‘Tunasubiri neno la Rais tuachie ngazi’
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Frederick Werema
Na Waandishi Wetu
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema, wamesema baada ya hukumu ya Bunge sasa wanasubiri neno la Rais.
Viongozi hao waliyasema hayo jana, ikiwa ni siku chache tangu Bunge kupendekeza mamlaka za uteuzi ziwavue madaraka.
Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) iliyowasilishwa bungeni na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-vpNF_qqltHw/VCxikOXmVOI/AAAAAAAGnJs/FktB8UsbXk8/s72-c/unnamed%2B(33).jpg)
BREAKING NEWZZZZZ: MKUU WA USALAMA WA RAIS WA MAREKANI AACHIA NGAZI LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-vpNF_qqltHw/VCxikOXmVOI/AAAAAAAGnJs/FktB8UsbXk8/s1600/unnamed%2B(33).jpg)
Na Sultani Kipingo
Habari zilizotufikia sasa hivi zinasema kuwa Bi Julia Pierson (pichani) , Mkuu wa Kikosi cha Usalama wa Rais wa Marekani maarufu kama Secret Service, amejiuzuru nafasi hiyo, Waziri wa Mambo ya Ndani wan chi hiyo Bw. Jeh Johnson ametangaza leo. Katika taarifa yake Bw. Johnson kasema atamteua Bw. Joseph Clancy kukaimu wadhifa huo nyeti.Afisa habari wa Ikulu ya Marekani Bw. Josh Earnest amesema katika mkutano na wanahabari leo kuwa Rais Barack Obama alimwita Bi Pierson na...
10 years ago
Mwananchi15 Nov
Tuachie kelele, umejilostisha mwenyewe kitaani
9 years ago
Bongo521 Nov
Music: Dully Sykes Ft. Yamoto Band – Tuachie
![Dully Sykes and Yamoto](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Dully-Sykes-and-Yamoto-300x194.jpg)
Wimbo mpya unaitwa “Tuachie” kutoka kwa msanii Dully Sykes amewashirikisha Yamoto Band umefanyika katika studio 4:12′
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-pHXXl1tNbDw/VlAvfsalGQI/AAAAAAAAD_E/IcDGQlxXhWQ/s72-c/1ff5ddc5-c0d9-4d28-b138-f4a232279d36.jpg)
NEW MUSIC: DULLY SYKES - TUACHIE ft. YAMOTO BAND (Download)
![](http://4.bp.blogspot.com/-pHXXl1tNbDw/VlAvfsalGQI/AAAAAAAAD_E/IcDGQlxXhWQ/s1600/1ff5ddc5-c0d9-4d28-b138-f4a232279d36.jpg)
Africanjam is website that was launched in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports and Entertainment. We also provide Technology tips, some Amazing Facts as well as Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aoj7FwFPBek/Xm8Bqurg2MI/AAAAAAALj2Q/nT4vxwPO4ZoVAqUlTUVwFDMNrGO-DfZ8QCLcBGAsYHQ/s72-c/Tulia%2BAckoson.jpg)
DK.TULIA ATOA NENO KUHUSU FEDHA ALIZOTOA RAIS MAGUFULI ILI KUMTOA GEREZANI MCHUNGAJI PETER MSIGWA WA CHADEMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-aoj7FwFPBek/Xm8Bqurg2MI/AAAAAAALj2Q/nT4vxwPO4ZoVAqUlTUVwFDMNrGO-DfZ8QCLcBGAsYHQ/s400/Tulia%2BAckoson.jpg)
Na Said Mwishehe, Michuzi Blogu ya jamii
NAIBU Spika wa Bunge Dk.Tulia Ackson ameamua kutoa maoni yake kwenye mjadala unaoendelea baada ya Rais Dk.John Magufuli kutoa fedha Sh.milioni 38 kwa ajili ya kumsaidia Mbunge wa Iringa Mjini Mchungaji Peter Msigwa ili atolewe gerezani baada ya kuhumiwa miezi mitano jela au kulipa faini ya Sh.milioni 40.
Amesema kilichofanywa na Rais Magufuli kwa Mchungaji Msigwa ni jambo jema na wakati mwingine watu huwa wanafikiri viongozi hawana ile hisia za kawaida,...
5 years ago
CCM BlogMAKAMU WA RAIS CHAMA CHA WAUGUZI TANZANIA (TANNA) ATOA NENO KATIKA SIKU YA KUMBUKIZI YA KUZALIWA MWASISI WA UUGUZI DUNIANI
Niwaase Wasanii na watu wengine maarufu kuwa mstari wa mbele katika kuelimisha jamii kwenda kwenye vituo vya kutolea huduma za Afya badala ya kuwatisha kuwa Wauguzi ni watu wabaya Kama alivyofanya msanii mmoja hivi alipomwambia mke wake wakati anaenda...
5 years ago
MichuziKIWANDA KURUDISHA SHUKRANI KWA RAIS MAGUFULI KWA KUGAWA CHAKI BURE ...DC JOKATE MWEGELO ATOA NENO
Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani Jokate Mwegelo(aliyevaa nguo nyekundu),Katibu Tawala wa wilaya hiyo Tella Mwampamba(kulia) wakiwa na baadhi ya wafanyakazi na viongozi wa kiwanda cha kutengeneza chaki cha Mkongoma General Supply Ltd wakishuhudia taa zikiwaka baada ya Shirika la Umeme Tanzania(TANESCO) wilayani humo kupeleka umeme katka kiwanda hicho.
Mkurugenzi Mkuu wa Kiwanda cha Mkongoma General Supply Ltd Geoffrey Mkongoma (kulia) akifafanua jambo kwa Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe...
5 years ago
MichuziVIONGOZI WA DINI WILAYANI KARAGWE WAANDAMANA KUMSHUKURU RAIS MAGUFULI KWA KURUHUSU IBAADA DC AWAPOKEA KWA NIABA YAKE NA KUTOA NENO.
11 years ago
Mwananchi03 Feb
Makocha wapya, tunasubiri matokeo