Malinzi aipongeza Yanga
Jamal Malinzi ametuma salamu za pongezi kwa Mwenyekiti wa klabu ya Young Africans, Yusuf Manji kufuatia timu yake kutwaa Ubingwa .
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi21 Apr
Jamal Malinzi aipongeza Azam
10 years ago
BBCSwahili07 May
Blatter aipongeza Yanga ya Tanzania
11 years ago
Tanzania Daima14 May
Yanga, Simba zamkacha Malinzi
LICHA ya kutarajiwa kuwa waathirika wakubwa wa sheria ya nyota wa kigeni katika timu za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), wakongwe wa soka la Bongo, Simba na Yanga, juzi zilikacha...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zhNl_E-aLuU/VUNk9AIlvaI/AAAAAAAHUeA/H58w7gCzFyg/s72-c/tff_logo.jpg)
KILA LA KHERI YANGA - MALINZI
![](http://1.bp.blogspot.com/-zhNl_E-aLuU/VUNk9AIlvaI/AAAAAAAHUeA/H58w7gCzFyg/s1600/tff_logo.jpg)
Katika salamu zake Malinzi amesema ,Young Africans wakiwa ndio timu wawakilishi pekee wa Tanzania na Afrika Mashariki katika michuano ya kimataifa barani Afrika wanapaswa kupambana kuhakikisha wanasonga mbele...
9 years ago
Mtanzania31 Dec
Malinzi agusa suala la Niyonzima, Yanga
ADAM MKWEPU NA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM
RAIS wa Shirikisho la Soka nchini (TFF), Jamal Malinzi, ameitaka klabu ya Yanga kukaa ili kumalizana na mchezaji Haruna Niyonzima, kama ikishindikana wapeleke kesi hiyo yenye mgogoro wa kimkataba kwenye Kamati ya Sheria na Hadhi za wachezaji kabla ya wao kuingilia.
Hatua hiyo imekuja baada ya uongozi wa Yanga kuvunja mkataba wa mchezaji wake kiungo mkabaji, Haruna Niyonzima, kwa madai alikuwa akivunja utaratibu pamoja na kutaka kuwa juu ya...
10 years ago
Uhuru Newspaper26 Mar
Kinana aipongeza NHC
KATIBU Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana, amelipongeza Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), kwa kazi nzuri ya ujenzi wa nyumba pamoja na kutoa mafunzo kwa vijana juu ya ufyatulishaji wa matofali.
Kinana alitoa pongezi hizo baada ya kuanza kutembelea Jimbo la Vunjo, juzi na kukagua kikundi cha vijana wanaojishughulisha na ufyatuaji wa matofali.
Alisema NHC mbali ya kazi nzuri ya kujenga nyumba kila sehemu, pia imekuwa ikitoa mashine za kufyatulia matofali kwa vikundi mbalimbali vya vijana.
Kinana...
11 years ago
Tanzania Daima06 Jan
Kawambwa aipongeza Tusiime
WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa, ameipongeza Shule ya Tusiime ya Dar es Salaam ambayo imekuwa ya pili kitaifa katika matokeo ya darasa la saba mwaka...