Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makocha wapya, tunasubiri matokeo

Hakuna shaka kwamba kiu ya mashabiki wowote wa soka ni matokeo mazuri uwanjani. Hii ina maana kwamba, timu inapofanaya vibaya, yaani kupata matokeo mabaya na kushindwa kutwaa mataji, mashabiki hukosa furaha.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Tunasubiri ‘Matokeo Makubwa Sasa’ Madola

Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo bendera yake itapepea jijini Glasgow, Scotland katika ufunguzi wa Michezo ya Jumuiya ya Madola itakayofanyika Julai 23 kwenye Uwanja wa Celtic Perth.

 

10 years ago

Mwananchi

Tunasubiri ‘Matokeo Makubwa Sasa’ katika elimu

Matatizo yanayoendelea kuzikabili shule za msingi, sekondari na vyuo vya elimu ya juu hapa nchini yamejenga dhana miongoni mwa wananchi kwamba Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) katika sekta ya elimu nchini hautapata mafanikio au kufikia malengo yaliyokusudiwa katika muda uliopangwa. Itakumbukwa kwamba mpango huo ulizinduliwa Agosti 14, 2013 na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi jijini Dar es Salaam sambamba na maonyesho ya wazi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Makocha wapya Yanga waanza kwa mkwara

MAKOCHA wapya wa Yanga, Charles Boniface Mkwasa na Juma Pondamali ‘Mensah’ wameanza kukinoa kikosi cha klabu hiyo huku wakiwaonya wachezaji hasa watovu wa nidhamu. Pondamali na Mkwasa wameanza kuinoa timu...

 

10 years ago

Michuzi

Hans van Der Pluijm na Charles Mkwassa watajwa kuwa makocha wapya wa Yanga

Klabu ya Yanga imemtaja,  Dr Jonas Tiboroha (45) kuwa katibu mkuu wa klabu na kuwathibitisha rasmi Hans van Der Pluijm na Charles Mkwassa kuwa makocha wapya sambamba na kuitaka sekretarieti iliyomaliza muda wake kukabidhi ofisi haraka.
Pluijm na Mkwassa wanachukua nafasi ya makocha wa Yanga, Marcio Maximo na Leonardo Neiva waliotupiwa virago huku Tiboraha akichukua mikoba ya Beno Njovu aliyemaliza muda wake.
Awali mkufunzi wa Fifa, Henry Tandau alipigiwa chapuo kuchukua cheo cha Ukatibu baada...

 

11 years ago

Michuzi

makocha wa Timu ya Barcelona kutoa mafunzo ya makocha wa Tanzania

Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi Juliana Yassoda (Katikati) akiongea na Wanahabari (Hawapo pichani) kuhusu makocha wa Timu ya Barcelona kutoka nchini Hispania ambao wako nchini kwa ajili ya mafunzo ya makocha wa Tanzania yatakayofanyika kwa muda wa siku mbili.Wengine picha toka kulia ni Balozi wa Spain nchini Mh. Luis Manuel Ceuesta Civis, Mkurugenzi wa Masoko wa TBL,Kushila Thomas,Kocha Isaac Oriol Guerrero...

 

10 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: RAIS KIKWETE ATEUA WAKUU WA WILAYA WAPYA 27,WAPYA WAKIWEMO SHABANI KISU,PAUL MAKONDA,FREDRICK MWAKALEBELA


*Atengua uteuzi wa Ma-DC 12, awabadilisha vituo 64, awabakiza 42 kwenye vituo vyao vya zamani.
RAIS Jakaya Kikwete amefanya mabadiliko ya Wakuu wa Wilaya kwa kuwateua Wakuu wapya 27, kuwahamisha vituo vya kazi 64 na wengine 42 amewabakisha kwenye vituo vyao vya kazi vya zamani.
Akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa OWM TAMISEMI leo mchana (Jumatano, Februari 18, 2015) Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema mabadiliko hayo yamesababishwa na kuwepo kwa nafasi wazi 27 ambazo zilitokana...

 

10 years ago

Mwananchi

Tunasubiri moshi mweupe urais 2015

>Hakika kama Watanzania wote tungekuwa waumini wa Kanisa Katoliki, tungesema tunasubiri ‘moshi mweupe’ kwa hamu ili kumjua Rais wa awamu ya tano atakayemrithi Jakaya Kikwete.

 

10 years ago

Mtanzania

‘Tunasubiri neno la Rais tuachie ngazi’

Frederick Werema

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Frederick Werema

Na Waandishi Wetu

WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema, wamesema baada ya hukumu ya Bunge sasa wanasubiri neno la Rais.

Viongozi hao waliyasema hayo jana, ikiwa ni siku chache tangu Bunge kupendekeza mamlaka za uteuzi ziwavue madaraka.

Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) iliyowasilishwa bungeni na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali...

 

10 years ago

Mwananchi

Tunasubiri vurugu za vijana kugombea jezi

Huwa najisikia vizuri mara kwa mara ninapopata nafasi ya kuzungumzia michezo mbalimbali nchini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani