MAKALA YA SHERIA: KESI YA BASIL MRAMBA NA DANIEL YONA MWANZO MWISHO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZZbolAZuKTg/Va1bl_lyYAI/AAAAAAAHqrY/60w6oxaxv0s/s72-c/1%2B%25281%2529.jpg)
Na Bashir YakubuWiki chache zilizopita, yaani Tarehe 6 JULY, 2015 mahakama ya Hakimu Mkazi ya Kisutu ya jijini Dar es salaam ilitoa hukumu katika kesi maarufu na ya muda mrefu iliyokuwa ikiwakabili mawaziri wa zamani wawili na katibu mkuu mmoja.
Blog hii iliripoti kwa ufupi matokeo ya kesi hiyo na kuahidi kutoa ufafanuzi wa kitaalam hapo baadae kupitia wanasheria wake.
Kwa kuwa GLOBU YA JAMII imekuwa mstari wa mbele kueleza masuala ya ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ZY1-04HTbqY/Ux8tsvSFNZI/AAAAAAAFS7Y/4GxUalj87EM/s72-c/1+(1).jpg)
Mahakama yawarusu kwenda kutibiwa nje ya nchi Mawaziri Waandamizi wa zamani,Basil Mramba na Daniel Yona
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZY1-04HTbqY/Ux8tsvSFNZI/AAAAAAAFS7Y/4GxUalj87EM/s1600/1+(1).jpg)
Uamuzi huo umetolewa leo mahakamani hapo na Jaji John Utamwa baada ya washtakiwa hao kuwasilisha maombi ya kwenda kutibiwa nje ya nchi.
Upande wa Jamhuri ulidai kuwa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RqVMmB8asHQ/VZpvVdTMXvI/AAAAAAAHnQ4/Gd7Ka7yvP7w/s72-c/unnamed%2B%252842%2529.jpg)
BREAKING NEWSSSS: Basil MRAMBA NA Daniel YONA WAHUKUMIWA KWENDA JELA MIAKA 3. Grey Mngonja huru
![](http://3.bp.blogspot.com/-RqVMmB8asHQ/VZpvVdTMXvI/AAAAAAAHnQ4/Gd7Ka7yvP7w/s640/unnamed%2B%252842%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5tWXbxAUuPo/VZpvmJY22FI/AAAAAAAHnRA/WsWRa7gzewc/s640/unnamed%2B%252843%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FCEo0sFcY4I/VZp0_O9kIJI/AAAAAAAHnSA/4S41A0Tigbc/s640/IMG-20150706-WA0017.jpg)
11 years ago
Mwananchi23 Apr
Kesi ya Yona, Mramba, Mgonja kuendelea leo
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam leo itaendelea kusikiliza kesi ya matumizi mabaya ya madaraka na kuisababishia Serikali hasara inayomkabili Waziri wa zamani wa Fedha, Basil Mramba na Waziri wa zamani Nishati na Madini, Daniel Yona
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-I0QXN3sy2h4/Vd94fb-wR5I/AAAAAAAH0h4/QrnVj6PCSzM/s72-c/law.jpg)
MAKALA YA SHERIA: KUMSHITAKI ASKARI ALIYEKUBAMBIKIZA KESI
![](http://2.bp.blogspot.com/-I0QXN3sy2h4/Vd94fb-wR5I/AAAAAAAH0h4/QrnVj6PCSzM/s400/law.jpg)
Kumbambikiza mtu kesi ni kosa. Si tu ni kosa bali pia ni kinyume kabisa cha haki za binadamu na ustaarab wa dunia. Inawezekanaje mtu akashtakiwa kwa kosa ambalo si tu hakulitenda bali pia halijui kabisa. Ni matendo yanayofanywa na watu makatili na mabazazi. Niseme tu mapema kuwa kosa hili haliwahusu tu askari isipokuwa kila mtu ambaye anaweza kumshtaki mwingine kwa kosa ambalo anajua kabisa halikutendeka au...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4wbVGLNcrhY/Vbk439CLI2I/AAAAAAAHsnc/vv_cpQ1byP0/s72-c/1.1774256.jpg)
MAKALA YA SHERIA: NAMNA YA KUKATA RUFAA KESI ZA ARDHI
![](http://2.bp.blogspot.com/-4wbVGLNcrhY/Vbk439CLI2I/AAAAAAAHsnc/vv_cpQ1byP0/s640/1.1774256.jpg)
Rufaa ni hatua ya kisheria ambayo hufikiwa na mhusika katika shauri fulani iwapo hakurushishwa na maamuzi. Rufaa sio mpaka uwe umeshindwa kabisa, hapana. Yawezekana ukawa umeshinda kesi lakini hukuridhishwa na kiwango ulichoshinda.Kwa mfano uliomba wavamizi waondoke katika nyumba yako na hapohapo wakulipe fidia. Mahakama ikatoa hukumu kuwa umeshinda wavamizi waondoke katika nyumba yako lakini ikasema wasikulipe...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3tGXB_EcMTs/VO5CXKPuZII/AAAAAAAHF6c/JL_WT4xl7yw/s72-c/law_5.jpg)
MAKALA YA SHERIA: NAMNA YA KUWASHITAK ASKARI WANAOWABAMBIKIZA KESI RAIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-3tGXB_EcMTs/VO5CXKPuZII/AAAAAAAHF6c/JL_WT4xl7yw/s1600/law_5.jpg)
Hapa kwetu Tanzania habari ya kubambakiziana kesi ni kama mtindo. Mara nyingi matendo haya yamekuwa yakifanywa na watu wenye uwezo kifedha dhidi ya wasio na fedha pia kati ya maofisa wa polisi na raia. Mtu kwasababu ana pesa au cheo anaweza kuamua kumfungulia yeyote mashtaka. Watu wengi wako magerezani kwa kubambikizwa kesi, hili wala sio siri tena. Siseme walio mahabusu, hao nao hawana idadi. Inasikitisha mno. Ni wazi kuwa wengi wao wamefikia huko aidha kwa...
10 years ago
TheCitizen08 Jul
Mramba, Yona jailed
Dar es Salaam. There were audible groans of disbelief and visible freely-flowing tears at the Kisutu Resident Magistrate’s Court yesterday after former cabinet ministers Basil Mramba, 75, and Daniel Yona, 76, were sentenced to serve three years in jail for abuse of office and causing Sh11.7 billion loss to the government.
10 years ago
GPLMRAMBA, YONA WAKESHA...
Mramba (kushoto) akiteta jambo na wakili wake, Peter Swai baada ya Mahakama kumhukumu miaka mitatu jela na faini ya shilingi milioni tano. Harun sanchawa na denis mtima
JOTO ya jiwe! Wafungwa wawili wapya katika gereza la Ukonga jijini Dar es Salaam, Waziri wa zamani wa Fedha, Basil Mramba na mwenzake wa Nishati na Madini, Daniel Yona, wanadaiwa kukesha huku wakilia katika siku wakianza kutumikia kifungo chao cha miaka...
9 years ago
IPPmedia03 Oct
Mramba, Yona get jail relief.
IPPmedia
The High Court has partially withheld appeals by former cabinet Ministers Basil Mramba (75) and Daniel Yona (76), reducing three-year imprisonment term to two years and overturning the Sh5m fine sentence ruled by the Kisutu Magistrate Court earlier in ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania