Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAMBA CEMENT YATUMIA MIL.500 KUTENGENEZA MATENKI 2,000 YA KUHIFADHIA MAJI ILI KUPAMBANA NA CORONA

NA MWAMVUA MWINYI
KAMPUNI ya Mamba Cement chini ya Kampuni Mama ya MM Steel, imetumia kiasi cha sh.milioni 500 kutengeneza Matenki 2,000 ya kuhifadhia maji ikiwa ni mkakati wa kupambana na ugonjwa wa Corona.
Matenki hayo yaliyosambazwa nchi nzima kwa maana ya Tanzania Bara na upande wa Visiwani, Bara yamepatiwa matenki 1000 katika taasisi za Serikali, taasisi binafsi 500 wakati Tanzania Visiwani wakinufaika na matenki 500.
Hayo yalibainishwa na Msaidizi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MUHEZA KUPATA MIL 500 KUTEKELEZA MIRADI YA MAJI

Naibu Waziri wa Maji, Mh. Amos Makalla ameahidi Sh. Milioni 500 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maji kwa Halmashauri ya Wilaya ya Muheza. 

Mhe. Makalla alitoa kauli hiyo leo,  alipotembelea Wilaya hiyo kukagua utekelezaji wa miradi ya maji na hali ya huduma ya maji wilayani humo.

 “Nawapongeza sana Halmashauri yenu na uongozi wake kwa kununua mashine kwa ajili ya kuchimba visima vya maji, sijawahi kutembelea Wilaya yoyote nchini nikakuta jambo hili. Kitendo cha Halmashauri kukusanya...

 

5 years ago

AnandTech

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19  AnandTechView Full coverage on Google News

 

10 years ago

Dewji Blog

TANROADS Singida yatumia Shilingi bil 1.2 /- kutengeneza barabara

DSC02592

Kaimu meneja TANROADS mkoa wa Singida, Eng.Leonard Kapongo,akitoa ufafanuzi juu ya matengenezo ya barabara za ngazi ya mkoa,kwenye kikao cha 37 cha bodi ya barabara kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Social Training Centre mjini Singida.

Na Nathaniel Limu, Singida

WAKALA  wa barabara TANROADS Mkoa wa Sigida imetumia zaidi ya shilingi 1.2 bilioni  kugharamia matengenezo ya kawaida kwa barabara kuu yenye urefu wa kilometa 589.2 kati ya Aprili na Juni mwaka huu.

Hayo  yamesemwa na...

 

9 years ago

Mtanzania

Kinondoni yatumia milioni 500/- kukabili kipindupindu

DSC_0092NA NORA DAMIAN, DAR ES SALAAM

HALMASHAURI ya Manispaa ya Kinondoni imetumia zaidi ya Sh milioni 500 kupambana na   kipindupindu tangu kilipozuka Agosti 15 mwaka huu.

Hadi sasa watu 1194 wameugua ugonjwa huo katika Manispaa hiyo na 17 wamefariki dunia.

Akizungumza   baada ya kupokea msaada wa dawa na vifaa tiba uliotolewa na Benki ya CRDB, Mkurugenzi wa Manispaa hiyo,   Mussa Natty, alisema kila siku kuna wagonjwa wapya wanaripotiwa na jana walikuwa 15.

Msaada huo wenye thamani ya Sh milioni...

 

11 years ago

Habarileo

Serikali yatumia bil. 500/- miradi ya Matokeo Makubwa

SERIKALI imetumia zaidi ya Sh bilioni 500 katika utekelezaji wa miradi ya Matokeo Makubwa Sasa (BRN) katika kipindi cha miezi sita, kati ya Julai na Desemba mwaka jana.

 

5 years ago

Michuzi

MGODI WA BARRICK BUZWAGI WAKABILIANA NA VIRUSI VYA CORONA KWA KUTOA MATENKI SHINYANGA

Na Marco Maduhu- Malunde 1 BlogMKUU wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko amekabidhi Matanki ya kuoshea mikono ‘washing container’ yaliyotolewa na Kampuni ya Uchimbaji wa madini ya dhahabu ya Barrick kupitia mgodi wa Buzwagi uliopo wilayani Kahama ili kuendeleza mapambano ya kukabiliana na maambukizi ya virusi vya Corona katika halmashauri ya wilaya ya Shinyanga na manispaa ya Shinyanga.
Zoezi la kukabidhi matenki hayo mawili ya maji limefanyika kwenye Ofisi za mkuu wa wilaya ya Shinyanga...

 

11 years ago

Habarileo

Tanroads yatumia mil.800/- Mianzini

WAKALA wa Barabara (Tanroads) Mkoani Arusha imetumia Sh milioni 800 kwa ajili ya kukarabati miundombinu, ambayo imekuwa ikiharibiwa na wananchi katika eneo la taa za kuongozea magari la Mianzini na Sanawari.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Juakihuma yatumia mil. 60/- kuhifadhi mazao

JUMUIYA  ya Wakulima wa Kilimo Hai wa Usambara Mashariki (Juakihuma) wilayani Muheza na Korogwe, Tanga imetumia  zaidi ya sh milioni 60  kwa ujenzi wa ghala la kuhifadhia mazao ya wakulima...

 

11 years ago

Tanzania Daima

SEMA yatumia mil. 25/- kusaidia wakulima

SHIRIKA la Mpango  Endelevu wa Uboreshaji Mazingira (SEMA), limetumia zaidi ya sh milioni 25 kununua vifaa vyenye ujumbe utakaowasaidia wakulima kubadilika ili kuendana na mabadiliko ya tabia nchi. Hayo yamesemwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani