Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maisha ni vita, pigana utashinda usiogope mtu

Maisha yako yakoje? Jibu unalo mwenyewe, lakini ukweli ni kwamba kuna idadi kubwa ya watu wana maisha magumu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mjue mtu aliyechochea kuzuka kwa Vita ya Kwanza ya Dunia-2

Mwaka 1912, Gavrilo Princip alifukuzwa shule kwa sababu ya kushiriki maandamano ya kupinga utawala wa Austria-Hungary. Kwa mujibu wa mwanahistoria Malcom Noel, Princip aliondoka Sarajevo muda mfupi baada ya kutimuliwa shule na kuanza safari ya kilometa 280 kwa miguu kuelekea Belgrade

 

10 years ago

Bongo5

New Video: Malfred — Pigana

Video mpya kutoka kwa Malfred wimbo unaitwa “Pigana” video imetaarishwa na SPK filmz Next Edition

 

11 years ago

GPL

‘FISI MTU AMENIHARIBIA MAISHA’

Jelard Lucas na Makongoro Oging' “MSEMO wa wahenga, hujafa Hujaumbika ulikuwa sahihi kabisa. Wahenga waliona mbali, wanatakiwa kuheshimiwa kwani misemo yao inaishi mpaka leo. Ni kweli binadamu kamili ni yule anayezikwa, kabla ya hapo hujakamilika. “Unaweza kuishi na viungo vyako vyote miaka hamsini, lakini siku ya mwisho ukapata ajali, ukakatika mikono na kufa, pale ndiyo umeumbika sasa,” ndivyo anavyoanza...

 

9 years ago

BBCSwahili

Upinzani waamini utashinda uchaguzi Myanmar

Chama cha upinzani nchini Myanmar cha NLD kimesema kina Imani kitashinda uchaguzi wa kwanza huru kufanyika nchini humo katika kipindi cha miaka 25.

 

11 years ago

Mwananchi

Kanuni za sayansi za kusaidia mtu kuishi maisha marefu

>Kwa miaka mingi sana binadamu wa karne zote wamekuwa wakitafuta siri za maisha marefu, kuzuia uzee na hata kuzuia kifo.

 

10 years ago

Michuzi

Mtu Mmoja apoteza maisha kwa Mafuriko jijini Dar

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limethibitisha kuwepo kwa mtu mmoja mwanaume aliyetambulika kwa jina la EXAVERY S/O MICHAEL, Miaka 19, Mkazi wa Kingugi Mbagala, aliefariki dunia baada ya kusombwa na maji wakati akiwa katika harakati za kuvuka mto Kizinga, na kufikia idadi ya Watu 13 waliopoteza maisha jijini Dar es Salaam kutokana na athari ya mafuriko kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha. 
Tukio hili lilitokea tarehe 13/05/2015 majira ya saa nane kamili mchana huko...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Usiogope maumivu ya leba

TUANZE makala na kifungua mada tukiwasikiliza washkaji wawili wakijadiliana jambo Fulani. Mshikaji 1: Nimefurahia kumsindikiza mke wangu huko kliniki ya wajawazito. Kumbe humo kuna vichekesho. Unajua mke wangu amesoma mpaka...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ney Lee kusambaza ‘Usiogope’

MWANADADA anayekuja kwa kasi katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya nchini, Ney Lee, anatarajia kusambaza kazi yake mpya hivi karibuni inayokwenda kwa jina la ‘Usiogope’. Ney Lee, ametamba katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani