Mambo 5 tofauti katika #uchaguzi2015
Je unafahamu mambo matano makuu tofauti yanayoshuhudiwa katika #uchaguzi2015 ?
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili27 Oct
UCHAGUZI2015:TANZANIA YAAMUA
11 years ago
Habarileo04 Apr
Watu 6 wafa katika matukio tofauti
WATU sita wamekufa katika matukio tofauti, ikiwemo maiti ya mtoto mchanga wa kiume iliyookotwa ikiwa imewekwa katika mfuko wa nailoni na kutupwa maeneo ya Pugu Kajiungeni, Dar es Salaam.
11 years ago
Mwananchi15 Feb
Watatu wafa katika matukio tofauti
10 years ago
BBCSwahili07 Oct
Maoni kuhusu #uchaguzi2015 Zanzibar
11 years ago
Habarileo13 Jul
135 wauawa katika matukio tofauti Mbeya
WATU 135 wameuawa katika matukio tofauti yaliyotokea mkoani Mbeya katika kipindi cha kuanzia Januari hadi Julai mwaka huu.
11 years ago
Habarileo11 Dec
Wanne Moro wafa katika matukio tofauti
WATU wanne wamekufa na watano kujeruhiwa mkoani Morogoro katika ajali tofauti ikiwemo ya watoto wawili kufa baada ya nyumba waliokuwa wamelala kuteketea kwa moto. Kwa mujibu wa Kaimu kamanda John Laswai tukio hilo lilitokea Desemba 7 saa 4 usiku katika maeneo ya Mbuga Tarafa ya Ulanga Wilayani Uranga Mkoani hapa.
11 years ago
Dewji Blog02 Jul
Watano wafa katika matukio tofauti Singida
Kamanda wa polisi Mkoa wa Singida, SACP, Geofrey Kamwela.
Na Mwandishi wetu, Singida
Watu watano wakiwemo watatu wa familia moja,wameuawa katika matukio tofauti,likiwemo la wanafamilia hao kukatwa katwa kwa mapanga sehemu mbalimbali za miiili yao na watu wasiofahamika.
Tukio hilo la mauaji lililowahusisha wanandoa hao lilitokea siku tano baada ya kuuawa kikatili kwa wanandoa wengine wawili,Bwana Ramadhan Lyanga (80) na Bi Aziza Ali (62) wakazi wa wilayani Iramba.
Akielezea matukio hayo,...
9 years ago
StarTV05 Jan
Watu 8 wafariki Dunia katika matukioa tofauti Dodoma.
Watu nane wamefariki dunia katika matukio tofauti ambapo kati yao sita wa Familia moja katika eneo la Kibaigwa Panda Mbili Dodoma kufatia gari walilokuwa wakisafilia lenye namba za usajili T 516 DEP kusombwa na maji kutokana na mvua kubwa iliyokuwa ikinyesha maeneo ya kiteto.
Aidha Mmoja kati yawaliofariki ni msaidizi wa Mkuu wa jeshi la Polisi nchini afisa Mkaguzi wa Polisi Inspeta Gerald Ryoba ambaye alikuwa akitoka mkoani Geita kuelekea jijini Dar es salaam akiwa na familia yake...