Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hundreds Mourn the Late Mhita


Hundreds Mourn the Late Mhita
AllAfrica.com
GOVERNMENT leaders, politicians and hundreds of city dwellers turned up yesterday to pay their last respects to the former Director General of Tanzania Meteorological Agency (TMA), Dr Mohamed Mhita, who passed away last Monday at TMJ Hospital in ...

AllAfrica.com

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Daily News

Angry mob lynches Dodoma killer as hundreds mourn slain policeman


Angry mob lynches Dodoma killer as hundreds mourn slain policeman
Daily News
ANGRY residents here lynched a man suspected to have butchered a policeman at Chang'ombe Juu suburb in this designated capital on Wednesday. The lynched person, Tissi Mallya, reportedly killed the policeman, G7168 Corporal Joseph Swai, who had ...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Dk. Mhita afariki dunia



NA MWANDISHI WETU ALIYEKUWA Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA),Dk. Mohamed Mhita, amefariki dunia. Dk. Mhita ambaye pia ni mume wa Mbunge wa Kondoa Kaskazini, Zabein Mhita, anatarajiwa kuzikwa leo baada ya kuwasili kwa mkewe, aliyeko India kwa matibabu. Akizungumza na waandishi wa habari, mtoto wa marehemu, Muhaji Mhita alisema baba yake aliugua maralia, Jumatatu alfajiri na kupelekwa hospitali, ambapo alifariki usiku. Alisema walipofika hospitali walibaini kuwa shinikizo la...

 

10 years ago

Mtanzania

Dk. Mhita afariki Dunia Dar es salaam

Patricia Kimelemeta
ALIYEKUWA Mkurugenzi wa Mamlaka ya Hali ya Hewa(TMA), Dk Mohamed Mhita amefariki Dunia juzi katika Hospitali ya Agha Khan baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, mtoto wa marehemu, Muhaji Mhita alisema kuwa marehemu alikuwa akisumbuliwa na malaria na alipelekwa hospitalini hapo kwa ajili ya matibabu.
Alisema wanatarajia kuzika leo baada ya kuwasili kwa mke wa marehemu, Mbunge wa Kondoa Kaskazini, Zabein Mhita...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mboni Mhita afunguka, apongezwa kila kona

10678862_10204010849324662_7080527275303329392_n

Mboni Mhita.

Na Andrew Chale wa  modewji blog

Mteule wa Rais kwa nafasi ya ukuu wa Wilaya, iliyotangazwa juzi na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda,  mwanadada mtetezi wa wanyonge, vijana na watu mbalimbaali ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa UVCCM – Taifa na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC), Mboni Mhita ametoa kauli kwa mara ya  kwanza huku akimshukuru Mungu  kwa hatua aliyofikia.

Siku moja kabla, Mtandao huu ulikuwa ukutane na Mboni Mhita juu ya kufanya naye mahojiano maalum hata hivyo,...

 

11 years ago

GPL

MBONI MHITA ATINGA OFISI ZA GLOBAL PUBLISHERS LTD

Makamu Mwenyekiti wa UVCCM Taifa, Mboni Mhita akfafanua jambo kwa wanahabari wa Global (hawapo pichani). Mhariri wa Gazeti la Ijumaa Wikienda, Sifael Paul 'Kigogo' akimuuliza swali Mboni Mhita.…

 

10 years ago

Mwananchi

Makamba naye aibukia jimboni, DC Mhita achukua Handeni

>Aliyekuwa mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Naibu Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia, January Makamba amechukua fomu kutetea jimbo lake la Bumbuli, baada ya jina lake kuenguliwa na Halmashauri Kuu ya Taifa.

 

11 years ago

GPL

MBONI MHITA: SUGU ALIKUJA CCM, AKATAKA UBUNGE TUKAKATAA!

KATIKA kujitanua na kuwafikia wananchi wengi kwa wakati mmoja, vyama mbalimbali vya siasa nchini, vimekuwa na mgawanyo wa jumuiya zenye lengo la kugawa makundi mbalimbali kwenye jamii. Makamu Mwenyekiti wa UVCCM – Taifa, Mboni Mhita akijiandaaa kujibu hoja za waandishi wa habari katika ofisi za Global Publishers, sinza Bamaga. Chama Cha Mapinduzi (CCM) kina jumuiya tatu ambazo ni; Jumuiya ya Wazazi, Jumuiya ya Wanawake...

 

10 years ago

Michuzi

makamu mwenyekiti wa UVCCM Mboni Mhita atembelea ubalozi wetu marekani

 Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe.Liberata Mulamula akiwa katika picha pamoja na Makamu Mwenyekiti wa Umaaja wa Vijana wa CCM  Mhe.Mboni Mhita (kulia)  na Bi. Loveness Mamuya  kabla (juu) na baada (chini) ya Mhe.Mulamula kufanya mazungumzo na Mhe.Mboni ubalozini Washington DC

 

10 years ago

Dewji Blog

DC Mhita awahamasisha wanawake Mufindi kugombea nafasi za Udiwani, Ubunge na Uraisi

Mkuu wa  wilaya ya  Mufindi Bi Mboni Mhita akifungua  kongamano la  Umoja wa  wanawake Tanzania (UWT) wilaya ya Mufindi jana. Mkuu  wa  wilaya ya  Mufindi Bi Mboni Mhita wa  pili  kulia akiwa na viongozi mbali mbali wa UWT mkoa na wilaya ya Mufndi na Iringa vijijini kutoka kushoto ni mwenyekiti  wa UWT mkoa Bi Zainabu Mwamwindi ,mwenyekiti wa UWT wilaya ya Mufindi Bi Marcelina Mkini katibu  wa wazazi  mkoa wa Iringa Bw  Geofrey Kavenga  na mwenyekiti  wa UWT wilaya ya Iringa vijijini Bi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani