Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAKALA YA SHERIA: KESI YA BASIL MRAMBA NA DANIEL YONA MWANZO MWISHO.

Na Bashir YakubuWiki  chache zilizopita, yaani Tarehe  6  JULY,  2015  mahakama  ya  Hakimu Mkazi ya Kisutu  ya jijini Dar es salaam ilitoa  hukumu  katika kesi  maarufu  na  ya  muda  mrefu   iliyokuwa  ikiwakabili  mawaziri  wa  zamani  wawili  na  katibu  mkuu  mmoja. 



Blog  hii  iliripoti  kwa  ufupi   matokeo  ya  kesi  hiyo    na  kuahidi  kutoa  ufafanuzi  wa  kitaalam  hapo  baadae  kupitia  wanasheria  wake. 
 Kwa kuwa  GLOBU YA JAMII imekuwa  mstari  wa  mbele  kueleza  masuala  ya ...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Mahakama yawarusu kwenda kutibiwa nje ya nchi Mawaziri Waandamizi wa zamani,Basil Mramba na Daniel Yona

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, imewaruhusu kwenda kutibiwa nje ya nchi  Mawaziri Waandamizi wa zamani,  Basil Mramba na Daniel Yona wanaokabiliwa na tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka na kuisababishia Serikali hasara ya Sh. bilioni 11.7  kwa kutoa msamaha wa kodi baada ya kusikiliza maombi yao leo.
Uamuzi huo umetolewa leo mahakamani hapo na Jaji John Utamwa baada ya washtakiwa hao kuwasilisha maombi ya kwenda kutibiwa nje ya nchi.
Upande wa Jamhuri ulidai kuwa...

 

10 years ago

Michuzi

BREAKING NEWSSSS: Basil MRAMBA NA Daniel YONA WAHUKUMIWA KWENDA JELA MIAKA 3. Grey Mngonja huru

Waziri wa zamani Daniel Yona akiituliza familia yake mara baada ya hukumu kutolewa leo katika mahakama ya hakimu mkazi Kisutu jijini Dar es salaam.Waziri wa zamani Basi Mramba akiteta na mawakili wake baada ya kuhukumiwa leo mahakamani Kisutu.

Mawaziri wa zamani Basil Mramba  na Daniel Yona  leo wamekutwa na hatia na katika kesi iliyokuwa inawakabili kifungo cha kwenda jela miaka mitatu kila mmoja kwa kukutwa na makosa 10 ya matumizi mabaya ya madaraka.  Aliyekuwa Katibu Mkuu Wizara ya Fedha...

 

11 years ago

Mwananchi

Kesi ya Yona, Mramba, Mgonja kuendelea leo

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam leo itaendelea kusikiliza kesi ya matumizi mabaya ya madaraka na kuisababishia Serikali hasara inayomkabili Waziri wa zamani wa Fedha, Basil Mramba na Waziri wa zamani Nishati na Madini, Daniel Yona

 

9 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: KUMSHITAKI ASKARI ALIYEKUBAMBIKIZA KESI

Na  Bashir  Yakub 
Kumbambikiza   mtu kesi  ni  kosa. Si  tu  ni  kosa  bali  pia  ni  kinyume  kabisa cha  haki  za  binadamu  na ustaarab wa  dunia. Inawezekanaje  mtu  akashtakiwa  kwa  kosa  ambalo   si  tu  hakulitenda  bali  pia  halijui  kabisa. Ni  matendo  yanayofanywa  na  watu  makatili  na  mabazazi.  Niseme  tu  mapema  kuwa  kosa  hili  haliwahusu  tu  askari  isipokuwa  kila  mtu   ambaye  anaweza  kumshtaki  mwingine  kwa  kosa  ambalo  anajua  kabisa  halikutendeka  au...

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: NAMNA YA KUKATA RUFAA KESI ZA ARDHI

Na  Bashir  Yakub.
Rufaa  ni  hatua  ya   kisheria  ambayo  hufikiwa  na  mhusika  katika  shauri  fulani  iwapo  hakurushishwa  na  maamuzi. Rufaa  sio  mpaka  uwe  umeshindwa  kabisa,  hapana. Yawezekana  ukawa  umeshinda  kesi  lakini  hukuridhishwa  na kiwango   ulichoshinda.Kwa  mfano  uliomba  wavamizi  waondoke  katika  nyumba yako   na  hapohapo  wakulipe  fidia. Mahakama  ikatoa  hukumu  kuwa  umeshinda  wavamizi  waondoke  katika  nyumba  yako  lakini  ikasema wasikulipe...

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: NAMNA YA KUWASHITAK ASKARI WANAOWABAMBIKIZA KESI RAIA

Na   Bashir   Yakub.
Hapa kwetu Tanzania  habari ya kubambakiziana kesi ni kama mtindo. Mara nyingi matendo haya yamekuwa yakifanywa na watu wenye uwezo  kifedha dhidi ya wasio na fedha  pia kati ya  maofisa wa polisi na raia. Mtu kwasababu ana pesa au cheo anaweza kuamua  kumfungulia yeyote mashtaka.  Watu wengi wako magerezani kwa kubambikizwa kesi, hili wala sio siri tena. Siseme walio mahabusu, hao nao hawana idadi. Inasikitisha mno. Ni wazi kuwa wengi wao wamefikia huko aidha kwa...

 

10 years ago

TheCitizen

Mramba, Yona jailed

Dar es Salaam. There were audible groans of disbelief and visible freely-flowing tears at the Kisutu Resident Magistrate’s Court yesterday after former cabinet ministers Basil Mramba, 75, and Daniel Yona, 76, were sentenced to serve three years in jail for abuse of office and causing Sh11.7 billion loss to the government.

 

10 years ago

GPL

MRAMBA, YONA WAKESHA...

Mramba (kushoto) akiteta jambo na wakili wake, Peter Swai baada ya Mahakama kumhukumu miaka mitatu jela na faini ya shilingi milioni tano. Harun sanchawa na denis mtima
JOTO ya jiwe! Wafungwa wawili wapya katika gereza la Ukonga jijini Dar es Salaam, Waziri wa zamani wa Fedha, Basil Mramba na mwenzake wa Nishati na Madini, Daniel Yona, wanadaiwa kukesha huku wakilia katika siku wakianza kutumikia kifungo chao cha miaka...

 

9 years ago

IPPmedia

Mramba, Yona get jail relief.


Mramba, Yona get jail relief.
IPPmedia
The High Court has partially withheld appeals by former cabinet Ministers Basil Mramba (75) and Daniel Yona (76), reducing three-year imprisonment term to two years and overturning the Sh5m fine sentence ruled by the Kisutu Magistrate Court earlier in ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani