MAKALA SHERIA: MFANO (Sample) YA JINSI WOSIA UNAVYOKUWA/UNAVYOANDIKWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-n5YRTLK_ya4/VObmysE3iyI/AAAAAAAHEsE/RVzo3gPwhgw/s72-c/download.jpeg)
Na Bashir Yakub
Wapo watu ambao shida yao ni kuandaa wosia lakini tatizo ni waanzeje. Je waandike kama barua, je waandike kama makala, je waandike kama maombi ya zabuni, je waandike kama notisi, waandikeje hasa. Wapo watu ambao wameshaandika wosia lakini wameandika hovyohovyo tu bila mpangilio maalum.
Ikumbukwe kuwa wosia mbovu usio katika taratibu na mpangilio wa kisheria ni wosia ambao baada ya kufa kwako unaweza kuleta ugomvi mkubwa na hatimaye inaweza kuamuliwa kuwa wosia huo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania30 May
Pinda atamani sheria ya wosia
Jonas Mushi na Adam Mkwepu, Dar es Salaam
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, amesema kuna haja ya kuwa na sheria itakayowezesha uandikishaji wosia kuwa wa lazima ili kuondokana na migogoro ya kugombania mali za marehemu na unyanyasaji wa wajane na watoto.
Kauli hiyo aliitoa Dar es Salaam jana, katika maadhimisho ya miaka 25 ya Chama cha Wanasheria Wanawake Tanzania (TAWLA) na uzinduzi wa kampeni ya uandishi wa wosia.
Alisema migogoro hiyo kwa kiasi kikubwa inaathiri wanawake na watoto pindi wazazi...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-jTyBDNq288o/VdyZTkaAo6I/AAAAAAAHz8I/J8nnsC97AtE/s72-c/00221917e13e0e8cb0b11c.jpg)
MAKALA YA SHERIA: KWA MUJIBU WA SHERIA NDOA HIZI HAZIRUHUSIWI
![](http://3.bp.blogspot.com/-jTyBDNq288o/VdyZTkaAo6I/AAAAAAAHz8I/J8nnsC97AtE/s400/00221917e13e0e8cb0b11c.jpg)
Hapa kwetu Tanzania tunazo ndoa za aina kuu mbili. Kwanza tunazo ndoa za kiraia au kiserikali, na pili tunazo ndoa za kimila.
Ndoa za kiraia au za kiserikali kama zinavyojulikana kwa wengi ni zile ambazo hufungwa chini ya usimamizi wa mamlaka za serikali kama ofisi ya mkuu wa wilaya n.k. Na kwa upande wa ndoa za kimila hizi ni zile ambazo hufungwa kutokana na taratibu za watu wa kabila au koo fulani kwa mujibu...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lYQDo02t4W4/VQe_C_ejV3I/AAAAAAAHK2I/YKfI2eo4pLY/s72-c/images.jpg)
MAKALA YA SHERIA: SHERIA HAILAZIMISHI KUTOA MATUNZO YA MTOTO KULIKO UWEZO WAKO.
![](http://3.bp.blogspot.com/-lYQDo02t4W4/VQe_C_ejV3I/AAAAAAAHK2I/YKfI2eo4pLY/s1600/images.jpg)
1.HUWEZI KUMLAZIMISHA ...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-CguWNueyCEo/VZBhrJP7FBI/AAAAAAAHlUE/uwic7DUJaAk/s72-c/download.jpg)
MAKALA YA SHERIA: SHERIA INAMRUHUSU MKOPAJI KUJIUZIA MWENYEWE KIWANJA/NYUMBA YA DHAMANA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-CguWNueyCEo/VZBhrJP7FBI/AAAAAAAHlUE/uwic7DUJaAk/s640/download.jpg)
Na Bashir YakubWiki kadhaa zilizopita nilipigiwa simu na mama mmoja akitaka nimpe ushauri wa sheria kuhusu jambo fulani. Nilifanya miadi naye na tukafanya mazungumzo. Kubwa kuhusu shida yake ilikuwa ni tatizo la mkopo ambapo benki moja imeuza nyumba yake maeneo ya Kinondoni Dar es saaam. Wasiwasi wake ulikuwa ukiukwaji wa taratibu za mauzo ya nyumba yake na hivyo akitaka kujua afanye nini. Maswali yake yalikuwa mengi na ...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nNbTph89s2Y/VWOVtCavNAI/AAAAAAAHZyI/bfOEPT5A2tw/s72-c/law_5.jpg)
MAKALA YA SHERIA: JE WAJUA SHERIA INAKURUHUSU RAIA KUKATAA KUKAMATWA NA ASKARI TARATIBU ZINAPOKIUKWA ?
![](http://4.bp.blogspot.com/-nNbTph89s2Y/VWOVtCavNAI/AAAAAAAHZyI/bfOEPT5A2tw/s320/law_5.jpg)
Sio siri askari wamekuwa wakitumia nguvu na ubabe mno katika kuwakamata raia. Hata pale pasipo na haja yoyote ya kutumia nguvu bado wao wamekuwa wakilazimisha...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-mk4iI9wZyNM/VT1eO8hlhsI/AAAAAAAHTcs/QUU-f2TIgZQ/s72-c/1.1774256.jpg)
MAKALA YA SHERIA: SHERIA INARUHUSU KUJIKINGA HADI KUUA
![](http://3.bp.blogspot.com/-mk4iI9wZyNM/VT1eO8hlhsI/AAAAAAAHTcs/QUU-f2TIgZQ/s1600/1.1774256.jpg)
Kifungu cha 18 cha Sheria ya Kanuni za adhabu sura ya 16 kimeeleza hatua ya mtu kujikinga mwenyewe, kumkinga mwenzake , mali yake mwenyewe na mali ya mwenzake. Kujikinga( defence) maana yake ni kujilinda au kujitetea inapokwa imekutokea dharula ya kuvamiwa na mtu au watu waovu. Uovu ni uovu si lazima awe mwizi . Hata mtu asiyekuwa mwizi lakini amekuvamia kwa nia ovu iwe nyumbani, kazini au sehemu nyingine...
11 years ago
Tanzania Daima24 Jul
Wosia, sheria zinazosimamia mgawanyo wa mali
WOSIA ni kauli inayotolewa na mtu wakati wa uhai wake kwa hiari yake kuonyesha jinsi gani angependa mali yake igawanywe baada ya kufa kwake. Wosia unaweza kuwa wa mdomo na...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YK7YUxgP3lA/VNkQhiFP-RI/AAAAAAAHCto/7JEmX9UFYuo/s72-c/download%2B(1).jpg)
JE WAJUA KUWA WOSIA WA MANENO NI WOSIA HALALI KISHERIA?
![](http://2.bp.blogspot.com/-YK7YUxgP3lA/VNkQhiFP-RI/AAAAAAAHCto/7JEmX9UFYuo/s1600/download%2B(1).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8w_p-yEQHSQ/VjfBpknjZiI/AAAAAAAID-8/N6LTr44kWk8/s72-c/DSC07091.jpg)
Makala ya Sheria: KUMLAZIMISHA SHAHIDI KUFIKA MAHAKAMANI...
![](http://1.bp.blogspot.com/-8w_p-yEQHSQ/VjfBpknjZiI/AAAAAAAID-8/N6LTr44kWk8/s640/DSC07091.jpg)
Na Bashir YakubKesi/shauri lolote iwe jinai au madai kuishinda kwake mara nyingi hutegemea mambo makuu mawili. Kwanza mashahidi ,pili ushahidi. Mashahidi siku zote ni watu. Hakuna kitu kinaweza kuitwa mashahidi halafu kisiwe binadamu. Hii ni tofauti na ushahidi. Ushahidi si lazima wawe binadamu. Vitu hasa vizibiti(exhibit) ndivyo huitwa ushahidi. Nyaraka, mali, vifaa, na kila kitu ambacho mtu anaweza kukitumia mahakamani kuthibitisha kile ...