Malecela: Wakati utafika wasomi watabaki kwenye taaluma zao
Katika toleo la jana Waziri Mkuu mstaafu, John Malecela alizungumzia historia yake katika siasa na mchakato wa Katiba Mpya. Katika sehemu ya pili ya mahojiano na gazeti hili, anaeleza pamoja na mambo mengine, ubinafsishaji, ajira na ushiriki wa wasomi kwenye siasa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi24 Nov
Utafika wakati lazima ufanye uamuzi mgumu
9 years ago
StarTV15 Nov
Wataalamu wa afya wahimizwa kutumia taaluma zao kwakufanya tafiti
Wataalamu wa Sekta ya afya nchini wanapaswa kutumia taaluma yao kutafiti na kugundua visababishi vya magonjwa mbalimbali yanayoathiri jamii hali itakayosaidia Serikali kukabiliana na magonjwa husika.
Tafiti zinaonyesha kuwa magonjwa mengi yamekuwa yakiikumba jamii kutokana na kukosekana kwa watalaamu wa kubaini visababishi vya maradhi hayo.
Mkuu wa chuo kikuu kishiriki cha Sayansi ya tiba cha KCMU College kilichopo mjini Moshi Mkoani Kilimanjaro Prof.Elgibert Kessy anaona ipo haja kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-BT8m71hldqs/VKxcpv1YRFI/AAAAAAAG7wI/gmMzeXxVMEI/s72-c/unnamed%2B(8).jpg)
Wastaafu watakiwa kushirikiana kwa karibu katika kutumia ujuzi na Taaluma zao za muda mrefu
![](http://1.bp.blogspot.com/-BT8m71hldqs/VKxcpv1YRFI/AAAAAAAG7wI/gmMzeXxVMEI/s1600/unnamed%2B(8).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-pTCEOdC7Bzs/VKxcpmilV4I/AAAAAAAG7wA/jGnTb31lVN0/s1600/unnamed%2B(9).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-tgtSHqMl120/VKxcpuJRinI/AAAAAAAG7wE/I8ZyuFFR9mM/s1600/unnamed%2B(10).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-lYqbjWeNbek/Vh3xXMxx1hI/AAAAAAAH_44/ohp2q8-__Io/s72-c/New%2BPicture.png)
TASAF YAWAHIMIZA WAANIDISHI WA HABARI KUZINGATIA MAADILI YA TAALUMA YAO HASA WAKATI HUU WA UCHAGUZI.
Mwamanga ambaye alikuwa mgeni rasmi katika ufungaji wa kongamano hilo amewasihi waandishi wa habari kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia misingi ya taaluma yao ili kuepukana upotoshaji na kuitia nchi katika mgogoro usiokuwa wa lazima. Amesema taaluma...
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
Ni wakati wa wasomi kushiriki mabadiliko chanya
KIONAMBALI alikuwa akisoma kitu kwenye mtandao. Mwandishi wa kitu kile alikuwa anasema kwamba wanafunzi wenye akili nyingi husoma na kuwa wahandisi. Wenye akili za wastani husoma na kuwa wahasibu na...
9 years ago
Dewji Blog05 Jan
Watumishi wa kada za afya nchini watakiwa kufanya kazi kwa kufuata maadili na viapo vya taaluma zao
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Ummy Mwalimu akimjulia hali mama aliyejifungua kwenye wodi ya wazazi hospitali teule ya rufaa ya mkoa wa Geita.
Wauguzi wa wodi ya akinamama katika hospitali teule ya mkoa wa Geita.
Tabibu wa kituo cha afya Nyankumbu, Abdallah Kiroboto akimsikiliza Waziri Ummy mara alipoingia kwenye chumba cha kutolea huduma, pembeni ni mama aliyefika kituoni hapo na watoto wake kupata matibabu.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia,...
11 years ago
MichuziKATAA UMEME FAMILY YAWAKEMEA WATU WANAOTUMIA PICHA ZAO KWENYE BIASHARA ZAO ZA MADAWA YA KUPUNGUZA UZITO
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-b7i9LJY1jBg/Vmu1fRMngKI/AAAAAAAA1gg/rP4dD8dZWlI/s72-c/IMG_20151211_125213.jpg)
WASOMI KUJADILI HOTUBA YA RAIS DK. MAGUFULI ALIYOITOA WAKATI WA KUFUNGUA BUNGE MJINI DODOMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-b7i9LJY1jBg/Vmu1fRMngKI/AAAAAAAA1gg/rP4dD8dZWlI/s640/IMG_20151211_125213.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-DuDOkKJqbic/Vmu2cphOxiI/AAAAAAAA1go/VYpWNcGOyow/s640/IMG_20151211_125910.jpg)
11 years ago
Mwananchi11 Jun
Wasomi: Tusitarajie jipya kwenye bajeti