Makocha wapya, tunasubiri matokeo
Hakuna shaka kwamba kiu ya mashabiki wowote wa soka ni matokeo mazuri uwanjani. Hii ina maana kwamba, timu inapofanaya vibaya, yaani kupata matokeo mabaya na kushindwa kutwaa mataji, mashabiki hukosa furaha.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi21 Jul
Tunasubiri ‘Matokeo Makubwa Sasa’ Madola
10 years ago
Mwananchi21 Apr
Tunasubiri ‘Matokeo Makubwa Sasa’ katika elimu
11 years ago
Tanzania Daima04 Jan
Makocha wapya Yanga waanza kwa mkwara
MAKOCHA wapya wa Yanga, Charles Boniface Mkwasa na Juma Pondamali ‘Mensah’ wameanza kukinoa kikosi cha klabu hiyo huku wakiwaonya wachezaji hasa watovu wa nidhamu. Pondamali na Mkwasa wameanza kuinoa timu...
10 years ago
MichuziHans van Der Pluijm na Charles Mkwassa watajwa kuwa makocha wapya wa Yanga
Pluijm na Mkwassa wanachukua nafasi ya makocha wa Yanga, Marcio Maximo na Leonardo Neiva waliotupiwa virago huku Tiboraha akichukua mikoba ya Beno Njovu aliyemaliza muda wake.
Awali mkufunzi wa Fifa, Henry Tandau alipigiwa chapuo kuchukua cheo cha Ukatibu baada...
11 years ago
Michuzimakocha wa Timu ya Barcelona kutoa mafunzo ya makocha wa Tanzania
10 years ago
Michuzi18 Feb
NEWS ALERT: RAIS KIKWETE ATEUA WAKUU WA WILAYA WAPYA 27,WAPYA WAKIWEMO SHABANI KISU,PAUL MAKONDA,FREDRICK MWAKALEBELA
*Atengua uteuzi wa Ma-DC 12, awabadilisha vituo 64, awabakiza 42 kwenye vituo vyao vya zamani.
RAIS Jakaya Kikwete amefanya mabadiliko ya Wakuu wa Wilaya kwa kuwateua Wakuu wapya 27, kuwahamisha vituo vya kazi 64 na wengine 42 amewabakisha kwenye vituo vyao vya kazi vya zamani.
Akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa OWM TAMISEMI leo mchana (Jumatano, Februari 18, 2015) Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema mabadiliko hayo yamesababishwa na kuwepo kwa nafasi wazi 27 ambazo zilitokana...
10 years ago
Mwananchi13 May
Tunasubiri moshi mweupe urais 2015
10 years ago
Mtanzania03 Dec
‘Tunasubiri neno la Rais tuachie ngazi’
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Frederick Werema
Na Waandishi Wetu
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema, wamesema baada ya hukumu ya Bunge sasa wanasubiri neno la Rais.
Viongozi hao waliyasema hayo jana, ikiwa ni siku chache tangu Bunge kupendekeza mamlaka za uteuzi ziwavue madaraka.
Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) iliyowasilishwa bungeni na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali...
10 years ago
Mwananchi03 Nov
Tunasubiri vurugu za vijana kugombea jezi