Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Majangili Ruaha kukiona

TEMBO wa Hifadhi ya Taifa ya Ruaha watafungwa kifaa maalumu cha kufuatilia mwenendo wao, hizo zikiwa ni harakati za ziada za serikali na wadau wake, kunusuru wanyama hao dhidi ya majangili wanaosaka meno yao.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dudley News

Roaring success of Ruaha


Dudley News
Roaring success of Ruaha
Dudley News
Sound travels through the air a rate of 332 metres per second, but in the hot, dusty Tanzanian bush, it seems to move much faster. The gruff barks of baboons combine force with the urgent snorts of impala to create a sonic signpost leading us to a ...

 

5 years ago

TheCitizen

Lifetime experience at Ruaha

My friends and I recently embarked on a five-day tour to Ruaha National Park located in the south of Tanzania, about 130 km west of Iringa. The park is a favourite to those who have visited a few parks.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ujangili wapungua Hifadhi ya Ruaha

UJANGILI katika Hifadhi ya Taifa Ruaha umepungua kutokana na operesheni mbalimbali zilizofanyika katika hifadhi hiyo. Mhifadhi Mkuu wa Ruaha, Dk. Chris Timbuka, aliwaambia waandishi wa habari waliotembelea hifadhi hiyo jana...

 

10 years ago

TheCitizen

4,000 jumbos gunned down in Ruaha

Fresh alarming rate of poaching has emerged after a new report established that over 4000 elephants have been killed in just one year in the Ruaha National Park alone.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bingwa Spanest Cup kutinga Ruaha

BINGWA wa mashindano ya soka ya Kupinga Ujangili ‘Spanest Cup’, yaliyofikia hatua ya nusu fainali yakishindanisha timu zinazoizunguka hifadhi ya taifa ya Ruaha, licha ya kupatiwa kombe, pia atatembelea hifadhi...

 

11 years ago

Mwananchi

Mto Ruaha Mkuu hatarini kutoweka

Uhai wa Hifadhi ya Taifa ya Ruaha (RUNAPA) unategemea sana uwapo wa Mto Ruaha Mkuu unaokatisha katika hifadhi hiyo.

 

11 years ago

Dewji Blog

Ruaha imetapika, tunasubiri kisingizio Tanesco!

10153840_733627990023381_7444733151372771307_n

Mto mdogo Ruaha unaokatiza mpaka kwenye Manispaa ya Iringa ‘umetapika’, au umefurika katika maeneo mengi. Mashamba ya pembezoni mwa mto huo, yamefunikwa na maji na wakulima wengi wanalia.

Wenyeji wa mkoa wa Iringa wanasema kwamba, mafuriko ya mwaka huu hayajawahi kutokea katika miaka 10 iliyopita tangu walipoyashuhudia mafuriko ya mwaka 1998 wakati wa Mvua za El Nino.

Mto huo ndio unaoungana na Ruaha Mkuu kumwaga maji katika Bwawa la Mtera na hatimaye kwenye Mto Kilombero kuelekea...

 

9 years ago

Mwananchi

Tembo Ruaha kufuatiliwa na kifaa maalumu

Katika harakati za kupambana na ujangili wa tembo, Mamlaka ya Hifadhi za Taifa (Tanapa) kwa kushirikikiana na Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), limefunga vifaa maalumu kwa ajili ya kufuatilia mienendo ya wanyama hao kwenye mfumo wa ikolojia ya Hifadhi ya Ruaha.

 

9 years ago

Vijimambo

LOWASSA AENDELEA NA KAMPENI ZAKE LEO RUAHA

 Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa akiongea na wananchi wa Ruaha katika viwanja vya Tem K2 Ruaha leo Ijumaa 23/10/2015 Mgombea ubunge wa jimbo la Mikumi Joseph Haule akimueleza matatizo ya Mikumi Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa pamoja na kuzungumza na wananchi waliofika katika viwanja vya Tem k2, leo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani