Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kelele za baa, klabu kudhibitiwa

OFISI ya Makamu wa Rais (Mazingira), imetunga kanuni ya kudhibiti kelele na mitetemo kutoka kwa waendeshaji wa klabu za usiku, baa, matangazo ya wanaozunguka barabarani na hata mahubiri katika maeneo ya ibada.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Achana na klabu ya Lille ya Ufaransa,hii ndio klabu ya Ulaya inayotajwa kumsajili Mbwana Samatta

Headlines za mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mbwana Samatta zinazidi kushika kasi, Samatta anatajwa kuwa katika mpango wa kwenda kucheza soka la kulipwa barani Ulaya,mara tu dirisha dogo la usajili la mwezi January litakapofunguliwa. Headlines ambazo zimenifikia kutoka katika mtandao wa www.voetbalkrant.com zinaripo nyota […]

The post Achana na klabu ya Lille ya Ufaransa,hii ndio klabu ya Ulaya inayotajwa...

 

11 years ago

GPL

ATEMBEA AKIPIGA KELELE KARIAKOO

Mwanamke huyo akiwa na boksi, huku akila wakati akikatiza mitaa ya Kariakoo (Pembeni ni wapita njia).
Akiwa kabeba boksi, juu lina  samaki wadogo, kitunguu na kipande cha chungwa.
Hapa akikatiza mitaani …

 

11 years ago

Habarileo

Nape- Wapinzani acheni kelele

KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye ametaka vyama vya upinzani kuacha kupiga kelele na kuandamanisha watu na badala yake wakutane kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa ujao.

 

11 years ago

Mwananchi

Inabidi tuyapigie kelele haya makelele

Maisha yameshakuwa kelele tupu na kimya imeshakuwa bidhaa adimu hasa katika maeneo ya mijini.

 

10 years ago

Mwananchi

Kelele za harusi zaua mtu D’Salaam

>Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mwanamume mmoja amewafyatulia risasi watu wawili na kusababisha kifo cha mmoja kwa kile kinachodaiwa kumletea usumbufu wakati wa mkesha wa harusi.

 

10 years ago

Mwananchi

Tuachie kelele, umejilostisha mwenyewe kitaani

Risechi yangu ya kimtindo ambayo niliifanya kitaa longtaimu wakati natumwa tumwa na washkaji kupeleka vibarua kwa mademu au samtaimz kuzama kicheni kuwasha fegi, nimeshtukia kwamba mimi siyo mtu wa kuambukizwa mambo kibwege.

 

11 years ago

Habarileo

Kibanda: Yapigieni kelele matukio ya waandishi

MWENYEKITI wa Jukwaa la Wahariri (TEF), Absalom Kibanda ametoa mwito kwa waandishi wa habari nchini, kuyapa uzito matukio yanayowatokea waandishi wa habari na kuyapigia kelele kwa nguvu zote ili kuyakomesha.

 

9 years ago

Habarileo

Sheria kuzuia kelele yaanza kung’ata

BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), limeanza kung’ata kwa kutumia kanuni ili kudhibiti uchafuzi wa mazingira kwa kelele na mitetemo. Kwa sasa mtu akitaka kufanya sherehe mtaani, kupiga muziki kwa kelele, kuendesha ngoma za kukesha za nusu uchi (vigodoro) au ‘bai koko’ au kufanya ibada kwa kelele mitaani, atapaswa kulipa Sh milioni 10.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani