Ujenzi kituo cha mabasi mikoani ‘danadana’
Ujenzi wa kituo cha mabasi ya mikoani, eneo la Mbezi Luis, uko njia panda kutokana na kukosekana fedha kutoka kwa wabia wa mradi huo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo17 Dec
UNCDF yatoa kianzio ujenzi kituo cha mabasi Kibaha
HALMASHAURI ya Mji wa Kibaha mkoani Pwani imepewa Sh bilioni 1.7 kutoka Mfuko wa Maendeleo ya Mtaji wa Umoja wa Mataifa (UNCDF) kama kianzio cha mtaji kwa miradi yake miwili ya kituo cha mabasi cha kisasa na soko.
11 years ago
Habarileo17 Jan
Ukata wakwamisha ujenzi kituo kikuu cha mabasi Dar
UKATA wa fedha unadaiwa kukwamisha ujenzi wa kituo kikuu kipya cha mabasi yaendayo mikoani na nje ya nchi, katika eneo la Mbezi Louis wilayani Kinondoni. Kutokana na ukata huo, Kituo Kikuu cha Mabasi cha Ubungo (UBT) kimeendelea kutoa huduma eneo la Ubungo, licha ya Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kuamuriwa mwaka jana, ihakikishe kinahamia ama Mbezi Louis au Boko Wasa.
11 years ago
Dewji Blog02 Jun
Baada ya mabasi kuzuiwa kituo cha Mwenge wafanyabiashara wadogo wapanga kuandamana kupinga kuweka meza zao za biashara ndani ya kituo
Abiria wakiwa wanashangaa Daladala zinapita Mwenge Bila kusimama.
Daladala zikiwa zinapita bila kusimama sehemu yoyote.
Kituo cha kwenda Tegeta , Kawe na Mbezi Beach kikiwa Kitupu Muda huu.
Kituo cha Mabasi Mwenye Cheupe hakuna hata Daladala hata moja.
Bajaji ndizo zimegeuka kuwa daladala na ni Tsh 1000 tu kwa mtu mmoja mpaka Mwenge.
Eneo ambalo Daladala zilikuwa nyingi sasa hakuna tena mabasi hayo.
Bajaji zikiendelea na Kazi.
Upande wa Mwenge kwenda Morocco Pia hakuna mabasi...
10 years ago
MichuziChama Cha Kutetea Abiria (CHAKUA) YAITAKA SUMATRA KUSHUSHA NAULI KWA DALADALA NA MABASI YA MIKOANI
Na Chalila Kibuda.
Chama Cha Kutetea Abiria (Chakua) kimesema kuwa kutokana na bei ya mafuta kushuka nchini nauli ya daladala na nauli ya mabasi mikoani inatakiwa kushuka kwa asilimia...
10 years ago
Mwananchi10 Apr
Gharama Kituo cha Mabasi cha Kange kufanyiwa uchunguzi
10 years ago
MichuziKilio cha Mdau juu ya ushuru unaolipishwa katika kituo kikuu cha mabasi Ubungo
Tunawapongeza sana kwa kazi nzuri mnayoendelea kuifanya ya kutujuza mambo mbali mbali yanayoendelea hapa nchini na nje ya mipaka ya nchi yetu,tunawapa BIGI APU sana kwa kweli.
Kupitia libeneke la Globu ya Jamii,naomba nifikishie kero yangu hii kwa wahusika wa Halmashauri ya Jiji,maana leo nilifika pale kwenye stendi kuu ya mabasi (Ubungo Bus Terminal) na kukutana na utaratibu wa kulipisha kiasi cha sh. 300 ikiwa ni gharama ya maegesho ya...
5 years ago
MichuziKITUO KIKUU CHA MABASI CHA DODOMA KUZINDULIWA HIVI KARIBUNI, MKURUGENZI WA JIJI AFUNGUKA
JIJI la Dodoma limesema ifikapo Juni 30 mwaka huu ndio itakua mwisho kwa Mabasi makubwa ya abiria kupaki nje ya Kituo Kikuu cha Mabasi Dodoma.
Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Godwin Kunambi katika mkutano wake na wandishi wa habari wakati alipotembelea Ujenzi wa Kituo hicho kinachojengwa katika eneo la Nzuguni.
Kunambi amesema ujenzi wa Kituo hiko ambacho kitakua kikubwa kuliko vyote kwa ukanda wa Afrika Mashariki tayari umekamilika...
10 years ago
GPLKUFUATIA MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA, HALI ILIVYO KATIKA KITUO CHA MABASI CHA UBUNGO
10 years ago
Mtanzania03 Mar
Kituo cha mabasi Ubungo ‘kinavyotafunwa’
Katika gazeti hili toleo la jana, tuliaandika namna mapato yanayopatikana katika kituo cha mabasi yaendayo mikoani cha Ubungo, (UBT) kilichopo jijini Dar es Salaam, yanavyokusanywa na kuishia mikononi mwa watu wachache huku miundombinu yake ikizidi kudorora.
Watoto walala juu ya miti
Gazeti hili lilibaini kuwapo kundi kubwa la watoto kutoka mikoa mbalimbali wamejenga makazi yao ya kudumu katika eneo hilo na kuwa sehemu ya maisha yao.
Jua linapozama watoto hao wenye umri kati ya miaka 7 hadi...