Majambazi yapora fuko la fedha Benki ya Barclays
MAJAMBAZI wenye silaha wamepora fedha zinazokisiwa kufikia Sh milioni 300 katika Benki ya Barclays tawi la Kinondoni `TX Market’ jijini Dar es Salaam.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima26 Jun
Majambazi yaua, yapora fedha
NI kama sinema vile iliyochezwa na majambazi mawili katika mji wa Geita. Majambazi hayo, juzi yaliuteka mji wa Geita kwa takribani dakika 15 kwa mtutu wa bunduki na kupora fedha...
9 years ago
Mwananchi09 Dec
Majambazi yaua walinzi, yapora benki mbili Dar
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
BENKI YA BARCLAYS TAWI LA KINONDONI YAVAMIWA NA MAJAMBAZI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MAJAMBAZI YAUA ASKARI NA KUPORA FEDHA BENKI YA NMB, MKURANGA
9 years ago
Mwananchi19 Aug
Majambazi yapora wafanyabiashara
11 years ago
TheCitizen01 Mar
Majambazi yaua, yapora Singida
11 years ago
Habarileo26 Feb
Majambazi yafunga barabara, yapora
KUNDI la watu wanaodhaniwa kuwa majambazi wakiwa na silaha za jadi, juzi usiku walifunga barabara ya Mbeya – Njombe.
10 years ago
Vijimambo23 Oct
Majambazi yapora Sh15 mil
Dar es Salaam. Matukio ya ujambazi yanaendelea kutikisa Jiji la Dar es Salaam baada ya watu wanaoaminika kuwa majambazi kumjeruhi kwa kumpiga risasi mkazi wa Kibaha, Nyalinga Steven (pichani) na kumpora kiasi cha Sh15 milioni jana.Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kinondoni, Camilius Wambura alisema jana kuwa Steven alipigwa risasi sehemu ya ubavuni katika eneo la Magomeni Mikumi.Akisimulia tukio hilo, Camillius alisema Steven alikuwa akitoka Manzese na alipofika Magomeni Mikumi, alipigwa risasi...
11 years ago
Tanzania Daima18 Dec
Majambazi yajeruhi, yapora mamilioni
MFANYABIASHARA wa kubadilisha fedha, Alphonce Mwanjela (36) amejeruhiwa kwa risasi kisha kuporwa kiasi kikubwa cha fedha na watu wanaodhaniwa ni majambazi. Mwanjela anayeendesha shughuli zake katika eneo la mpaka wa...