MAMBA CEMENT YATUMIA MIL.500 KUTENGENEZA MATENKI 2,000 YA KUHIFADHIA MAJI ILI KUPAMBANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-OKHWjNyiBXk/XtpOyYaU4qI/AAAAAAALsug/qb5AmY5ZpKUwYA6rDsDNQ70u7D3b8N3ZwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200604-WA0027.jpg)
NA MWAMVUA MWINYI
KAMPUNI ya Mamba Cement chini ya Kampuni Mama ya MM Steel, imetumia kiasi cha sh.milioni 500 kutengeneza Matenki 2,000 ya kuhifadhia maji ikiwa ni mkakati wa kupambana na ugonjwa wa Corona.
Matenki hayo yaliyosambazwa nchi nzima kwa maana ya Tanzania Bara na upande wa Visiwani, Bara yamepatiwa matenki 1000 katika taasisi za Serikali, taasisi binafsi 500 wakati Tanzania Visiwani wakinufaika na matenki 500.
Hayo yalibainishwa na Msaidizi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-DmiXLrKF4Lg/VD2AZI-ukCI/AAAAAAAGqg0/0bmxLjkTMjE/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
MUHEZA KUPATA MIL 500 KUTEKELEZA MIRADI YA MAJI
Mhe. Makalla alitoa kauli hiyo leo, alipotembelea Wilaya hiyo kukagua utekelezaji wa miradi ya maji na hali ya huduma ya maji wilayani humo.
“Nawapongeza sana Halmashauri yenu na uongozi wake kwa kununua mashine kwa ajili ya kuchimba visima vya maji, sijawahi kutembelea Wilaya yoyote nchini nikakuta jambo hili. Kitendo cha Halmashauri kukusanya...
5 years ago
AnandTech26 Mar
Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19
10 years ago
Dewji Blog08 Dec
TANROADS Singida yatumia Shilingi bil 1.2 /- kutengeneza barabara
Kaimu meneja TANROADS mkoa wa Singida, Eng.Leonard Kapongo,akitoa ufafanuzi juu ya matengenezo ya barabara za ngazi ya mkoa,kwenye kikao cha 37 cha bodi ya barabara kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Social Training Centre mjini Singida.
Na Nathaniel Limu, Singida
WAKALA wa barabara TANROADS Mkoa wa Sigida imetumia zaidi ya shilingi 1.2 bilioni kugharamia matengenezo ya kawaida kwa barabara kuu yenye urefu wa kilometa 589.2 kati ya Aprili na Juni mwaka huu.
Hayo yamesemwa na...
9 years ago
Mtanzania30 Sep
Kinondoni yatumia milioni 500/- kukabili kipindupindu
NA NORA DAMIAN, DAR ES SALAAM
HALMASHAURI ya Manispaa ya Kinondoni imetumia zaidi ya Sh milioni 500 kupambana na kipindupindu tangu kilipozuka Agosti 15 mwaka huu.
Hadi sasa watu 1194 wameugua ugonjwa huo katika Manispaa hiyo na 17 wamefariki dunia.
Akizungumza baada ya kupokea msaada wa dawa na vifaa tiba uliotolewa na Benki ya CRDB, Mkurugenzi wa Manispaa hiyo, Mussa Natty, alisema kila siku kuna wagonjwa wapya wanaripotiwa na jana walikuwa 15.
Msaada huo wenye thamani ya Sh milioni...
11 years ago
Habarileo15 Mar
Serikali yatumia bil. 500/- miradi ya Matokeo Makubwa
SERIKALI imetumia zaidi ya Sh bilioni 500 katika utekelezaji wa miradi ya Matokeo Makubwa Sasa (BRN) katika kipindi cha miezi sita, kati ya Julai na Desemba mwaka jana.
5 years ago
MichuziMGODI WA BARRICK BUZWAGI WAKABILIANA NA VIRUSI VYA CORONA KWA KUTOA MATENKI SHINYANGA
Zoezi la kukabidhi matenki hayo mawili ya maji limefanyika kwenye Ofisi za mkuu wa wilaya ya Shinyanga...
11 years ago
Habarileo31 May
Tanroads yatumia mil.800/- Mianzini
WAKALA wa Barabara (Tanroads) Mkoani Arusha imetumia Sh milioni 800 kwa ajili ya kukarabati miundombinu, ambayo imekuwa ikiharibiwa na wananchi katika eneo la taa za kuongozea magari la Mianzini na Sanawari.
11 years ago
Tanzania Daima07 Jan
Juakihuma yatumia mil. 60/- kuhifadhi mazao
JUMUIYA ya Wakulima wa Kilimo Hai wa Usambara Mashariki (Juakihuma) wilayani Muheza na Korogwe, Tanga imetumia zaidi ya sh milioni 60 kwa ujenzi wa ghala la kuhifadhia mazao ya wakulima...
11 years ago
Tanzania Daima17 Jun
SEMA yatumia mil. 25/- kusaidia wakulima
SHIRIKA la Mpango Endelevu wa Uboreshaji Mazingira (SEMA), limetumia zaidi ya sh milioni 25 kununua vifaa vyenye ujumbe utakaowasaidia wakulima kubadilika ili kuendana na mabadiliko ya tabia nchi. Hayo yamesemwa...