Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAKALA MAALUM KUHUSU RAIS DK. MAGUFULI


CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Makala maalum kuhusu Ebola

Haya ni makala maalum ya BBC kuhusu janga la Ebola duniani

 

9 years ago

Michuzi

MAKALA MAALUM KUHUSU AMANI TANZANIA

 Na Eleuteri Mangi-MAELEZO
Nuru inapoiangazia dunia, huwaangazia viumbe vyote vilivyo hai na visivyo na uhai, viumbe vyenye uhai, hao hufurahia nuru hiyo kwa kuruka ruka na kucheza kufurahia nuru hiyo.
Kila ifikapo asubuhi na mapema, utasikia sauti na mili­o ya ndege wa angani, wanyama wa kufuga na waishio mwituni, milio na sauti za viumbe hao wakati mwingine kuashiria kuwa kumekucha ili waendelee kufurahia nuru inayowanaagazia kwa manufaa ya maisha yao. 
Wanadamu nao wakiwa kama viumbe hai...

 

5 years ago

CCM Blog

KANISA HALISI LA MUNGU BABA TEGETA LAFANYA IBADA MAALUM KUITIKA MWITO WA RAIS DK. MAGUFULI KUHUSU CORONA

Kiongozi wa Kanisa Halisi la Mungu Baba, Baba wa Uzao, akiomba huku akiwa amelala sakafuni, wakati wa Ibada Maalum  ya Kumuomba Mungu Baba, ugonjwa wa Corona usiingine Tanzania, Ibada hiyo ikiwa ni kutitikia mwito wa  Rais Dk. John Magufuli wa kuwataka waumini wa dini mbalimbali wakiwemo wa makanisa na misikiti kumuomba Mungu ugonjwa huo usiingie hapa nchini.  KWA PICHA NYINGINE NYINGI, TAFADHALI >> BOFYA HAPA



TEGETE, Dar es Salaam
Kanisa Halisi  la Mungu leo limetumia ibada yake ya Jumapili,...

 

5 years ago

CCM Blog

PROF. KABUDI AWASILISHA UJUMBE MAALUM WA RAIS MAGUFULI KWA RAIS DONALD TRUMP WA MAREKANI

<<Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi akikabidhi ujumbe maalum wa Rais Dk John Magufuli kwenda kwa Rais wa Marekani Doland Trump. Anayeshuhudia ni  Balozi wa Tanzania Nchini Marekani Balozi Wilson Masilingi 
Washington, MarekaniTanzania na Benki ya Dunia zimekubaliana kuendelea kushirikiana katika masuala mbalimbali ikiwemo elimu,uendelezaji wa miundo mbinu na masuala ya kijamii kupitia mikopo,ruzuku na misaada inayotolewa na benki hiyo ili...

 

9 years ago

Michuzi

RAIS MAGUFULI AFANYA MAZUNGUMZO NA SPIKA WA BARAZA LA SENETI NA MJUMBE MAALUM WA RAIS WA JAMHURI YA BURUNDI,PIERRE NKURUNZINZA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Ndugu Reverien Ndikuriyo, Spika wa Seneti na Mjumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Burundi.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Ndugu Reverien Ndikuriyo, Spika wa Seneti na Mjumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Burundi. PICHA NA IKULU.

 

9 years ago

Dewji Blog

Maombi maalum ya kumuombea Rais Magufuli kufanyika leo nchini Uingereza!!

5756a1ac-4bb3-4135-b626-84003aa2fca3

Naibu Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Balozi Msafiri Marwa anatarajiwa kuwa mgeni rsmi katika maombi maalum ya kumuombea Rais wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli maombi yanayotarajiwa kufanyika leo nchini Uingereza. Maombi hayo yataendeshwa na Bishop Francis Sarpong, Pastor Mkuu wa Swahili Bob Baraka na wengineo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani