Kelele za baa, klabu kudhibitiwa
OFISI ya Makamu wa Rais (Mazingira), imetunga kanuni ya kudhibiti kelele na mitetemo kutoka kwa waendeshaji wa klabu za usiku, baa, matangazo ya wanaozunguka barabarani na hata mahubiri katika maeneo ya ibada.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo25 Dec
Achana na klabu ya Lille ya Ufaransa,hii ndio klabu ya Ulaya inayotajwa kumsajili Mbwana Samatta
Headlines za mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mbwana Samatta zinazidi kushika kasi, Samatta anatajwa kuwa katika mpango wa kwenda kucheza soka la kulipwa barani Ulaya,mara tu dirisha dogo la usajili la mwezi January litakapofunguliwa. Headlines ambazo zimenifikia kutoka katika mtandao wa www.voetbalkrant.com zinaripo nyota […]
The post Achana na klabu ya Lille ya Ufaransa,hii ndio klabu ya Ulaya inayotajwa...
11 years ago
GPLATEMBEA AKIPIGA KELELE KARIAKOO
11 years ago
Habarileo07 Oct
Nape- Wapinzani acheni kelele
KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye ametaka vyama vya upinzani kuacha kupiga kelele na kuandamanisha watu na badala yake wakutane kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa ujao.
11 years ago
Mwananchi26 Jul
Inabidi tuyapigie kelele haya makelele
10 years ago
Mwananchi27 Dec
Kelele za harusi zaua mtu D’Salaam
10 years ago
Mwananchi15 Nov
Tuachie kelele, umejilostisha mwenyewe kitaani
11 years ago
Habarileo05 May
Kibanda: Yapigieni kelele matukio ya waandishi
MWENYEKITI wa Jukwaa la Wahariri (TEF), Absalom Kibanda ametoa mwito kwa waandishi wa habari nchini, kuyapa uzito matukio yanayowatokea waandishi wa habari na kuyapigia kelele kwa nguvu zote ili kuyakomesha.
10 years ago
Vijimambo
9 years ago
Habarileo01 Jan
Sheria kuzuia kelele yaanza kung’ata
BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), limeanza kung’ata kwa kutumia kanuni ili kudhibiti uchafuzi wa mazingira kwa kelele na mitetemo. Kwa sasa mtu akitaka kufanya sherehe mtaani, kupiga muziki kwa kelele, kuendesha ngoma za kukesha za nusu uchi (vigodoro) au ‘bai koko’ au kufanya ibada kwa kelele mitaani, atapaswa kulipa Sh milioni 10.