Serikali yashauriwa kuweka mikakati ya kupunguza athari zitokanazo na majanga hasili.
Serikali imeshauriwa kuweka mikakati mahsusi ya kuwekeza kwenye Sayansi ili kupunguza kasi ya ongezeko la majanga ya asili duniani yakiwemo mafuriko, ukame na vimbunga yanayoweza kuleta athari kubwa kwa nchi zinazoendelea.
Maadhimisho ya siku ya sayansi duniani yanayofanyika Novemba 10 kila mwaka, yanakwenda sanjari na uzinduzi wa toleo jipya lenye dhana muhimu ya Sayansi Duniani kwa amani na maendeleo, likiwa na maana ya kuonyesha mwelekeo wa sayansi, teknolojia na maendeleo kwa kila...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV17 Nov
Serikali yashauriwa kuweka mikakati imara ya kuimarisha uchumi
Chama cha Tathmini Tanzania kimeishauri Serikali kuweka mikakati imara ya kufanya tathmini na kutumia takwimu katika utungaji wa sera na mipango mbalimbali ya nchi ili kuwawezesha wananchi kuimarika kiuchumi.
Imesemekana kuwa Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo hazijaweka kipaumbele umuhimu wa kufanya tathmini katika miradi na matumizi ya takwimu kwenye uamuzi ,jambo ambalo linarudisha nyuma maendeleo ya watanzania.
Wakati Tanzania ikiajiandaa kuadhimisha siku ya Tathmini Duniani...
10 years ago
Tanzania Daima02 Sep
Serikali yashauriwa kupunguza kodi
SERIKALI imeshauriwa kupunguza kodi katika huduma za usafiri wa anga ili watanzania wengi wamudu kuutumia usafiri huo katika shughuli zao za kiuchumi. Ushauri huo ulitolewa jana na Meneja Mkuu wa...
9 years ago
StarTV30 Nov
Serikali yashauriwa kutenga bajeti ya kununua vifaa tiba ili Kupunguza Vifo Vya Watoto
SERIKALI imepewa changamoto ya kutenga fedha katika bajeti yake na kununua vifaa tiba pamoja na dawa zitakazosaidia kupunguza au kuondoa kabisa vifo vya watoto wachanga hapa nchini ambapo ripoti mbalimbali zinaonyesha mwaka jana pekee imefikia watoto elfu kumi na tatu.
Changamoto hiyo imetolewa na Taasisi ya Doris Mollel Foundation muda mfupi baada ya kukabidhi vifaa vitakavyosaidia kuokoa maisha ya watoto wachanga hususani watoto njiti katika Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Iringa.
Ndani ya...
10 years ago
MichuziWananchi waishukuru serikali kuwajengea uwezo wa kupunguza athari za maafa ya ukame
Wananchi wa Wilayani Same katika kata ya Hedaru, Makanya na Vunta wameishukuru serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu, Idara ya uratibu maafa, kwa kuwajengea uwezo wa kuzuia, kupunguza na kukabiliana na maafa yanayotokana na ukame ambao umekuwa ukizisumbua kata hizo Kutokana na mabadiliko ya Tabia Nchi.
Idara ya uratibu maafa Ofisi ya Waziri Mkuu kupitia Mradi wa kujengea jamii uwezo wa kukabili maafa ya ukame imefanikiwa kujenga uwezo huo kupitia vikundi vya maendeleo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HELyR-PXDPs/XnphbEqmsWI/AAAAAAALk9Y/YVkqrXE5gMEBV4YS7gGQh_oVJdBsScEwgCLcBGAsYHQ/s72-c/FC4A7288.jpg)
MAHAKAMA YAENDELEA KUWEKA MIKAKATI KUKABILIANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-HELyR-PXDPs/XnphbEqmsWI/AAAAAAALk9Y/YVkqrXE5gMEBV4YS7gGQh_oVJdBsScEwgCLcBGAsYHQ/s640/FC4A7288.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/FC4A7291.jpg)
Baadhi ya Viongozi wa Mahakama ya Tanzania walioambatana na Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mhe. Dkt. Eliezer Feleshi alipokuwa akizungumza na Waandishi wa Habari leo jijini Dar es salaam. Katikati ni Mkurugenzi wa Tehama...
10 years ago
Dewji Blog12 Jan
CCM Lindi yakutana kuweka mikakati mizuri
![](http://2.bp.blogspot.com/-ajWlQPI8wtU/VLNPq92YKeI/AAAAAAAAVaQ/leYpib_tnHQ/s1600/2.jpg)
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiwa na Mwenyekiti aliyeshinda uchaguzi Hamid Rashid Namtonda akitoa salaam za kushukuru wakazi wa kijiji cha...
10 years ago
MichuziKISHAPU YAFANIKIWA KUPUNGUZA ATHARI ZA UKAME
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--E5U07fbx-w/XuBfd9Nt_oI/AAAAAAALtR8/bxP9zsvHM68KpG9xNsv0hBaoCXmlhfcPACLcBGAsYHQ/s72-c/1.Jaji%2BMihayo%252C%2BDevota%2BMdachi%2Bna%2BWaitara.jpeg)
TTB YAKUTANA NA MABALOZI KUWEKA MIKAKATI YA KUTANGAZA UTALII, UKANDA WA ASIA, AUSTRALASIA
![](https://1.bp.blogspot.com/--E5U07fbx-w/XuBfd9Nt_oI/AAAAAAALtR8/bxP9zsvHM68KpG9xNsv0hBaoCXmlhfcPACLcBGAsYHQ/s640/1.Jaji%2BMihayo%252C%2BDevota%2BMdachi%2Bna%2BWaitara.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZdnUxUzggFs/XuBfePW5RaI/AAAAAAALtSA/-qQAy6FNGI8mBYi_NyaGVmTKuLy-1-LIwCLcBGAsYHQ/s640/2_Wafanyakazi.jpeg)
BODI ya Utalii Tanzania (TTB) imefanya mkutano na Mabalozi wa Tanzania wanaoiwakilisha Tanzania katika nchi zilizopo kanda ya Asia na...