MAMA WEMA AFANYA SHEREHE
![](http://api.ning.com:80/files/y39xTR5a6g43P1eAdvhojJYHjocVbHRvB4aNsJ-AXF9XSS6vEAeIIiv4lGzUId6Pyqm1Dh4ON1ctU-EvBmc5Ib*Nl5bgrK6Z/mamawema.jpg)
CHEREKO chereko! Siku chache baada ya supastaa ‘grade one’ wa sinema za Bongo, Wema Sepetu ‘madam’ kummwaga King of Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, mama mzazi wa mwigizaji huyo, Mariam Sepetu ameangusha sherehe ya nguvu kama ishara ya kuonesha ‘amekunwa’ na tukio hilo, Ijumaa Wikienda linashuka nayo mstari kwa mstari. Supastaa ‘grade one’ wa sinema za Bongo,...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eOkD9SMZvVpLvEXI3paQjxMCt4MdCcA*229cIJ921F6NAbRaugVCFCBhOIO4-Fj7lNRnaD5yQLHooav1s*xO7o-DBd5dcb5S/MAMAWEMA.jpg?width=650)
MAMA WEMA USIJISAU, WEWE NI MTU MZIMA!MAMA WEMA
9 years ago
Global Publishers03 Jan
Balozi Seif afanya usafi kwenye uzunduzi wa sherehe za miaka 52 ya Mapinduzi
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akishiriki na Wananchi, Vikundi ya vya usafi wa mazingira pamoja na Vikosi vya Ulinzi kwenye usafi wa mazingira hapo Kwahani Uwanja wa Farasi ikiwa ni kuanza rasmi kwa maadhimisho ya sherehe za kutimia Miaka 52 ya Mapinduzi ya Zanzibar ya mwaka 1964.
Balozi Seif akimkabidhi vifaa vya usafi wa mazingira Mwenyekiti wa Kikundi cha Usafi wa Mazingira cha Kilimani { Kilimani City } Nd. Khamis Shaali Chum { mwenye T. Shirt Nyeupe }vilivyotolewa...
10 years ago
CloudsFM10 Dec
WEMA AFANYA MOVIE NA VAN VICKER
Staa wa Bongo Movie,Wema Sepetu amesafiri kuelekea nchini Ghana kufanya filamu na mkali wa filamu nchini humo,Van Vicker filamu inaitwa Day After Death.Kupitia Instagram Van Vicker aliandika....Watch out for #DayAfterDeath (D.A.D) starring @wemasepetu and myself..#DirectorMode tanzania and ghana goin on the map for this award winning thriller.
9 years ago
Bongo Movies24 Sep
Wema: Sherehe ya Tiffah Haikunihusu
Staa asiyechuja Bongo, Wema Sepetu amefunguka kuwa hakuhudhuria kwenye 40 ya mtoto wa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’ ambaye alikuwa mpenzi wake kwa kuwa haikuwa inamuhusu.
Akizungumza na mwandishi wetu hivi karibuni baada ya kumuuliza kwa nini hakuonekana kwenye sherehe hiyo, Wema alisema asingeweza kwenda kwa kuwa haikuwa ikimuhusu hata kidogo.
“Sasa jamani ningeenda kwenye hiyo sherehe wakati haikuwa ikinihusu kwa lolote, mfano ningeenda pale kama nani sasa na wala sikuwa najua kama...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-yoehOnRZV8U/VojPBuOtFpI/AAAAAAAIQAk/3rcP76F7UAk/s72-c/IMG_3011.jpg)
Dkt. Shein afanya Uzinduzi wa Sherehe za Mapinduzi kwa Usafi wa Mazingira Kitaifa
![](http://3.bp.blogspot.com/-yoehOnRZV8U/VojPBuOtFpI/AAAAAAAIQAk/3rcP76F7UAk/s640/IMG_3011.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-23KAOMJK7pU/VojPB6P9E-I/AAAAAAAIQAo/mbKRooRlUrk/s640/IMG_3016.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TuH-vYM0DCw4Syfvcr16z34l8r3wPpjwh017EiYHz7bNPL239mGNKNum1P-e7fj40EPatai8Buwo-KM*eOVnrv6QQ1hsI4xZ/wema5.jpg?width=750)
WEMA AFANYA SHOO YA FUNGA MWAKA MATEI LOUNGE DODOMA
10 years ago
VijimamboMAMA SALMA KIKWETE KATIKA SHEREHE ZA WAMA NACHINGWEA
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1zNsEY*-CrKPkwxi5-2yE-m76BAXCZl9tkS4bRtuSNWp8*NBDXmTQmIAG2wIxoSWJxvUUfY5xUZfHXVdYmqZLwsUJFJx589r/diamond.jpg?width=650)
MAMA DIAMOND AMKARIBISHA WEMA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/j-DiiE-nbb9e7WKEW7TkLB8q*gbQ*AU2g9wgzKdjh1qmI4TslXt6RgQ5ghSE4c-HdUo5OWaCS*eu55UmWWTX6*rJ8p9bpaRL/isabela.jpg)
ISABELA AMVAA MAMA WEMA