Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAJALIWA: SIJARIDHISHWA NA UJENZI WA KITUO CHA HOROHORO

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema hajaridhishwa na ujenzi wa jengo la kituo cha pamoja cha huduma ya forodha kilichopo kwenye mpaka wa Tanzania na Kenya eneo la Horohoro, Tanga ambacho ujenzi wake umegharimu sh. bilioni 7.6.

“Jengo hili kuta tayari zimeshaanza kuvimba, kwa nini majengo ya TRA (Mamlaka ya Mapato Tanzania) yanajengwa kwa kiwango cha chini na kwa nini mmeruhusu majengo haya yatumike,” amehoji Waziri Mkuu.

Kufuatia hali hiyo Waziri Mkuu amemtaka Afisa Miliki wa TRA, Bw. Haruna...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

MODEWJI FOUNDATION YASAIDIA UJENZI WA MADARASA KITUO CHA MAFUNZO CHA FURAHINI.

Meneja uendeshaji wa Modewji Foundation ,Francesca Tettamanzi akiwa ameambata na wafanyakazo wa kampuni ya METL walipotembelea kituo cha mafunzo cha Furahini cha wilayani Mwanga.  Afisa Udhibiti wa Ubora wa elimu ya msingi wilaya ya Mwanga ,Richard Joachim akizungumza wakati wa uzinduzi rasmi wa kituo cha mafunzo cha vijana cha Furahini klichopo Kisangara wilayani Mwanga.  Meneja uendeshaji wa Modewji Foundation ,Francesca Tettamanzi akifungua mfano wa hundi kwa ajili ya kukabidhi kwa...

 

11 years ago

Michuzi

IPTL yapiga jeki ujenzi wa kituo cha polisi cha Mbweni- Malindi

 Meneja Mkuu wa Utawala na Rasilimali wa Jeshi la Polisi la Tanzania, Kamishna wa Polisi Thobias Andengenye (kulia) akifurahia jambo na Mwenyekiti Mtendaji wa kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), Bw. Harbinder Sethi (kushoto), wakati akipokea hundi ya shilingi milioni 10 iliyotolewa na IPTL kuchangia ujenzi wa kituo cha Polisi cha Mbweni-Malindi. Katikati ni Kamanda wa Polisi Kanda Maalum la kipolisi Dar es Salaam, Kamishna wa Polisi, Suleiman Kova. Meneja Mkuu wa Utawala...

 

5 years ago

CCM Blog

WAZIRI MKUU: HAJARIDHISHWA NA UJENZI WA JENGO LA KITUO CHA PAMOJA CHA HUDUMA YA FORODHA

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema hajaridhishwa na ujenzi wa jengo la kituo cha pamoja cha huduma ya forodha kilichopo kwenye mpaka wa Tanzania na Kenya eneo la Horohoro, Tanga ambacho ujenzi wake umegharimu sh. bilioni 7.6.
“Jengo hili kuta tayari zimeshaanza kuvimba, kwa nini majengo ya TRA (Mamlaka ya Mapato Tanzania) yanajengwa kwa kiwango cha chini na kwa nini mmeruhusu majengo haya yatumike,” amehoji Waziri Mkuu.
Kufuatia hali hiyo Waziri Mkuu amemtaka Afisa Miliki wa TRA, Bw. Haruna...

 

9 years ago

Michuzi

NHIF YAKAMILISHA UJENZI WA KITUO CHA KISASA CHA UCHUNGUZI NA MATIBABU KILICHOJENGWA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA

   Jengo la ujenzi wa kituo cha kisasa cha uchunguzi na matibabu kilichojengwa katika hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Dodoma.  Sehemu ya jengo la ujenzi wa kituo cha kisasa cha uchunguzi na matibabu kilichojengwa katika hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Dodoma  Sehemu ya jengo la ujenzi wa kituo cha kisasa cha uchunguzi na matibabu kilichojengwa katika hospitali ya rufaa ya Mkoa wa Dodoma Kaimu Mkurugenzi Mkuu Mfuko wa NHIF, Michael Mhando akizungumza wakati wa makabidhiano ya  kituo cha kisasa...

 

10 years ago

Mwananchi

Ujenzi kituo cha mabasi mikoani ‘danadana’

Ujenzi wa kituo cha mabasi ya mikoani, eneo la Mbezi Luis, uko njia panda kutokana na kukosekana fedha kutoka kwa wabia wa mradi huo.

 

5 years ago

Michuzi

SIJARIDHISHWA NA UTENDAJI KAZI WA CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA GEITA-KUSAYA



Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya akiwa amepanda juu ya ngazi kutizama mtambo wa kuchambua pamba katika kiwanda cha Matongo Farming Ltd wilaya ya Geita .Kiwanda hicho kina uwezo wa kuzalisha robota 450 zenye uzito wa kilo 200 kwa siku.
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya ( aliyevaa koti la bluu ) akiwa na Mkurugenzi Msaidizi wa Kiwanda cha Matongo Bw.Mwalida Samson wakitembelea kiwanda hicho mjini Geita leo.
Majengo ya kiwanda cha kuchambua pamba yanayomilikiwa na Chama...

 

10 years ago

StarTV

Ujenzi wa kituo cha ushuru Rusumo, TANROADS yalalamikiwa.

Na Mariam Emily,

Rusumo.

Baadhi ya wananchi katika mpaka wa Rusumo wilayani Ngara mkoani Kagera, wamelalamikia wakala wa barabara nchini TANROADS kutokuwa makini katika usimamizi wa ujenzi wa kituo cha ushuru wa forodha katika mpaka huo, ambacho wanadai kimejengwa chini ya kiwango ukilinganisha na kile cha nchi jirani ya Rwanda, ambavyo vyote vimejengwa kwa ufadhili wa serikali ya Japan kwa gharama ya dola za kimarekani milioni thelathini na mbili.

 

Wananchi hao wametoa malalamiko hayo...

 

11 years ago

Mwananchi

Sadiki aingilia kati ujenzi kituo cha basi

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadiki ametoa siku 14 kwa Manispaa ya Kinondoni kukamilisha kituo cha muda cha daladala kitakachotumika kama mbadala wa Kituo cha Daladala cha Ubungo.

 

10 years ago

Mwananchi

Ujenzi kituo cha kuchakata gesi Madimba wakamilika

MwananchiMtwara. Kituo cha kuchakata gesi cha Madimba mkoani Mtwara kimekamilika kwa asilimia 97 na kinatarajiwa kuzalisha umeme wa megawati 350 baada ya miezi miwili ijayo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani