Makaidi ajitolea kunusuru ‘ndoa’ ya Zitto, Chadema
Mwenyekiti mweza wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Dk Emmanuel Makaidi amejitolea kusuluhisha mgogoro baina ya Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe na chama chake cha Chadema.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania06 Oct
Lowassa avunja ‘ndoa’ ya Zitto, Dk. Slaa
NA MWANDISHI WETU DAR ES SALAAM
MKAKATI wa chama cha ACT Wazalendo kumtumia aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa kutumia jukwaa lake ‘kumchafua’ mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa anayeungwa mkono na vyama vinavyounda Ukawa, umegonga mwamba.
Kukwama kwa mkakati huo kunatokana na kuwapo msigano wa mawazo miongoni mwa viongozi wa ACT ambao waliona kumtumia Dk. Slaa kuiponda Chadema na hata Ukawa wataifanya jamii kuamini kwamba wao (ACT)...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R9XIwqbdD--DSnfuTV6yb0QoLFEshf4CbQ6kxkLxnMcImTXT6RBExz-RbukYHGTCgHcQJt8eqPeiEinyQ2y*3gjgeAHWiD0K/06ZITTO5.jpg?width=650)
ZITTO AICHAKAZA CHADEMA
11 years ago
Tanzania Daima11 Dec
Zitto aibuka CHADEMA
WAKATI mashabiki na wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wakihoji uamuzi wa Kamati Kuu ya chama hicho kumvua nafasi zote za uongozi Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uY3PJt2fxPwBvzyav3SUM3awUicB*lqZpI9qqZ4nZB3A0vjpsnS3ueCM8rYta2-oF9opUTbo1VWAg5494VZRY8fDcNoEA0OX/ZITTOKABWE.jpg?width=650)
MASKINI ZITTO KABWE CHADEMA
11 years ago
Tanzania Daima02 Jun
CHADEMA wamlilia Mama Zitto
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimeeleza kupokea kwa majonzi makubwa msiba wa mjumbe wao wa Kamati Kuu ya Taifa, Shida Salum ambaye aliaga dunia jana jijini Dar es Salaam....
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Apuk65MO0R0qbajhq766P24tX0dpu3RhxwmtVdvIDfnRD45IKQpnHa3U6c4h6DgDlulwzIBMMsMp1jUMY2L7abzQFKhxsWS2/ZittoKabwe.jpg?width=650)
ZITTO AWABWAGA CHADEMA MAHAKAMANI
10 years ago
Tanzania Daima12 Oct
Zitto kung’oka CHADEMA
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (CHADEMA), inadaiwa yupo katika hatua za mwisho kujiengua ndani ya chama hicho alichojijengea sifa kubwa Kwa mujibu wa watu walio karibu na Zitto, wamelidokeza...
11 years ago
Habarileo03 Jan
Zitto aibwaga Chadema mahakamani
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imeamuru Kamati Kuu ya Chadema kutojadili suala la uanachama wa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto katika mkutano utakaofanyika leo Dar es Salaam.
10 years ago
Mtanzania11 Mar
Chadema wamtimua rasmi Zitto
Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimemvua rasmi uanachama Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe.
Hatua hiyo ya Chadema imekuja baada ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kutupa kesi iliyofunguliwa na Zitto dhidi ya Bodi ya Udhamini ya chama hicho na Katibu wake, Dk. Willibrod Slaa.
Kesi hiyo ilitupwa jana na Jaji Richard Mziray baada ya kupitia hoja za mapingamizi matano yaliyowasilishwa na mawakili wa Chadema.
Baada ya kutolewa kwa uamuzi huo...