Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Majambazi yapora fuko la fedha Benki ya Barclays

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillius WamburaMAJAMBAZI wenye silaha wamepora fedha zinazokisiwa kufikia Sh milioni 300 katika Benki ya Barclays tawi la Kinondoni `TX Market’ jijini Dar es Salaam.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Majambazi yaua, yapora fedha

NI kama sinema vile iliyochezwa na majambazi mawili katika mji wa Geita. Majambazi hayo, juzi yaliuteka mji wa Geita kwa takribani dakika 15 kwa mtutu wa bunduki na kupora fedha...

 

9 years ago

Mwananchi

Majambazi yaua walinzi, yapora benki mbili Dar

Watu sita wanaodaiwa kuwa ni majambazi wamewaua kwa risasi walinzi wawili wa benki mbili tofauti na kupora mamilioni ya fedha katika benki hizo, Chanika nje kidogo ya jiji.

 

11 years ago

GPL

BENKI YA BARCLAYS TAWI LA KINONDONI YAVAMIWA NA MAJAMBAZI

Watu wasiojulikana wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wamevamia benki ya Barclays tawi la Kinondoni na kupora kiasi kikubwa cha fedha ambazo idadi yake haijajulikana mara moja. Tukio hilo limetokea muda huu saa nne , katika tawi la benki hiyo iliyopo Kinondoni eneo la Bakwata likihusisha watu watatu waliokuwa na pikipiki mmoja wao akiwa na bastola.

 

10 years ago

GPL

MAJAMBAZI YAUA ASKARI NA KUPORA FEDHA BENKI YA NMB, MKURANGA

WATU wanaodhaniwa kuwa majambazi wamevamia Benki ya NMB tawi la Mkuranga mkoani Pwani na kupora fedha kisha kumuua askari mmoja. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Jafary Mohamed ameuthibitishia mtandao huu kutokea kwa tukio hilo na kwamba kwa sasa yupo njiani kuelekea eneo la tukio. "Taarifa hizo nimezipata kuwa watu hao wanaodhaniwa kuwa majambazi kuvamia Benki ya NMB, Mkuranga na kupora fedha ambazo kiasi chake bado...

 

9 years ago

Mwananchi

Majambazi yapora wafanyabiashara

Watu wanne wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wakiwa na silaha  za moto wamewavamia wafanyabiashara kwenye Kijiji cha Vikonge wilayani Mpanda na kuwapora fedha na mali zao.

 

11 years ago

TheCitizen

Majambazi yaua, yapora Singida

Watu wawili wamefariki dunia mkoani Singida katika matukio tofauti, likiwemo la mzee mwenye umri wa miaka 65 kuuawa na watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi ambao pia walipora Sh1,340,000.

 

11 years ago

Habarileo

Majambazi yafunga barabara, yapora

KUNDI la watu wanaodhaniwa kuwa majambazi wakiwa na silaha za jadi, juzi usiku walifunga barabara ya Mbeya – Njombe.

 

10 years ago

Vijimambo

Majambazi yapora Sh15 mil


Dar es Salaam. Matukio ya ujambazi yanaendelea kutikisa Jiji la Dar es Salaam baada ya watu wanaoaminika kuwa majambazi kumjeruhi kwa kumpiga risasi mkazi wa Kibaha, Nyalinga Steven (pichani) na kumpora kiasi cha Sh15 milioni jana.Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kinondoni, Camilius Wambura alisema jana kuwa Steven alipigwa risasi sehemu ya ubavuni katika eneo la Magomeni Mikumi.Akisimulia tukio hilo, Camillius alisema Steven alikuwa akitoka Manzese na alipofika Magomeni Mikumi, alipigwa risasi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Majambazi yajeruhi, yapora mamilioni

MFANYABIASHARA wa kubadilisha fedha, Alphonce Mwanjela (36) amejeruhiwa kwa risasi kisha kuporwa kiasi kikubwa cha fedha na watu wanaodhaniwa ni majambazi. Mwanjela anayeendesha shughuli zake katika eneo la mpaka wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani