MAMA MONICA MWAMNYANGE AZINDUA BARAZA LA USHAURI TCAA
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Uchukuzi, Mama Monica Mwamyange akizungumza wakati wa uzinduzi wa Baraza la Ushauri wa Watumiaji wa Huduma ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA-CCC) na semina ya wadau wa usafiri wa anga Dar es Salaam leo.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Uchukuzi, Mama Monica Mwamyange akimkabidhi zawadi Mwenyekiti wa Baraza la Ushauri wa Watumiaji wa Huduma ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA-CCC), Shaban Mtambalike wakati wa uzinduzi wa baraza hilo la nne tangu kuanzishwa kwake.
Katibu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMWAMNYANGE AZINDUA BARAZA LA USHAURI TCAA
10 years ago
Dewji Blog23 Jun
Baraza la ushauri la watumiaji usafiri wa Anga TCAA-CCC washiriki kikamilifu wiki ya Utumishi wa Umma Mnazi Mmoja Dar
Watumishi wa Baraza la Ushauri la Watumiaji Huduma za Usafiri wa Anga (TCAA-CCC)wakitoa huduma kwa wageni mbalimbali waliotembelea banda hilo leo.
Kikosi kazi cha Watumishi wa Baraza la Ushauri la Watumiaji Huduma za Usafiri wa Anga (TCAA-CCC) wakiwa tayari kutoa huduma kwa wageni mbalimbali watakaotembelea banda hilo katika maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma viwanja vya Mnazi Mmoja Dar es Salaam leo. Kutoka kushoto ni Athuman Bakari, Aziza Tamim na Debora Mligo.
Katibu Mtendaji wa...
10 years ago
VijimamboBARAZA LA USHAURI LA WATUMIAJI USAFIRI WA ANGA TCAA-CCC WASHIRIKI KIKAMILIFU WIKI YA UTUMISHI WA UMMA MNAZI MMOJA DAR ES SALAAM
Katibu Mtendaji wa Baraza...
10 years ago
Vijimambo14 Apr
10 years ago
Tanzania Daima20 Sep
Dk. Seif azindua bodi ya ushauri huduma za afya
WAJUMBE wapya wa bodi ya ushauri ya uongozi wa hospitali binafsi, wametakiwa kuhakikisha sheria inayosimamia vituo vya kutolea huduma za afya inafanyiwa maboresho ili usimamizi uwe na ufanisi zaidi. Akizungumza...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5aO1AA4o_XI/VPgkiShbLUI/AAAAAAAAbao/-oxELHff6FM/s72-c/6.jpg)
BARAZA LA USHAURI SUMATRA LAZINDUA VILABU VYA WANAFUNZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-5aO1AA4o_XI/VPgkiShbLUI/AAAAAAAAbao/-oxELHff6FM/s1600/6.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-_fnQgU-_5ts/VPgkky3HYoI/AAAAAAAAbaw/3MUuBu0UgbM/s1600/4.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-w4Og9Gwf84k/VPgkk1cTlKI/AAAAAAAAba0/W6Jlw_UDLRQ/s1600/5.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-ppbNvMTM1Ac/VRY_KvETxcI/AAAAAAAAZHw/PltRCN0oYR0/s72-c/1.jpg)
MAKAMU MWENYEKITI WA KAMATI YA BARAZA LA USHAURI WA KISIASA LA WATU WA CHINA AWASILI ARUSHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-ppbNvMTM1Ac/VRY_KvETxcI/AAAAAAAAZHw/PltRCN0oYR0/s1600/1.jpg)
Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Baraza la Ushauri wa Kisiasa la Watu wa China pia Waziri wa Idara ya Kimataifa wa kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China amewasili nchini kuja kushiriki kwenye ufunguzi wa Kongamano...
10 years ago
MichuziWAZIRI WA AFYA NA USTAWI WA JAMII AZINDUA BODI MPYA YA USHAURI WA UONGOZI WA HOSPITALI BINAFSI NCHINI
SERIKALI imesema itaainisha ukomo wa tozo kwa kila huduma inayotolewa kwa kila ngazi ya kituo cha huduma ili kudhibiti gharama za huduma za afya nchini.
Kauli hiyo ilitolewa na Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid Dar es Salaam leo asubuhi wakati akizindua bodi mpya ya ushauri ya Hospitali binafsi nchini.
Dk. Rashid alisema hatua hiyo imekuja baada ya kuwepo kwa malalamiko kuhusu huduma zinazotolewa na hospitali hizo hivyo hatua hiyo itasaidia kuboresha mfumo na...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-3DH7-jw7WQ8/UxteHrPrJZI/AAAAAAAFSE4/ZwrL-cm0tls/s72-c/unnamed+(15).jpg)
MAMA SALMA KIKWETE AZINDUA RASMI UPIMAJI WA SARATANI YA MLANGO WA KIZAZI KWA AKINA MAMA HAPA NCHINI.
![](http://3.bp.blogspot.com/-3DH7-jw7WQ8/UxteHrPrJZI/AAAAAAAFSE4/ZwrL-cm0tls/s1600/unnamed+(15).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-dqMn38Ux1gQ/UxteOODFUfI/AAAAAAAFSF8/1vTWZir4bcA/s1600/unnamed+(16).jpg)