Makala Maalum ya Rais | MAY 4 .JIONI | TBC
![](http://img.youtube.com/vi/b4gNYLIxUGA/default.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog04 Sep
Rais Kikwete kuhutubia wananchi kupitia mkutano utakaorushwa Live na TBC saa 11 jioni hii
TUNAPENDA KUWAJULISHENI KUWA LEO ALHAMISI TAREHE 4 SEPTEMBA, 2014 SAA KUMI JIONI, RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHE. JAKAYA MRISHO KIKWETE ATAZUNGUMZA NA WANANCHI KUPITIA MKUTANO WAKE NA WAZEE WA MKOA WA DODOMA, UTAKAOFANYIKA CHUO CHA MIPANGO – DODOMA.
MKUTANO HUO UTATANGAZWA MOJA KWA MOJA (LIVE) KUPITIA KITUO CHA TELEVISHENI CHA TAIFA TBC.
ASANTENI
IMETOLEWA NA;
KURUGENZI YA MAWASILIANO YA RAIS,
IKULU – DAR ES SALAAM.
4 SEPTEMBA,2014
9 years ago
CCM Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-o4Mum2bpeyo/Voe1xdy-OAI/AAAAAAAA3LQ/7K38sSHUuT0/s72-c/MAGU.png)
11 years ago
BBCSwahili12 Aug
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/8_YuSSGQPYU/default.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VNpv6nSys18/VkhXLibYVAI/AAAAAAAIF6c/Xj0rYU1QAkc/s72-c/download.png)
MAKALA MAALUM KUHUSU AMANI TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-VNpv6nSys18/VkhXLibYVAI/AAAAAAAIF6c/Xj0rYU1QAkc/s320/download.png)
Nuru inapoiangazia dunia, huwaangazia viumbe vyote vilivyo hai na visivyo na uhai, viumbe vyenye uhai, hao hufurahia nuru hiyo kwa kuruka ruka na kucheza kufurahia nuru hiyo.
Kila ifikapo asubuhi na mapema, utasikia sauti na milio ya ndege wa angani, wanyama wa kufuga na waishio mwituni, milio na sauti za viumbe hao wakati mwingine kuashiria kuwa kumekucha ili waendelee kufurahia nuru inayowanaagazia kwa manufaa ya maisha yao.
Wanadamu nao wakiwa kama viumbe hai...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-uU742QxnpJI/VRE9ityfL0I/AAAAAAAHM3Q/99-jpq9jOdM/s72-c/1.jpg)
MAKALA MAALUM: Azania ni shule ya Serikali iliyoibua viongozi lukuki
![](http://1.bp.blogspot.com/-uU742QxnpJI/VRE9ityfL0I/AAAAAAAHM3Q/99-jpq9jOdM/s1600/1.jpg)
SERIKALI na wadau wa sekta ya elimu wanatakiwa kuboresha shule kongwe zilizopo hapa nchini kwa kuwa zina mchango mkubwa katika kulifikisha Taifa hapa lilipo.
Wasomi wengi waliostaafu, wanasiasa, wabunge na viongozi waliopo sasa madarakani wengi wao walisoma kwenye shule hizo ambazo kwa sasa zinakabiliwa na changamoto nyingi hasa za kitaaluma, hivyo kupoteza umaarufu wake.
Ikumbukwe tu kwamba shule ni sehemu ya kumwandaa kijana ili baadae aweze kukabiliana na...
11 years ago
Michuzi25 Mar
MAKALA MAALUM MAMLAKA YA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA MOSHI(MUWSA)
Imeandaliwa na Dixon Busagaga
wa Globu ya Jamii, Kanda ya Kaskazini
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-NBpoYbxtzVo/Uyr4c8JJqMI/AAAAAAACdC4/3w0MmHgfMco/s72-c/unnamed.jpg)
JK KUUNGURUMA LEO JIONI KWENYE BUNGE MAALUM LA KATIBA MJINI DODOMA .
![](http://3.bp.blogspot.com/-NBpoYbxtzVo/Uyr4c8JJqMI/AAAAAAACdC4/3w0MmHgfMco/s1600/unnamed.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amealikwa kuwa mgeni rasmi na kuhutubia Bunge...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania