Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAONI: Tunasubiri vitendo maazimio ya marais

>Wiki hii, Tanzania ilikuwa mwenyeji wa marais watatu na viongozi wengine waandamizi wa nchi za Ukanda wa Kati. Marais hao ni Paul Kagame wa Rwanda, Pierre Nkurunziza wa Burundi na Yoweri Museveni wa Uganda.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

MAONI : Tunasubiri mkakati wa muda mfupi kuiokoa Shilingi

Thamani ya Shilingi inazidi kuporomoka kadri siku zinavyokwenda na kusababisha bei za bidhaa mbalimbali kuendelea kupaa bila ya kuwapo na maelezo yoyote ya mkakati wa kudhibiti hali hiyo.

 

10 years ago

Vijimambo

MAAZIMIO YA KAMATI KUU YA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO KUHUSU MCHAKATO WA KATIBA NA KURA YA MAONI KUHUSU KATIBA INAYOPENDEKEZWA

Dar es Salaam, Oktoba 16, 2014
UTANGULIZI
Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) imekutana katika kikao chake cha kawaida na kujadili, pamoja na mambo mengine, mchakato wa Katiba Mpya. Kamati Kuu imepata taarifa ya kina juu ya mchakato ulivyoendeshwa katika hatua mbali mbali wakati wa kutungwa kwa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba na marekebisho yake na, baadaye, Sheria ya Kura ya Maoni.
Aidha, Kamati Kuu imepata taarifa ya mchakato ulivyokuwa katika hatua ya kuundwa kwa Tume...

 

9 years ago

Bongo5

Hizi ni nchi 6 Afrika ambazo marais wake wa sasa ni watoto wa marais waliopita

nyerere_karume_and_moyo

Suala la mtoto wa rais kuja kugombea urais lilionekena kama tatizo na linaendelea kuonekana kama tatizo barani Afrika lakini mambo si kama hivyo wanavyodhani waafrika wengi.

nyerere_karume_and_moyo

Mwezi uliopita, waziri mkuu wa Canada ambaye ni mtoto wa Justin Trudeau aliyekuwa waziri mkuu wa 15, alichaguliwa kuongoza serikali ya nchi hiyo.

Ingawa hali hiyo si ya kawaida kwenye nchi nyingi duniani, hali hiyo hiyo iliweza kushuhudiwa nchini Marekani pale ambapo Rais wa awamu ya sita John Quincy Adams alichaguliwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Makocha wapya, tunasubiri matokeo

Hakuna shaka kwamba kiu ya mashabiki wowote wa soka ni matokeo mazuri uwanjani. Hii ina maana kwamba, timu inapofanaya vibaya, yaani kupata matokeo mabaya na kushindwa kutwaa mataji, mashabiki hukosa furaha.

 

10 years ago

GPL

SHAMSA: NDOA TUNASUBIRI MIPANGO YA MUNGU

Msanii wa filamu Bongo, Shamsa Ford. Ni wiki nyingine tena mpenzi msomaji tunakutana katika safu hii ya maswali kumi na leo tunakuletea msanii wa filamu Bongo, Shamsa Ford ambaye alibanwa kwa maswali na mwandishi wetu Gladness Mallya. Ijumaa: Ni muda mrefu tangu tuliposikia habari za uchumba wako na Dickson, mbona mambo ya ndoa kimya?
Shamsa: Kwa wasiojua ni kwamba, tulishafunga ndoa ya kimila, ile ya kanisani ndiyo bado,...

 

10 years ago

Mwananchi

Tunasubiri moshi mweupe urais 2015

>Hakika kama Watanzania wote tungekuwa waumini wa Kanisa Katoliki, tungesema tunasubiri ‘moshi mweupe’ kwa hamu ili kumjua Rais wa awamu ya tano atakayemrithi Jakaya Kikwete.

 

10 years ago

Mwananchi

Tunasubiri vurugu za vijana kugombea jezi

Huwa najisikia vizuri mara kwa mara ninapopata nafasi ya kuzungumzia michezo mbalimbali nchini.

 

11 years ago

Mwananchi

Tunasubiri ‘Matokeo Makubwa Sasa’ Madola

Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo bendera yake itapepea jijini Glasgow, Scotland katika ufunguzi wa Michezo ya Jumuiya ya Madola itakayofanyika Julai 23 kwenye Uwanja wa Celtic Perth.

 

11 years ago

Dewji Blog

Ruaha imetapika, tunasubiri kisingizio Tanesco!

10153840_733627990023381_7444733151372771307_n

Mto mdogo Ruaha unaokatiza mpaka kwenye Manispaa ya Iringa ‘umetapika’, au umefurika katika maeneo mengi. Mashamba ya pembezoni mwa mto huo, yamefunikwa na maji na wakulima wengi wanalia.

Wenyeji wa mkoa wa Iringa wanasema kwamba, mafuriko ya mwaka huu hayajawahi kutokea katika miaka 10 iliyopita tangu walipoyashuhudia mafuriko ya mwaka 1998 wakati wa Mvua za El Nino.

Mto huo ndio unaoungana na Ruaha Mkuu kumwaga maji katika Bwawa la Mtera na hatimaye kwenye Mto Kilombero kuelekea...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani