Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tuachie kelele, umejilostisha mwenyewe kitaani

Risechi yangu ya kimtindo ambayo niliifanya kitaa longtaimu wakati natumwa tumwa na washkaji kupeleka vibarua kwa mademu au samtaimz kuzama kicheni kuwasha fegi, nimeshtukia kwamba mimi siyo mtu wa kuambukizwa mambo kibwege.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Lumia ya window 10 yaingia kitaani

IMG_2702

Meneja wa Bidhaa wa Kampuni ya Microsoft Kingori Gitahi akizungumza na vyombo vya habari (havipo pichani) wakati wa uzinduzi wa simu tatu aina ya Lumia jijini Dar es Saalaam.

Na Modewji blog team

Meneja wa Bidhaa wa Kampuni ya Microsoft Kingori Gitahi  amewataka watumiaji wa simu za mkononi za Smartphone kuacha kuzitumia kwa kusoma barua pepe pekee na kuzifanyisha shughuli za kuzalisha mali.

Akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari hivi karibuni wakati wa uzinduzi wa simu tatu aina...

 

10 years ago

Mtanzania

‘Tunasubiri neno la Rais tuachie ngazi’

Frederick Werema

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Frederick Werema

Na Waandishi Wetu

WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema, wamesema baada ya hukumu ya Bunge sasa wanasubiri neno la Rais.

Viongozi hao waliyasema hayo jana, ikiwa ni siku chache tangu Bunge kupendekeza mamlaka za uteuzi ziwavue madaraka.

Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) iliyowasilishwa bungeni na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali...

 

9 years ago

Bongo5

Music: Dully Sykes Ft. Yamoto Band – Tuachie

Dully Sykes and Yamoto

Wimbo mpya unaitwa “Tuachie” kutoka kwa msanii Dully Sykes amewashirikisha Yamoto Band umefanyika katika studio 4:12′

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Africanjam.Com

NEW MUSIC: DULLY SYKES - TUACHIE ft. YAMOTO BAND (Download)




Africanjam is website that was launched  in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports and Entertainment. We also provide Technology tips, some Amazing Facts as well as Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...

 

11 years ago

GPL

ATEMBEA AKIPIGA KELELE KARIAKOO

Mwanamke huyo akiwa na boksi, huku akila wakati akikatiza mitaa ya Kariakoo (Pembeni ni wapita njia).
Akiwa kabeba boksi, juu lina  samaki wadogo, kitunguu na kipande cha chungwa.
Hapa akikatiza mitaani …

 

11 years ago

Habarileo

Kelele za baa, klabu kudhibitiwa

OFISI ya Makamu wa Rais (Mazingira), imetunga kanuni ya kudhibiti kelele na mitetemo kutoka kwa waendeshaji wa klabu za usiku, baa, matangazo ya wanaozunguka barabarani na hata mahubiri katika maeneo ya ibada.

 

10 years ago

Habarileo

Nape- Wapinzani acheni kelele

KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye ametaka vyama vya upinzani kuacha kupiga kelele na kuandamanisha watu na badala yake wakutane kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa ujao.

 

11 years ago

Habarileo

Kibanda: Yapigieni kelele matukio ya waandishi

MWENYEKITI wa Jukwaa la Wahariri (TEF), Absalom Kibanda ametoa mwito kwa waandishi wa habari nchini, kuyapa uzito matukio yanayowatokea waandishi wa habari na kuyapigia kelele kwa nguvu zote ili kuyakomesha.

 

11 years ago

Mwananchi

Inabidi tuyapigie kelele haya makelele

Maisha yameshakuwa kelele tupu na kimya imeshakuwa bidhaa adimu hasa katika maeneo ya mijini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani