Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAJIMAJI SEREBUKA MARATHON YAUNGURUMA SONGEA

Wakali wa marathon wakitayarisha saa zao, tayari kwa kuanza safari ya Km 42, katika tamasha la kila mwaka la Majimaji Selebuka 2015 linaloendelea kwenye Uwanja wa Makumbusho ya Mashujaa wa Vita vya Majimaji, Songea. Washiriki wa mbio ndefu za Km 42 katika Tamasha la Majimaji Selebuka 2015, wakichanja mbuga. Kutoka kushoto ni Paulo Modest, Isaki Naghali na Shauri Gwaangwi. Tamasha hilo linaendelea katika Uwanja wa Makumbusho ya...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

SIMBA YAIKAUSHA MAJIMAJI YA SONGEA 6-1

Mshambuliaji wa Simba, Peter, Mwalyanzi akiwatoba wachezaji wa Majimaji ya Songea katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania bara uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam ambapo Simba iliibuka na ushindi wa bao 6-1. (Picha na Francis Dande)Wachezaji wa Simba, Hamis Kiiza na Irahim Hajibu wakishangilia kwa pamoja moja ya bao lililofungwa na Hajibu.Ibrahim Hajibu wa Simba akiifungia timu yake bao la kichwa.Wachezji wa Majimaji ya Songea baada ya kufungwa.Hamis Kiiza akimiliki mpira.Kwa...

 

5 years ago

Michuzi

BABU SEYA NA MKEWE WATEMBELEA MAKUMBUSHO YA MAJIMAJI SONGEA

Na Sixmund J. Begashe wa Makumbusho ya Taifa
Msanii maarifu Nguza Mbangu Viking maarufu kama "Babu Seya" na Mkewe Desderie P. Haule ambae pia ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Muheza Tanga, wamefanya Utali wa ndani mjini Songea kwa kuitembelea Makumbusho ya Maji Maji  kwa lengo la kujifunza urithi wa historia ya Vita vya  Maji Maji vilivyo tokea miaka ya 1905 hadi 1907.
Akizungumza baada ya kuitembelea Makumbusho hiyo Bw Viking ameipongeza Makumbusho ya Taifa kwa kuhifadhi urithi huo wa...

 

10 years ago

GPL

CHIPUKIZI WA UVCCM SONGEA WATIA FORA KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 38 YA CCM UWANJA WA MAJIMAJI

 Chipukizi wa UVCCM wakipia saluti huku wakiimba  wimbo wa Taifa…

 

10 years ago

Michuzi

chipukizi wa UVCCM wa Songea watia fora katika maadhimisho ya miaka 38 ya CCM uwanja wa Majimaji

 Gwaride kazini Ukakamavu na nidhamu Heshima kulia Hakuna mchezo hapa Kiapo cha utii baada ya hatua 15 mbele.Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

 

11 years ago

Dewji Blog

Mchezaji wa zamani wa Majimaji ya Songea, Mtawa Kaparata aibuka mshindi wa shindano la Tanzania Movie Talents mkoani Mbeya

Untitled

Na Josephat Lukaza wa Proin Promotions Limited – Mbeya

Shindano la Tanzania Movie Talents Kwa kanda ya Nyanda ya Juu Kusini, Mkoani Mbeya limefikia Tamati hapo jana kwa washindi watatu kutoka kanda hii ya nyanda ya juu Kusini Kupatikana na Kutangazwa na Majaji watatu.

Washindi waliotangazwa na Jaji Mkuu wa Shindano hilo, Roy Sarungi kwa kushirikiana na Majaji wawili Single Mtambalike na Yvonne Chery ni Steven Mapunda, Issalito Issaya na Mtawa Kaparata “BABU”

Mmoja kati ya washindi watatu...

 

10 years ago

Michuzi

KESI YA MIRATHI YA MALI ZA MWANDISHI WA HABARI MKONGWE NCHINI YAUNGURUMA JIJINI ARUSHA

KESI ya kugombea  mirathi ya mwandishi wa habari mkongwe nchini marehemu Betty Luzuka (pichani) imeibua mapya  mahakamani mara baada ya ushahidi wa njia ya video kumuonyesha mke wa aliyekuwa ofisa mwandamizi wa  jumuiya ya  Afrika Mashariki ,Phil Makini Kleruu aitwaye Hilda Kleruu akichukua fedha za marehemu kabla na baada ya marehemu kuaga dunia.
Hilda, ambaye amefunguliwa kesi na kaka wa marehemu, Ssarongo Luzuka akimtuhumu kujimilikisha mali za marehemu bila kufuata utaratibu wa kifamilia...

 

9 years ago

Bongo5

Music: CBH — Serebuka

Msanii CBH baada ya kimya kingi amechia wimbo mpya unaitwa “Serebuka”. Studio Seductive Records Producer Chrixtone The Melody. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Michuzi

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani