Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maoni kuhusu #uchaguzi2015 Zanzibar

Mwandishi wetu Sammi Awami yuko kisiwani Zanzibar kuwaulizeni maoni yenu kuhusu uchaguzi ujao

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Maoni ya Watanzania kuhusu kura za maoni

Watanzania wamegawanyika kuhusu kura za maoni ambazo zinafanywa nchini humo huku uchaguzi mkuu ukikaribia.

 

11 years ago

Vijimambo

MAAZIMIO YA KAMATI KUU YA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO KUHUSU MCHAKATO WA KATIBA NA KURA YA MAONI KUHUSU KATIBA INAYOPENDEKEZWA

Dar es Salaam, Oktoba 16, 2014
UTANGULIZI
Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) imekutana katika kikao chake cha kawaida na kujadili, pamoja na mambo mengine, mchakato wa Katiba Mpya. Kamati Kuu imepata taarifa ya kina juu ya mchakato ulivyoendeshwa katika hatua mbali mbali wakati wa kutungwa kwa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba na marekebisho yake na, baadaye, Sheria ya Kura ya Maoni.
Aidha, Kamati Kuu imepata taarifa ya mchakato ulivyokuwa katika hatua ya kuundwa kwa Tume...

 

10 years ago

BBCSwahili

UCHAGUZI2015:TANZANIA YAAMUA

Huku matokeo ya uchaguzi wa urais nchini Tanzania yakiendelea kutolewa BBC inaendelea kukufahamisha kuhusu matukio tofauti nchini humo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maoni ya wananchi kuhusu Muungano

JUMATANO iliyopita tulichapisha mojawapo ya hotuba za Baba wa Taifa, hayati Mwalimu Julius Nyerere aliyoitoa mwaka 1995 kuhusu Muungano. Kwa mtazamo wake, Muungano ukivunjika, matokeo yake ni kusambaratika kwa Watanganyika...

 

11 years ago

Zitto Kabwe, MB

Maoni kuhusu Muungano v Shirikisho

Maoni kuhusu Muungano v Shirikisho

Zitto Kabwe, Mjumbe, BMK

Iwapo Tanzania ni Shirikisho (Federation) au ni Muungano (Union) ni jambo ambalo limekuwa likuzua utata kwa miaka mingi. Hivi sasa katika vikao vya Kamati za Bunge maalumu la Katiba jambo hili limezua mjadala mkubwa ambapo baadhi ya Wajumbe wanapendekeza kuwa neno Shirikisho litoke kwenye sura ya kwanza ya Rasimu ya Katiba na wengine wakipendekeza libakie au hata kuweka wazi kabisa kuwa Tanzania ni Jamhuri ya Shirikisho la...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mambo 5 tofauti katika #uchaguzi2015

Je unafahamu mambo matano makuu tofauti yanayoshuhudiwa katika #uchaguzi2015 ?

 

10 years ago

GPL

11 years ago

BBCSwahili

Kura ya maoni kuhusu Crimea si halali

Umoja wa mataifa umetangaza hatua ya Urusi kuandaa kura ya maoni kuhusu eneo la Crimea ni haramu, unaunga mkono uhuru wa Ukraine.

 

10 years ago

Mwananchi

Ifanyike tafakuri kuhusu Kura ya Maoni

Kama ilivyotarajiwa na wengi, wingu zito linazidi kutanda kuhusu uwezekano wa kufanyika Kura ya Maoni katika muda uliopangwa, yaani Aprili 30, mwaka huu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani