Mama G Apagawisha Shindano la Miss Kenya Germany 2015, Lucy Komba Ndani ya Nyumba
Mwigizaji na Mchekeshaji anaeishi nchini Ugerumani, maarufu kama Mama G for Germany aka Ronet ametoa burudani ya kufa mtu kwenye shindano la Miss Kenya Germany 2015 lililofanyika usiku wa kuamkia jana huko nchini Ujerumani.
Mama G aliwavunja mbavu watu kwa vicheko mfululizo wakati alipokuwa akifanya yake ukumbini humo na kulifanya shindano hilo kunoga zaidi.
Staa wa Bongo Movies ambae kwa sasa anaishi ughaibuni, Lucy Komba pamoja na Rehema Amiry Nkalami wa swahili radio Denmark walikuwa...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies11 Apr
Lucy Komba : Mama Kanumba Anastahili Faraja Sio Kashfa
Staa wa Bongo Movies ambae kwa sasa anaishi ughaibuni, Lucy Komba amewatolea uvivu mashabaki wanaojifanya kumpenda Kanumba huku wanamkashifu mama yake.
“Jamani mimi nimeguswa sana au kuumia na jinsi ambavyo watu wanatoa maoni na kumsema vibaya huyu mama. Mama kanumba hakustahili maneno ya kashfa alistahili maneno ya hekima na kuendelea kumfariji, watu wengi wamekuwa wakisema hakuna kama Kanumba hakuna wa kuweza kushika nafasi ya Kanumba na wengi kudai kummisi na kudai wanaendelea...
9 years ago
VijimamboREDDS MISS TANZANIA 2015 NA MISS KENYA WATEMBELEA HOSPITALI YA CCBRT KUWAFARIJI WAGONGWA
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-KMc0al9zUs8/VdThqe0H2II/AAAAAAAHyVE/S6TDeTGaLm4/s72-c/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
11 years ago
GPLSIMANZI ZAENDELEA KUTAWALA NDANI YA NYUMBA YA TMT BAADA YA MSHIRIKI MWINGINE KUAGA SHINDANO
10 years ago
Michuzi18 WATAJWA SHINDANO LA MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2015
akizungumza na waandishi wa habari mmoja wa majaji waliohusika katika zoezi la kusahihisha fomu za washiriki, Zephania Mugittu alisema kuwa idadi ya washiriki...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nd24W9ECLPOXF*VFLZM20sRL3CmXW2HDwL2o09s-K1Jst9X2mb0YoPRohMqGxxN*Co3b6U3HvzLccpJ4YvflV85wwGkR4OK1/lucy.jpg)
NDOA YA LUCY KOMBA MIKOSI 3
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/J9FGucqSAtHGyNSEW0ZEsIibvlNKLUXO-eDWPkqbg7byRZv92AoLAFowR-kYcgIhn*5onmdxh5ks0JIISkg2xF5SaeUPNDkp/BACKAMANI.jpg)
NDOA YA LUCY KOMBA MIZENGWE
10 years ago
Dewji Blog08 Jun
18 watajwa kushiriki shindano la Mama Shujaa wa Chakula 2015
Meneja Utetezi na Ushawishi wa Oxfam, Eluka Kibona akifungua mkutano wa kuwatangaza washindi wa waliongia katika shindano la Mama Shujaa wa Chakula 2015.
Majaji, Kutoka Kulia ni Zephaniah Muggitu wa Digital Consulting Ltd, Jairos Mahenge Mhifadhi Mwandamizi wa Hifadhi za Bahari na Maeneo Tengefu, Dora Myinga Mkulima na Mjasiliamali, Mwandiwe Makame Mkulima na Mfugaji, Roselyn Kaihula kutoka Ekama Development.
Ofisa Mahusiano ya Ushawishi wa Oxfam Tanzania Suhaila Thawer akitoa maelezo...
10 years ago
VijimamboWASHIRIKI 18 WATAJWA SHINDANO LA MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2015