Mahujaji zaidi wa Tanzania waliokufa watambulika
MA H U J A J I wengine w a n n e w a Tanzania waliokuwa miongoni mwa wale waliokuwa wakitafutwa tangu ajali ya kukanyagana mahujaji iliyotokea Makka nchini Saudi Arabia Septemba 24, mwaka huu wametambuliwa kuwa kati ya mahujaji waliokufa.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo01 Oct
Taarifa zaidi ya Mahujaji kutoka Tanzania huko Saudi Arabia
Simu: 255-22-2114615, 211906-12 Barua pepe: nje@nje.go.tzBarua pepe: gcu@nje.go.tzTovuti : www.foreign.go.tzNukushi: 255-22-2116600
20 KIVUKONI FRONT, P.O. BOX 9000, 11466 DAR ES SALAAM, Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kwa masikitiko makubwa...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OvdPgIM2CGo/Vg1iNPZqi3I/AAAAAAAH8Nk/6aVYHRA696U/s72-c/hh.png)
STOP PRESS: Taarifa zaidi ya Mahujaji kutoka Tanzania huko Saudi Arabia
![](http://4.bp.blogspot.com/-OvdPgIM2CGo/Vg1iNPZqi3I/AAAAAAAH8Nk/6aVYHRA696U/s640/hh.png)
Mahujaji hao ambao wanaendelea kupata matibabu na hali zao zikiendelea vizuri ni Bi. Hidaya Mchomvu na Bi. Mahjabin Taslim Khan. Pia kwa mujibu wa taarifa za Ubalozi Hujaji mwingine anayejulikana...
9 years ago
Dewji Blog29 Sep
Taarifa zaidi kuhusu Mahujaji kutoka Tanzania waliofariki na kujeruhiwa huko Saudi Arabia
![](http://3.bp.blogspot.com/-z_ZpGGFueAI/Vgmm_RxyyGI/AAAAAAAAijo/-iRytu7Purc/s640/Ministry%2527s%2BHeader%2BFinal.jpg)
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kupitia Ubalozi wake mjini Riyadh, Saudi Arabia imepokea taarifa kuwa hadi kufikia tarehe 27 Septemba, 2015 watu waliopoteza maisha kufuatia tukio la mkanyagano (stampede) wa Mahujaji waliokuwa wakielekea Jamarat kutupa vijiwe huko Mina nje kidogo ya mji wa Makkah, lililotokea siku ya Alhamisi tarehe 24 Septemba,...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4Panb00Exfo/Vk8f6CbQfTI/AAAAAAAIHJo/QcfuU32qT30/s72-c/New%2BPicture.png)
TAARIFA ZAIDI KUHUSU MAHUJAJI KUTOKA TANZANIA WALIOFARIKI AU KUJERUHIWA HUKO SAUDI ARABIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-4Panb00Exfo/Vk8f6CbQfTI/AAAAAAAIHJo/QcfuU32qT30/s1600/New%2BPicture.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARITAARIFA ZAIDI KUHUSU MAHUJAJI KUTOKA TANZANIA WALIOFARIKI AU KUJERUHIWA HUKO SAUDI ARABIA
Mahujaji wengine wane (4) kutoka Tanzania ambao walikuwa miongoni mwa wale waliokuwa hawaonekani tangu ajali ya kukanyagana kwa mahujaji ilipotokea Makkah nchini Saudi Arabia tarehe 24 Septemba 2015 wametambuliwa kuwa, ni miongoni mwa mahujaji waliofariki dunia. Kutambuliwa kwa mahujaji hao...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-skaezcAWygo/VgQfd-5QAGI/AAAAAAAAZq8/Hpt6yezMuqo/s72-c/IMG_20150924_185938.jpg)
MAHUJAJI ZAIDI YA 700 WAFA KWA KUKANYAGANA WAKITEKELEZA IBADA YA HIJA
![](http://4.bp.blogspot.com/-skaezcAWygo/VgQfd-5QAGI/AAAAAAAAZq8/Hpt6yezMuqo/s640/IMG_20150924_185938.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Li2BZTvdsjY/VgPxVxrN8fI/AAAAAAAAZpE/BfzgkRlDF7k/s640/ccc.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/N0Xct7ZPYQ0/default.jpg)
Simu TV: Mahujaji wa Tanzania wafanya Ibada kuombea amani Tanzania wakati na baada ya uchaguzi mkuu
Kwa habari zaidi BOFYA HAPA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rkFK1BYzsGh8AstKB-LAkGpp6cRG5Au15L349-QpGfW2503-WiGVfrCkIokZs38KuM5syuDVw6hrJfLxeKmVHG85Po4HMZxI/Wabunge.jpg)
TUJIONGEZE: WABUNGE WA TANZANIA WALIOKUFA KWA AJALI
9 years ago
Habarileo29 Sep
Mahujaji 50 kutoka Tanzania wapotea
WAKATI Waislamu kote duniani wakiwa katika simanzi kuu kutokana na vifo vya mahujaji zaidi ya 700 katika mji mtakatifu wa Makka, Saudia Arabia, imethibitika kuwa zaidi ya mahujaji 50 wa Tanzania, hawajulikani walipo.
9 years ago
Habarileo14 Sep
Mufti: Mahujaji wa Tanzania wako salama
LICHA ya ongezeko la vifo vya mahujaji katika mji mtakatifu wa Makka nchini Saudi Arabia, imeelezwa kuwa, hakuna taarifa za vifo vya Waislamu wa Tanzania waliokwenda kutekeleza Ibada ya Hijja nchini humo.