Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Malinzi aipongeza Yanga

Jamal Malinzi ametuma salamu za pongezi kwa Mwenyekiti wa klabu ya Young Africans, Yusuf Manji kufuatia timu yake kutwaa Ubingwa .

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Jamal Malinzi aipongeza Azam

Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi ameipongeza Azam kwa kutwaa ubingwa na kudai kuwa si Tanzania tu iliyozizima bali Afrika kwa ujumla.

 

10 years ago

BBCSwahili

Blatter aipongeza Yanga ya Tanzania

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu DunianI Joseph Blatter amempongeza Jamal Malinzi rais wa TFF

 

11 years ago

Tanzania Daima

Yanga, Simba zamkacha Malinzi

LICHA ya kutarajiwa kuwa waathirika wakubwa wa sheria ya nyota wa kigeni katika timu za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), wakongwe wa soka la Bongo, Simba na Yanga, juzi zilikacha...

 

10 years ago

Michuzi

KILA LA KHERI YANGA - MALINZI

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini - TFF, Jamal Malinzi amewatakia kila la kheri Wawakilishi pekee wa Tanzania katika Kombe la Shirikisho Barani Afrika (CC) timuYoung Africans katika mchezo wake wa marudiano dhidi ya timu ya Etoile du Sahel utakaochezwa kesho nchini Tunisia.
Katika salamu zake Malinzi amesema ,Young Africans wakiwa ndio timu wawakilishi pekee wa Tanzania na Afrika Mashariki katika michuano ya kimataifa barani Afrika wanapaswa kupambana kuhakikisha wanasonga mbele...

 

9 years ago

Mtanzania

Malinzi agusa suala la Niyonzima, Yanga

niyoADAM MKWEPU NA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM

RAIS wa Shirikisho la Soka nchini (TFF), Jamal Malinzi, ameitaka klabu ya Yanga kukaa ili kumalizana na mchezaji Haruna Niyonzima, kama ikishindikana wapeleke kesi hiyo yenye mgogoro wa kimkataba kwenye Kamati ya Sheria na Hadhi za wachezaji kabla ya wao kuingilia.

Hatua hiyo imekuja baada ya uongozi wa Yanga kuvunja mkataba wa mchezaji wake kiungo mkabaji, Haruna Niyonzima, kwa madai alikuwa akivunja utaratibu pamoja na kutaka kuwa juu ya...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Kinana aipongeza NHC


KATIBU Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana, amelipongeza Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), kwa kazi nzuri ya ujenzi wa nyumba pamoja na kutoa mafunzo kwa vijana juu ya ufyatulishaji wa matofali.
Kinana alitoa pongezi hizo  baada ya kuanza kutembelea Jimbo la Vunjo, juzi na kukagua kikundi cha vijana wanaojishughulisha na ufyatuaji wa matofali.
Alisema NHC mbali ya kazi nzuri ya kujenga nyumba kila sehemu, pia imekuwa ikitoa mashine za kufyatulia matofali kwa vikundi mbalimbali vya vijana.
Kinana...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kawambwa aipongeza Tusiime

WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa, ameipongeza Shule ya Tusiime ya Dar es Salaam ambayo imekuwa ya pili kitaifa katika matokeo ya darasa la saba mwaka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani