Makamishna wa Jeshi la Polisi waifagilia NMB Wakala
Makamishna wa Jeshi la Polisi wanaohudhuria mkutano wa mwaka wa maofisa waandamizi wa jeshi la polisi mjini Dodoma wamefurahishwa na matumizi ya teknolojia katika utoaji wa huduma za kifedha.
Makamishna wengi waliofika kwenye banda maalumu la NMB lililopo nje ya ukumbi wa mikutano wa St.Gasper mjini Dodoma ambapo kikao cha mwaka cha maafisa wa polisi kinaendelea, walifurahishwa na uharaka wa kutoa na kuweka fedha kupitia NMB wakala ambapo kupitia teknolojia ya Max Malipo, mteja anaweza kutoa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-YfeWR9TFKNI/Va0De2WQO_I/AAAAAAAAWak/82cqhBYxmNo/s72-c/1%2B%25281%2529.jpg)
NMB BANK YALIPATIA JESHI LA POLISI VIFAA VYA MICHEZO, NI KWA AJILI YA TIMU ZA POLISI DAR NA MORO
![](http://4.bp.blogspot.com/-YfeWR9TFKNI/Va0De2WQO_I/AAAAAAAAWak/82cqhBYxmNo/s640/1%2B%25281%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-bZCvfJ2TmN8/VH628tXa8pI/AAAAAAAG05Y/MfTK9OirFYs/s72-c/unnamed%2B(37).jpg)
Sasa NMB kuwafikia wateja wake Mpaka Vijijini kupitia NMB Wakala
Kuingia kwa MaxCom kwenye benki ya NMB kunamaanisha kuwa NMB itazidi kupanua Zaidi mtandao wao kwa kuingia hadi vijijini tofauti na benki zingine. Kupitia mawakala wa MaxCom, wateja wa NMB wanaweza kutoa na kuweka fedha kwenye...
10 years ago
MichuziBENKI YA NMB YAKABIDHI PIKIPIKI TANO KWA JESHI LA POLISI — DODOMA
Pikipiki hizo zilizokabidhiwa kwa Waziri wa Mambo ya Ndani,Mh Mathias Chikawe na Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa NMB,Tom Borgols, zina thamani ya shilingi Milioni 10.
Waziri Chikawe alishukuru NMB kwa kuona umuhimu wa kusaidia jeshi la polisi na hivyo kuwataka...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-s6xDl1BGNKI/VM91gL5AM1I/AAAAAAAHBAc/w0bWkqTCCEQ/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
NMB Yalishukuru Jeshi la Polisi kwa kuifanya benki hiyo kuwa chaguo lao la kwanza
10 years ago
MichuziMAKAMISHNA WA POLISI WAPYA WAAPISHWA
11 years ago
Michuzi14 May
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1IakUtC7aAc/VdOesSMNIuI/AAAAAAAHyD0/Ao_K4d4xP_o/s72-c/aaa.png)
TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA KWA VYOMBO VYA HABARI TAREHE 18.08.2015. KUFANYA KAZI YA ULINZI NA USALAMA ILIYOKASIMIWA KWA JESHI LA POLISI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-1IakUtC7aAc/VdOesSMNIuI/AAAAAAAHyD0/Ao_K4d4xP_o/s640/aaa.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-E_TqgsZUVxA/VdOd8pH2pxI/AAAAAAAHyDo/ZHeA-B7qXco/s640/unnamed%2B%252841%2529.jpg)
KATIKA MSAFARA WAKE KUTOKA UWANJA WA NDEGE [SONGWE] KULIONEKANA GARI MOJA (PICHANI) AINA YA LAND CRUISER – PICK UP YENYE RANGI NYEUSI NA NDANI YAKE LILIKUWA LIMEBEBA VIJANA AMBAO WALIKUWA WAMEVAA MAVAZI MEUSI, KOFIA – BERETI NYEUSI NA MIWANI...
9 years ago
StarTV26 Dec
Jeshi la Polisi latakiwa kuwachukulia hatua za kinidhamu askari wanaotoa siri za jeshi hilo
Jeshi la polisi mkoani Tabora limeagizwa kuwachukulia hatua za kinidhamu za kijeshi askari polisi ambao wanajihusisha na vitendo vya kihalifu na utoaji siri za jeshi kwa wahalifu kwa makusudi ya kujipatia kipato.
Agizi hilo limetolewa na Mkuu wa mkoa wa Tabora, Ludovick Mwananzila amesema ni aibu kubwa kwa Jeshi la Polisi kuendelea kufanya kazi na Askari wasio waaminifu wanaovujisha siri za kupambana na uhalifu.
Agizo hilo la Mkuu wa mkoa wa Tabora Ludovick Mwananzila amelitoa katika hafla...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-V_pneL_wGL4/VeyTy_SqrbI/AAAAAAAH2qU/5-nGGoWn8gM/s72-c/130.jpg)
JESHI LA POLISI LITAENDELEA KUWEPO ENDAPO MAKAZI YA ASKARI WA JESHI YATAIMARISHWA-BALOZI SEIF IDDI
![](http://4.bp.blogspot.com/-V_pneL_wGL4/VeyTy_SqrbI/AAAAAAAH2qU/5-nGGoWn8gM/s640/130.jpg)
Iddi akifungua Pazia kuashirika kuweka Jiwe la Msingi la Ujenzi wa
Nyumba ya Kuishi Askari Polisi wa Wilaya ya Micheweni Mkoa wa
Kaskazini Pemba.
![](http://1.bp.blogspot.com/-5GIYcKPoOeg/VeyT3Z08psI/AAAAAAAH2qc/HKKwZflkIgI/s640/140.jpg)
ndani ya jengo linalojengwa kwa ajili ya makaazi ya Askari Polisi
Wilaya ya Micheweni Kisiwani Pemba.
![](http://2.bp.blogspot.com/-324VjCa-070/VeyT3SZyO2I/AAAAAAAH2qk/PMhmwN2QF68/s640/150.jpg)
Kaskazini Pemba wakifuatilia hotuba ya Balozi Seif hayupo pichani
ambapo wa kwanza kutoka kulia ni OCD...