Mahojiano na JhikoMan kuhusu wimbo wake mpya...Africa Arise
![](http://3.bp.blogspot.com/-y2rkHFl8j5Y/VMGyb22RV-I/AAAAAAAAHy0/eKGNbl5tcNY/s72-c/jhiko%2Bposter.jpg)
Karibu katika mahojiano kati ya Mubelwa Bandio na Jhiko Manyika a.k.a JhikoMan aliyejiunga nasi moja kwa moja kutoka Bagamoyo TanzaniaAlizungumzia wimbo wake mpya wa Africa Arise, ambao amemshirikisha Peter Morgan wa kundi la Morgan Heritage.Amezungumza mengi kuuhusuKaribu usikilize hapa chini
Pia unaweza kurejea mahojiano kati yao wakati JhikoMan akiwa ziarani Ulaya mwaka 2014. Alizungumza mengi kuhusu muziki wa reggae Tanzania lakini pia aligusia "projects" mbalimbali ambazo ziko njiani kuja
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-y2rkHFl8j5Y/VMGyb22RV-I/AAAAAAAAHy0/eKGNbl5tcNY/s72-c/jhiko%2Bposter.jpg)
[AUDIO]: Mahojiano na JhikoMan kuhusu wimbo wake mpya...Africa Arise
![](http://3.bp.blogspot.com/-y2rkHFl8j5Y/VMGyb22RV-I/AAAAAAAAHy0/eKGNbl5tcNY/s1600/jhiko%2Bposter.jpg)
Alizungumzia wimbo wake mpya wa Africa Arise, ambao amemshirikisha Peter Morgan wa kundi la Morgan Heritage.
Amezungumza mengi kuuhusu
Karibu usikilize hapa chini
Pia unaweza kurejea mahojiano kati yao wakati JhikoMan akiwa ziarani Ulaya mwaka 2014. Alizungumza mengi kuhusu muziki wa reggae Tanzania lakini pia aligusia "projects" mbalimbali ambazo ziko njiani kuja
10 years ago
Michuzi14 Jan
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-jQf4QhcCbqk/VLeIvhmb40I/AAAAAAADVis/lWvpWq7CnlA/s72-c/jhiko%2Bposter.jpg)
10 years ago
Bongo511 Sep
Jux azungumzia tetesi za kuhusu wimbo wake mpya ‘Sisikii’ kama amemuimbia Vanessa Mdee
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-wL6yTPgLsvk/U-q-auTxqOI/AAAAAAAAHSU/pdHARDNmwmU/s72-c/Jhikoman.jpg)
Mahojiano ya Kwanza Production na Jhiko Manyika a.k.a JhikoMan
![](http://4.bp.blogspot.com/-wL6yTPgLsvk/U-q-auTxqOI/AAAAAAAAHSU/pdHARDNmwmU/s1600/Jhikoman.jpg)
Amezungumza mengi kuhusu ziara yake ya Ulaya iliyoanza mwezi wa nne, maonyesho aliyofanya, kazi alizorekodi na pia watu aliowashirikisha kwenye albamu yake mpya ijayo.
Amezungumzia IMANI ya RASTA na pia MUZIKI WA TANZANIA kwa ujumlaAmeongea mengi memaKARIBU UJIUNGE NASI
9 years ago
Bongo510 Nov
Kanye West asahau mashairi ya wimbo wake kwenye birthday ya mama mkwe wake na kuanza kuimba wimbo wa adui yake 50 Cent
![222](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/222-300x194.jpg)
Kanye West anadaiwa alijikuta akisahau mashairi ya wimbo wake mwenyewe wakati alipoombwa kutumbuiza kwenye birthday ya mama mkwe wake, Kris Jenner aliyetimiza miaka 60 wiki iliyopita.
Rapper huyo mwenye umri wa miaka 38 alipewa mic na muimbaji Charlie Wilson, aliyekuwa akiimba wimbo wake kabla ya kuanza kuimba wimbo wa Kanye, ‘See Me Now’ – aliomshirikisha Beyonce na – lakini alikiri kuwa hakumbuki mashairi ya wimbo huo wa mwaka 2010 na haraka akaanza kuimba wimbo wa adui yake.
Chanzo...
11 years ago
Bongo512 Aug
Picha/Audio: Utengenezaji wa video mpya ‘Mr. Oreo’ ya Iyanya, Marekani na sikiliza wimbo wake mpya ‘Story story’
10 years ago
GPL01 Jan
9 years ago
Mtanzania21 Aug
Mo Music amtamani KCEE katika wimbo wake mpya
NA AGNES MHAGAMA
BAADA ya wasanii mbalimbali wa muziki wa Bongo Fleva kufanya vizuri kimataifa kupitia ushirikiano na wasanii wa kimataifa, msanii anayefanya vizuri katika wa muziki huo, Moshi Katemi ‘Mo Music’ naye ana matarajio ya kushirikiana na msanii kutoka Nigeria, KCEE.
Mo Music, anayetamba na wimbo wa ‘Basi Nenda’ na ‘Ntazoea’, alisema ameshafanya mawasiliano na msanii huyo na mipango ikienda kama walivyopanga watakamilisha wimbo huo ndani ya mwaka huu.
“Nimemchagua KCEE kwa sababu...