Makamba naye aibukia jimboni, DC Mhita achukua Handeni
>Aliyekuwa mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Naibu Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia, January Makamba amechukua fomu kutetea jimbo lake la Bumbuli, baada ya jina lake kuenguliwa na Halmashauri Kuu ya Taifa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-pQJxd6HKets/Vajv1SwrgXI/AAAAAAAAJCY/BIMaIfqA9AA/s72-c/Kambi%2BMbwana%252C%2BHandeni.jpg)
Kambi Mbwana achukua fomu ya ubunge Handeni Vijijini
![](http://2.bp.blogspot.com/-pQJxd6HKets/Vajv1SwrgXI/AAAAAAAAJCY/BIMaIfqA9AA/s640/Kambi%2BMbwana%252C%2BHandeni.jpg)
Kambi Mbwana...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-pQJxd6HKets/Vajv1SwrgXI/AAAAAAAAJCY/BIMaIfqA9AA/s72-c/Kambi%2BMbwana%252C%2BHandeni.jpg)
MWanahabari Kambi Mbwana achukua fomu ya ubunge Handeni Vijijini
![](http://2.bp.blogspot.com/-pQJxd6HKets/Vajv1SwrgXI/AAAAAAAAJCY/BIMaIfqA9AA/s640/Kambi%2BMbwana%252C%2BHandeni.jpg)
Na Mwandishi Wetu,...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-bLvmYFWTucI/VXhrnbQTPKI/AAAAAAAAugM/d5ggZoDsJA4/s72-c/J26A6326.jpg)
January Makamba achukua Fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea Urais 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-bLvmYFWTucI/VXhrnbQTPKI/AAAAAAAAugM/d5ggZoDsJA4/s640/J26A6326.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-es9jY-U8ovY/VXhrokpnpEI/AAAAAAAAugU/qLszpihnk5Q/s640/J26A6362.jpg)
January Makamba akionyesha kabrasha lenye fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Kushoto...
10 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-bLvmYFWTucI/VXhrnbQTPKI/AAAAAAAAugM/d5ggZoDsJA4/s640/J26A6326.jpg)
JANUARY MAKAMBA ACHUKUA FOMU YA KUOMBA KUTEULIWA KUGOMBEA URAIS 2015 JANA DODOMA
Mbunge wa jimbo la Bumbuli, mjumbe wa NEC na Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknologia, January Makamba  akisaini kuchukua fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Tukio hilo la uchukuaji wa fomu lilifanya katika Ofisi za Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma jana.… ...
10 years ago
MichuziTAMASHA LA HANDENI KWETU KUFANYIKA DESEMBA 31 WILAYANI HANDENI MKOANI TANGA
TAMASHA kubwa la umataduni linalojulikana kama 'Handeni Kwetu' limepangwa kufanyika Desemba 13 mwaka huu, katika Uwanja wa Azimio, wilayani Handeni, mkoani Tanga.
Mratibu Mkuu wa Tamasha la Handeni Kwetu, Kambi Mbwana, akizungumza jambo katika tamasha la mwaka lililofanyika Desemba 14. Mwaka huu tamasha hilo litafanyika Desemba 13, Siku ya Jumamosi, katika Uwanja wa Azimio, wilayani Handeni, mkoani Tanga. Picha na Maktaba Yetu.
Wasanii wa kundi la ngoma za asili la Mgambo JKT, wilayani...
![](http://4.bp.blogspot.com/-r8fysY5OXRo/VAQW4UyzX0I/AAAAAAAAIQ0/bnvYT0qN5zo/s1600/handeni%2B1.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9Q_WKOuXuSU/Uy2fn1_fxPI/AAAAAAAFVoU/HW1yTXv4VXA/s72-c/unnamed+(36).jpg)
JK KUIFUNGUA BARABARA YA MKATA — HANDENI NA HANDENI — KOROGWE MKOANI TANGA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete kesho anatarajiwa kuifungua rasmi barabara ya Mkata - Handeni ambayo ujenzi wake umekamilika kwa kiwango cha lami.
Kwa muibu wa taarifa kutoka Wizara ya Ujenzi, Barabara hii ina urefu wa kilometa 53.2.
Akiwa Wilayani Handeni, Rais Kikwete ataifungua pia barabara ya Korogwe – Handeni ambayo vile vile imekamilika kujengwa kwa kiwango cha lami.
Barabara hii ina urefu wa kilometa 65. Katika hatua nyingine mnamo...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-RIGOnYWMldo/Uy_9UkugZdI/AAAAAAAFV50/eA5RpNhsbcM/s72-c/Picha+Na+1.jpg)
RAIS KIKWETE AZIFUNGUA BARABARA ZA MKATA — HANDENI NA KOROGWE — HANDENI MKOANI TANGA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-RIGOnYWMldo/Uy_9UkugZdI/AAAAAAAFV50/eA5RpNhsbcM/s1600/Picha+Na+1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WXRfWRaNP08/Uy_-LcNLWVI/AAAAAAAFV6E/Fxo7o_piQQc/s1600/Picha+Na+2.jpg)
10 years ago
Uhuru Newspaper08 Apr
Dk. Mhita afariki dunia
NA MWANDISHI WETU ALIYEKUWA Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA),Dk. Mohamed Mhita, amefariki dunia. Dk. Mhita ambaye pia ni mume wa Mbunge wa Kondoa Kaskazini, Zabein Mhita, anatarajiwa kuzikwa leo baada ya kuwasili kwa mkewe, aliyeko India kwa matibabu. Akizungumza na waandishi wa habari, mtoto wa marehemu, Muhaji Mhita alisema baba yake aliugua maralia, Jumatatu alfajiri na kupelekwa hospitali, ambapo alifariki usiku. Alisema walipofika hospitali walibaini kuwa shinikizo la...
10 years ago
AllAfrica.Com09 Apr
Hundreds Mourn the Late Mhita
AllAfrica.com
GOVERNMENT leaders, politicians and hundreds of city dwellers turned up yesterday to pay their last respects to the former Director General of Tanzania Meteorological Agency (TMA), Dr Mohamed Mhita, who passed away last Monday at TMJ Hospital in ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania