Yanga, Simba zamkacha Malinzi
LICHA ya kutarajiwa kuwa waathirika wakubwa wa sheria ya nyota wa kigeni katika timu za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), wakongwe wa soka la Bongo, Simba na Yanga, juzi zilikacha...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Daily News16 Jun
Malinzi suspends Simba election
Daily News
Daily News
THE Tanzania Football Federation (TFF) President Jamal Malinzi has indefinitely suspended Simba general election that was scheduled to be held on June 29, this year. Speaking in Dar es Salaam, the TFF President Malinzi said Simba should form an Ethics ...
11 years ago
Mwananchi17 Jun
Malinzi aingilia uchaguzi Simba
10 years ago
BBCSwahili29 Apr
Malinzi aipongeza Yanga
10 years ago
Bongo Movies13 Dec
Hiki ndicho Walichohaidiana JB na Ray Kigosi leo kabla ya mechi ya Simba na Yanga. JB ni SIMBA, Ray ni YANGA.
Huku tukisubiria kwa hamu sana ile mechi ya NANI MTANI JEMBE kati ya YANGA na SIMBA, Jacob Steven – JB mshabiki namba moya wa SIMBA SPORTS CLUB na VICENT KIGOSI – Ray, shabiki namba moja wa YANGA wamekubaliana haya yafuatayo.
Endapo timu moja SIMBA itafungwa, basi JB atavaa jezi ya YANGA na kumpa RAY pesa za kitanzania TSHS. MILLIONI MOJA (1) CASH na ikiwa YANGA itafungwa, basi RAY atavaa jezi ya SIMBA na kumpa JB pesa hiyo hiyo MILLIONI MOJA (1) CASH.
Unahisi nani ataibuka kidedea...
11 years ago
Tanzania Daima08 Jan
Malinzi kubariki Simba vs Chuoni leo
RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi, leo usiku anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mechi ya robo fainali ya pili ya Kombe la Mapinduzi kati ya Wekundu wa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zhNl_E-aLuU/VUNk9AIlvaI/AAAAAAAHUeA/H58w7gCzFyg/s72-c/tff_logo.jpg)
KILA LA KHERI YANGA - MALINZI
![](http://1.bp.blogspot.com/-zhNl_E-aLuU/VUNk9AIlvaI/AAAAAAAHUeA/H58w7gCzFyg/s1600/tff_logo.jpg)
Katika salamu zake Malinzi amesema ,Young Africans wakiwa ndio timu wawakilishi pekee wa Tanzania na Afrika Mashariki katika michuano ya kimataifa barani Afrika wanapaswa kupambana kuhakikisha wanasonga mbele...
10 years ago
Vijimambo09 Mar
11 years ago
Mwananchi15 Mar
Malinzi aitaka Simba kufuata kanuni TFF
9 years ago
Mtanzania31 Dec
Malinzi agusa suala la Niyonzima, Yanga
ADAM MKWEPU NA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM
RAIS wa Shirikisho la Soka nchini (TFF), Jamal Malinzi, ameitaka klabu ya Yanga kukaa ili kumalizana na mchezaji Haruna Niyonzima, kama ikishindikana wapeleke kesi hiyo yenye mgogoro wa kimkataba kwenye Kamati ya Sheria na Hadhi za wachezaji kabla ya wao kuingilia.
Hatua hiyo imekuja baada ya uongozi wa Yanga kuvunja mkataba wa mchezaji wake kiungo mkabaji, Haruna Niyonzima, kwa madai alikuwa akivunja utaratibu pamoja na kutaka kuwa juu ya...