Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lucy Komba : Mama Kanumba Anastahili Faraja Sio Kashfa

Staa wa Bongo Movies ambae kwa sasa anaishi ughaibuni, Lucy Komba amewatolea uvivu mashabaki wanaojifanya kumpenda Kanumba  huku wanamkashifu mama yake.

“Jamani mimi nimeguswa sana au kuumia na jinsi ambavyo watu wanatoa maoni na kumsema vibaya huyu mama. Mama kanumba hakustahili maneno ya kashfa alistahili maneno ya hekima na kuendelea kumfariji, watu wengi wamekuwa wakisema hakuna kama Kanumba hakuna wa kuweza kushika nafasi ya Kanumba na wengi kudai kummisi na kudai wanaendelea...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Mama G Apagawisha Shindano la Miss Kenya Germany 2015, Lucy Komba Ndani ya Nyumba

Mwigizaji na Mchekeshaji  anaeishi nchini Ugerumani, maarufu kama Mama G for Germany aka Ronet ametoa burudani ya kufa mtu kwenye shindano la  Miss Kenya Germany  2015 lililofanyika usiku wa kuamkia jana huko nchini Ujerumani.

Mama G aliwavunja mbavu watu kwa vicheko mfululizo wakati alipokuwa akifanya yake ukumbini humo na kulifanya shindano hilo kunoga zaidi.

Staa wa Bongo Movies ambae kwa sasa anaishi ughaibuni, Lucy Komba pamoja na Rehema Amiry Nkalami wa swahili radio Denmark walikuwa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Mama Kanumba:Nitaendeleza ndoto za Kanumba kupitia "Kanumba Foundation"

Mama wa aliyekuwa nyota wa filamu nchini, marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa amesema kuwa kupitia Kampuni ya Kanumba The Great Film inakamilisha uanzishaji wa taasisi itakayoitwa, Kanumba Foundation.

Pia, alikanusha uvumi kuwa kampuni ya Kanumba imekufa, akifafanua jambo hilo alisema kampuni hiyo inaendelea na shughuli zake. Alisema kutakuwapo Kanumba Foundation ili kusaidia jamii wakiwamo wasanii katika masuala mbalimbali.

Akizungumza na gazeti la Mwananchi, Flora alisema uamuzi...

 

11 years ago

GPL

NDOA YA LUCY KOMBA MIZENGWE

Stori: Gladness Mallya
HUKU akiwa kwenye vikao vya maandalizi ya harusi na Mzungu, staa wa filamu Bongo, Lucy Francis Komba (pichani na mchumba wake), amejikuta katika wakati mgumu baada ya habari kudai kwamba, mchumba wake huyo amemwambia ili ndoa ifungwe lazima aoneshe cheti cha kipimo cha Ukimwi kwanza. Staa wa filamu Bongo, Lucy Francis Komba akiwa na mchumba wake. Chanzo chetu cha habari kikizungumza na Amani juzi,...

 

10 years ago

GPL

NDOA YA LUCY KOMBA MIKOSI 3

Stori: Gladness Mallya na Mayasa Mariwata
ILE ndoa iliyokuwa ikisubiriwa kwa muda mrefu ya nyota wa filamu Bongo, Lucy Francis Komba na mzungu wake raia wa Denmark anayejulikana kwa jina moja la Janus hatimaye imefungwa na kutawaliwa na matukio yenye mikosi kibao. Nyota wa filamu Bongo, Lucy Francis Komba na mzungu wake raia wa Denmark anayejulikana kwa jina moja la Janus wakiwa ni wenye furaha wakati wa harusi yao. Ndoa hiyo...

 

11 years ago

GPL

LUCY KOMBA: MIMI NI ZAO LA TYSON

Stori: shani ramadhani
MSANII nguli katika soko la filamu Bongo, Lucy Francis Komba amefunguka kuwa yeye ni zao mojawapo la hayati George Otieno Okumu ‘Tyson’. Msanii nguli katika soko la filamu Bongo, Lucy Francis Komba “Mimi ni zao la Tyson, nimeanzia katika mchezo wa maigizo wa Mambo hayo uliokuwa ukirushwa katika Kituo cha Runinga cha ITV na ndiyo ukawa mwanzo wangu kujulikana, asingekuwa yeye sijui...

 

11 years ago

GPL

LUCY KOMBA ANASWA NA PETE YA UCHUMBA

Stori:Mayasa Mariwata
MSANII wa filamu Bongo, Lucy Komba hivi karibuni amenaswa akiwa amevaa pete ya uchumba huku tetesi zilizopo zikidai kuwa anatarajia kufunga ndoa na ‘mtu’ wake ambaye si raia wa Tanzania. Msanii wa filamu Bongo, Lucy Komba hivi karibuni amenaswa akiwa amevaa pete ya uchumba huku tetesi zilizopo zikidai kuwa anatarajia kufunga ndoa Lucy alipigwa chapo akiwa na pete hiyo kwenye msiba wa...

 

10 years ago

GPL

DOKII AMZAWADIA KIWANJA LUCY KOMBA

Stori: Imelda Mtema
Msanii wa filamu na muziki, Ummy Wenceslaus ‘Dokii’ ambaye pesa imemtembelea ameonyesha kuwa na ushoga uliopitiliza na msanii mwenzake Lucy Komba baada ya kumzawadia kiwanja kwenye kicheni pati yake iliyofanyika hivi karibuni. Msanii wa filamu na muziki, Ummy Wenceslaus ‘Dokii’. Dokii akiwa mmoja wa mastaa waliopamba vyema sherehe hiyo iliyofanyika ndani ya Ukumbi wa Makumbusho ya...

 

10 years ago

GPL

LUCY KOMBA: NIMEISHI NA MR. WIKI MBILI TU!

NaGladness Mallya
MSANII mkongwe katika gemu la filamu Bongo, Lucy Komba amefunguka kwamba baada ya kufunga ndoa  hivi karibuni ameishi na mumewe Janus kwa wiki mbili tu. Msanii mkongwe katika gemu la filamu Bongo, Lucy Komba akiwa na mume wake mumewe Janus. Akizungumza na paparazi wetu, Lucy alisema kwa sasa amebaki Bongo peke yake ikiwa ni baada ya mumewe kwenda kwao Denmark ambapo alitakiwa kurudi kazini lakini bado...

 

11 years ago

GPL

LUCY KOMBA ATENGWA BONGO MOVIE

Stori: Mayasa Mariwata STAAwa sinema za Kibongo, Lucy Komba, amedaiwa kutengwa na wasanii wenzake wa Klabu ya Bongo Movie kwa kosa la kuwatolea lugha za kejeli. Staa wa sinema za Kibongo, Lucy Komba, Chanzo makini kimepenyeza habari kuwa, Bongo Movie wamemsusia msanii huyo katika vikao vya harusi yake kwa madai kuwa aliwahi kuwaponda kwenye vyombo vya habari kuwa klabu hiyo si chochote kwake. Alipotafutwa na paparazi wetu, Lucy...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani