MAKAMU WA RAIS SUDANI NA MKEWE WAPATWA NA CORONA
Haki miliki ya pichaREUTERSImage captionRiek Machar na mkewe waambukizwa virusi vya coronaMakamu Rais wa kwanza wa Sudani Kusini Riek Machar na mke wake Angelina Teny wamethibitishwa kuambukizwa virusi vya corona.Dkt. Machar alisema kwamba yeye na mke wake ambaye pia ni waziri wa ulinzi, wamepata maambukizi baada ya kutangamana na jopo la ngazi ya juu la kukabiliana na virusi hivyo nchini humo.Machar amesema kwamba hana dalili zozote na hali yake ya afya iko sawa lakini atajiweka karantini...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/1EvH6RK7gis/default.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA MAKAMU WA RAIS WA ZAMANI WA SUDANI YA KUSINI REIK MACHAR NCHINI AFRIKA YA KUSINI
5 years ago
BBCSwahili21 May
Virusi vya corona: 80 wapatwa na maambukizi ya corona Kenya, akiwemo mtoto mchanga
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/1EvH6RK7gis/default.jpg)
5 years ago
BBCSwahili09 May
Virusi vya Corona: Msaidizi wa Makamu wa rais Mike Pence akutwa na Corona
5 years ago
BBCSwahili26 Feb
Makamu wa rais Riek Machar anajihisi ni kama mfungwa baada ya mkataba, asema mkewe
5 years ago
MichuziWATUMISHI WA OFISI YA MAKAMU WA RAIS WAPATA ELIMU YA CORONA
10 years ago
Dewji Blog15 Sep
Rais Kikwete apokea ujumbe toka kwa Rais wa Sudani ya Kusini Mhe Salvar Kiir jijini Dar
Rais Jakaya Mrisho Kikwete amepokea ujumbe maalumu toka kwa Rais Salvar Kiir Mayardit wa Sudani Kusini ulioletwa na mjumbe malumu Jenerali James Kok Ruea Jumamosi September 14, Ikulu jijini Dar es salaam. Mjumbe huyo aliongozana pia na Mkuu wa Kituo cha Martti Ahtisari (Martti Ahtisari Centre) kwa nchi za Afrika chini ya Jangwa la Sahara, Bw. Itonde Kakoma.(Picha na IKULU).
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-HR4ff-k_juM/VBXdwOXcByI/AAAAAAAGjj0/1_v1NPyoidY/s72-c/ss1.jpg)
RAIS KIKWETE APOKEA UJUMBE TOKA KWA RAIS WA SUDANI YA KUSINI MHE SALVAR KIIR JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://4.bp.blogspot.com/-HR4ff-k_juM/VBXdwOXcByI/AAAAAAAGjj0/1_v1NPyoidY/s1600/ss1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-TaFF4gDtZlE/VBXdwtYQS7I/AAAAAAAGjj4/I2biopicjK0/s1600/ss2.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YPwXEIw3GTo/U6hMkVX-D6I/AAAAAAAFscM/6fq_J43Uu_k/s72-c/6.jpg)
MAKAMU WA RAIS, DKT. BILAL AMKARIBISHA MAKAMU WA RAIS WA CHINA NA UJUMBE WAKE IKULU DAR LEO, WASAINI MIKATABA
![](http://4.bp.blogspot.com/-YPwXEIw3GTo/U6hMkVX-D6I/AAAAAAAFscM/6fq_J43Uu_k/s1600/6.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-6HC0MKtC8mQ/U6hMncpZAAI/AAAAAAAFscY/9WxOhZ474cE/s1600/7.jpg)