Lowassa avunja ‘ndoa’ ya Zitto, Dk. Slaa
NA MWANDISHI WETU DAR ES SALAAM
MKAKATI wa chama cha ACT Wazalendo kumtumia aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa kutumia jukwaa lake ‘kumchafua’ mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa anayeungwa mkono na vyama vinavyounda Ukawa, umegonga mwamba.
Kukwama kwa mkakati huo kunatokana na kuwapo msigano wa mawazo miongoni mwa viongozi wa ACT ambao waliona kumtumia Dk. Slaa kuiponda Chadema na hata Ukawa wataifanya jamii kuamini kwamba wao (ACT)...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog01 Sep
Dk. Slaa aichojoa ndoa ya CHADEMA na Lowassa
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dk. Wilbroad Slaa akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu azma yake ya kuachana na siasa na kuwa mwananchi wa kawaida katika mkutano uliofanyika jijini Dar es Salaam leo kwenye hoteli ya Serena.
Na Mwandishi wetu
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Wilbroad Slaa ameeleza Watanzania kwamba amestaafu siasa baada ya chama hicho kumpokea aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa.
Aidha amesema kwamba pamoja na yeye kushiriki katika mazungumzo...
10 years ago
Vijimambo27 May
Lowassa aongoza.Wafuatia Slaa, Magufuli, Membe, Makamba, Lipumba, Mbowe, Zitto, Ni matokeo ya utafiti mikoa 18.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Lowasa-27May2015.jpg)
Nyota ya Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli (CCM), Edward Lowassa, imeendelea kung’aa baada ya Taasisi ya Samunge Social Sciences Research Center (SSSRC), kufanya utafiti na kubaini kuwa kiongozi huyo ni chaguo la kwanza kwa wananchi.
Utafiti huo uliofanywa miaka miwili kuanzia 2013 hadi 2015, unaonyesha Lowassa anaongoza kwa asilimia 20.7 dhidi ya wagombea 31.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam...
9 years ago
VijimamboMKE HALALI WA NDOA WA DK.WILBROD SLAA, MBUNGE ROSE KAMILI AMLIPUA DR SLAA
Mbunge wa Viti Maalumu kupitia chadema,Rose Kamili,akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo jioni kuhusiana na tuhuma alizozitoa mume wake kwamba waliishi kwa maisha ya kula mihogo na familia yake ili kuhakikisha chadema inastawi na kuimarika jambo ambalo si la kweli walikuwa na maisha mazuri ya kawaida tu na kusema kuwa Dk.Slaa anapaswa awaombe radhi wataznzania kwa kufafanisha kula mihogo kuwa ni umaskini na kuongeza kwa kusema mbona ukienda katika mahoteli makubwa...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bGawF3RRkadY-OjBVLBNGUMIARG8at2IsW1wATZxmqDmB2N*Y-LJrX573mGINwidY*OirzDKNnfl-yGdgYJDCSR5FIg3nEKs/Wema.gif?width=650)
WEMA AVUNJA NDOA!
11 years ago
Tanzania Daima16 Apr
DC avunja ndoa ya mwanafunzi Kiteto
MKUU wa Wilaya ya Kiteto, Martha Umbulla, amefanikiwa kumuondoa katika ndoa mwanafunzi aliyekatishwa masomo na kulazimishwa kuolewa. Mkuu huyo wa Wilaya (DC) amefikia hatua hiyo baada ya aliyekuwa mwanafunzi wa...
9 years ago
Mtanzania22 Dec
Lampard avunja ukimya, afunga ndoa na Christine
LONDON, ENGLAND
NYOTA wa zamani wa klabu ya Manchester City na Chelsea, Frank Lampard, amefanikiwa kufunga ndoa juzi na mke wake ambaye ni mtangazaji wa kituo cha Televisheni cha BBC nchini England, Christine Bleakley.
Kiungo huyo wa zamani wa timu ya Taifa ya England mwenye umri wa miaka 37, ameamua kukamilisha ahadi yake baada ya kukaa kwenye uchumba kwa miaka minne na Christine.
Ndoa hiyo ilifungwa kwenye Kanisa la St Paul’s lililopo Knightsbridge, jijini London, ambapo wachezaji...
10 years ago
Mwananchi14 Feb
Lady Jaydee afunguka, avunja ndoa na Gadner
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vuUh0rgUyT6W*rG1Sgd-0UKebULGR1NmDbwa5GjAYZHLxQr89gndQhBdS6EvypxuzRHChRi8pDFkZnzgR8qFXZ-cvCuruxQG/ticha.jpg)
PAMOJA NA MBWEMBWE NYINGI... TICHA AVUNJA NDOA YA MTU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y7WxhNqXbMa7anUzzQMYQIGQNhIgr56H1Nr-eYXQ9P58*qy4VcfzoH77rLtZwpr9n0BRaZNAw5fTx*Nfd7cYjQSqg8dknmUi/askofu.jpg)
ASKOFU GEOR DAVIE AVUNJA NDOA YA SEKRETARI WAKE