2_Wafanyakazi.jpeg)
BODI ya Utalii Tanzania (TTB) imefanya mkutano na Mabalozi wa Tanzania wanaoiwakilisha Tanzania katika nchi zilizopo kanda ya Asia na...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-skrh5DAEvMY/U80_Wf7t92I/AAAAAAAF4ZY/J-giBoDMqaE/s72-c/unnamed+(24).jpg)
Wataalamu wa kilimo wilayani Handeni kukutana kuweka mikakati ya mazao mapya yatakayofaa kwa biashara
5 years ago
BBCSwahili04 May
Virusi vya corona: Je magari yenye huduma za 'kukabiliana' na corona China ni 'njama'?
5 years ago
BBCSwahili12 May
Virusi vya Corona: Iran yaamua kufungua misikiti licha masharti ya kukabiliana na corona
5 years ago
BBCSwahili11 May
Virusi vya corona: Jinsi ‘mazishi ya kisiri’ Afrika Kusini huenda ikasaidia kukabiliana na corona