Tuachie kelele, umejilostisha mwenyewe kitaani
Risechi yangu ya kimtindo ambayo niliifanya kitaa longtaimu wakati natumwa tumwa na washkaji kupeleka vibarua kwa mademu au samtaimz kuzama kicheni kuwasha fegi, nimeshtukia kwamba mimi siyo mtu wa kuambukizwa mambo kibwege.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog29 Jun
Lumia ya window 10 yaingia kitaani
Meneja wa Bidhaa wa Kampuni ya Microsoft Kingori Gitahi akizungumza na vyombo vya habari (havipo pichani) wakati wa uzinduzi wa simu tatu aina ya Lumia jijini Dar es Saalaam.
Na Modewji blog team
Meneja wa Bidhaa wa Kampuni ya Microsoft Kingori Gitahi amewataka watumiaji wa simu za mkononi za Smartphone kuacha kuzitumia kwa kusoma barua pepe pekee na kuzifanyisha shughuli za kuzalisha mali.
Akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari hivi karibuni wakati wa uzinduzi wa simu tatu aina...
10 years ago
Mtanzania03 Dec
‘Tunasubiri neno la Rais tuachie ngazi’
![Frederick Werema](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Frederick-Werema.jpg)
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Frederick Werema
Na Waandishi Wetu
WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema, wamesema baada ya hukumu ya Bunge sasa wanasubiri neno la Rais.
Viongozi hao waliyasema hayo jana, ikiwa ni siku chache tangu Bunge kupendekeza mamlaka za uteuzi ziwavue madaraka.
Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) iliyowasilishwa bungeni na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali...
9 years ago
Bongo521 Nov
Music: Dully Sykes Ft. Yamoto Band – Tuachie
![Dully Sykes and Yamoto](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Dully-Sykes-and-Yamoto-300x194.jpg)
Wimbo mpya unaitwa “Tuachie” kutoka kwa msanii Dully Sykes amewashirikisha Yamoto Band umefanyika katika studio 4:12′
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-pHXXl1tNbDw/VlAvfsalGQI/AAAAAAAAD_E/IcDGQlxXhWQ/s72-c/1ff5ddc5-c0d9-4d28-b138-f4a232279d36.jpg)
NEW MUSIC: DULLY SYKES - TUACHIE ft. YAMOTO BAND (Download)
![](http://4.bp.blogspot.com/-pHXXl1tNbDw/VlAvfsalGQI/AAAAAAAAD_E/IcDGQlxXhWQ/s1600/1ff5ddc5-c0d9-4d28-b138-f4a232279d36.jpg)
Africanjam is website that was launched in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports and Entertainment. We also provide Technology tips, some Amazing Facts as well as Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...
11 years ago
GPLATEMBEA AKIPIGA KELELE KARIAKOO
11 years ago
Habarileo07 Jun
Kelele za baa, klabu kudhibitiwa
OFISI ya Makamu wa Rais (Mazingira), imetunga kanuni ya kudhibiti kelele na mitetemo kutoka kwa waendeshaji wa klabu za usiku, baa, matangazo ya wanaozunguka barabarani na hata mahubiri katika maeneo ya ibada.
10 years ago
Habarileo07 Oct
Nape- Wapinzani acheni kelele
KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye ametaka vyama vya upinzani kuacha kupiga kelele na kuandamanisha watu na badala yake wakutane kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa ujao.
11 years ago
Habarileo05 May
Kibanda: Yapigieni kelele matukio ya waandishi
MWENYEKITI wa Jukwaa la Wahariri (TEF), Absalom Kibanda ametoa mwito kwa waandishi wa habari nchini, kuyapa uzito matukio yanayowatokea waandishi wa habari na kuyapigia kelele kwa nguvu zote ili kuyakomesha.
11 years ago
Mwananchi26 Jul
Inabidi tuyapigie kelele haya makelele