Ruaha imetapika, tunasubiri kisingizio Tanesco!
Mto mdogo Ruaha unaokatiza mpaka kwenye Manispaa ya Iringa ‘umetapika’, au umefurika katika maeneo mengi. Mashamba ya pembezoni mwa mto huo, yamefunikwa na maji na wakulima wengi wanalia.
Wenyeji wa mkoa wa Iringa wanasema kwamba, mafuriko ya mwaka huu hayajawahi kutokea katika miaka 10 iliyopita tangu walipoyashuhudia mafuriko ya mwaka 1998 wakati wa Mvua za El Nino.
Mto huo ndio unaoungana na Ruaha Mkuu kumwaga maji katika Bwawa la Mtera na hatimaye kwenye Mto Kilombero kuelekea...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili10 Dec
Louis van Gaal hana kisingizio
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TDfMzw51MBo/Xn37-w7P8TI/AAAAAAALlTU/e9tVOKzqP-oKVylBA2tPXRA-9xHWWFCYgCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-1-10-768x512.jpg)
CORONA ISIWE KISINGIZIO CHA KUTOKAMILISHA MIRADI YA UMEME
![](https://1.bp.blogspot.com/-TDfMzw51MBo/Xn37-w7P8TI/AAAAAAALlTU/e9tVOKzqP-oKVylBA2tPXRA-9xHWWFCYgCLcBGAsYHQ/s640/PICHA-1-10-768x512.jpg)
Jiwe la msingi lililowekwa na Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani ikiwa ni kuzindua na kuwasha taa zinazotumia mwanga wa jua( Solar) katika mitaa ya Wilaya ya Chato Mkoani Geita.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/PICHA-2-11-1024x683.jpg)
Muonekano wa Kituo kipya cha Afya cha Bwina nyakati za usiku baada ya Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani kuwasha umeme katika kituo hicho.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/PICHA-3-9.jpg)
Muonekano wa barabara za Mitaa cha Chato baada nyakati za usiku baada ya Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani kuzindua na kuwasha taa zinazotumia mwanga wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-x00rJjSqrS8/XrP5HJnOJ8I/AAAAAAALpY8/if1g75hKv9YkVx3vJYfIkNjXwKEroabGQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-07%2Bat%2B1.22.01%2BPM.jpeg)
TAKUKURU YAMDAKA ALIYEKUWA AKITAPELI WATU FEDHA KWA KISINGIZIO CHA KUWATAFUTIA KAZI
![](https://1.bp.blogspot.com/-x00rJjSqrS8/XrP5HJnOJ8I/AAAAAAALpY8/if1g75hKv9YkVx3vJYfIkNjXwKEroabGQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-07%2Bat%2B1.22.01%2BPM.jpeg)
Charles James, Michuzi TV.TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Dodoma inamshikilia Bw Simon Jumbe mkazi wa Kisasa jijini Dodoma kwa tuhuma za kujiita Afisa wa Takukuru kinyume na sheria.
Akizungumza na wandishi wa habari ofisini kwake jijini Dodoma, Mkuu wa Takukuru Mkoani hapa, Sosthnes Kibwengo amesema wamemkamata...
11 years ago
Mwananchi03 Feb
Makocha wapya, tunasubiri matokeo
11 years ago
Mwananchi21 Jul
Tunasubiri ‘Matokeo Makubwa Sasa’ Madola
10 years ago
Mwananchi13 May
Tunasubiri moshi mweupe urais 2015
10 years ago
Mtanzania03 Dec
‘Tunasubiri neno la Rais tuachie ngazi’
![Frederick Werema](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Frederick-Werema.jpg)
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Frederick Werema
Na Waandishi Wetu
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema, wamesema baada ya hukumu ya Bunge sasa wanasubiri neno la Rais.
Viongozi hao waliyasema hayo jana, ikiwa ni siku chache tangu Bunge kupendekeza mamlaka za uteuzi ziwavue madaraka.
Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) iliyowasilishwa bungeni na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali...
9 years ago
Mwananchi21 Nov
Hiki ndicho tunasubiri katika michezo
10 years ago
Mwananchi28 Mar
MAONI: Tunasubiri vitendo maazimio ya marais