MAONI: Tunasubiri vitendo maazimio ya marais
>Wiki hii, Tanzania ilikuwa mwenyeji wa marais watatu na viongozi wengine waandamizi wa nchi za Ukanda wa Kati. Marais hao ni Paul Kagame wa Rwanda, Pierre Nkurunziza wa Burundi na Yoweri Museveni wa Uganda.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi30 Jun
MAONI : Tunasubiri mkakati wa muda mfupi kuiokoa Shilingi
10 years ago
Vijimambo18 Oct
MAAZIMIO YA KAMATI KUU YA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO KUHUSU MCHAKATO WA KATIBA NA KURA YA MAONI KUHUSU KATIBA INAYOPENDEKEZWA
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/en/7/78/Chadema_bendera.jpg)
UTANGULIZI
Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) imekutana katika kikao chake cha kawaida na kujadili, pamoja na mambo mengine, mchakato wa Katiba Mpya. Kamati Kuu imepata taarifa ya kina juu ya mchakato ulivyoendeshwa katika hatua mbali mbali wakati wa kutungwa kwa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba na marekebisho yake na, baadaye, Sheria ya Kura ya Maoni.
Aidha, Kamati Kuu imepata taarifa ya mchakato ulivyokuwa katika hatua ya kuundwa kwa Tume...
9 years ago
Bongo510 Nov
Hizi ni nchi 6 Afrika ambazo marais wake wa sasa ni watoto wa marais waliopita
![nyerere_karume_and_moyo](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/nyerere_karume_and_moyo-300x194.jpg)
Suala la mtoto wa rais kuja kugombea urais lilionekena kama tatizo na linaendelea kuonekana kama tatizo barani Afrika lakini mambo si kama hivyo wanavyodhani waafrika wengi.
Mwezi uliopita, waziri mkuu wa Canada ambaye ni mtoto wa Justin Trudeau aliyekuwa waziri mkuu wa 15, alichaguliwa kuongoza serikali ya nchi hiyo.
Ingawa hali hiyo si ya kawaida kwenye nchi nyingi duniani, hali hiyo hiyo iliweza kushuhudiwa nchini Marekani pale ambapo Rais wa awamu ya sita John Quincy Adams alichaguliwa...
11 years ago
Mwananchi03 Feb
Makocha wapya, tunasubiri matokeo
10 years ago
GPLSHAMSA: NDOA TUNASUBIRI MIPANGO YA MUNGU
10 years ago
Mwananchi13 May
Tunasubiri moshi mweupe urais 2015
10 years ago
Mwananchi03 Nov
Tunasubiri vurugu za vijana kugombea jezi
11 years ago
Mwananchi21 Jul
Tunasubiri ‘Matokeo Makubwa Sasa’ Madola
11 years ago
Dewji Blog12 Apr
Ruaha imetapika, tunasubiri kisingizio Tanesco!
Mto mdogo Ruaha unaokatiza mpaka kwenye Manispaa ya Iringa ‘umetapika’, au umefurika katika maeneo mengi. Mashamba ya pembezoni mwa mto huo, yamefunikwa na maji na wakulima wengi wanalia.
Wenyeji wa mkoa wa Iringa wanasema kwamba, mafuriko ya mwaka huu hayajawahi kutokea katika miaka 10 iliyopita tangu walipoyashuhudia mafuriko ya mwaka 1998 wakati wa Mvua za El Nino.
Mto huo ndio unaoungana na Ruaha Mkuu kumwaga maji katika Bwawa la Mtera na hatimaye kwenye Mto Kilombero kuelekea...