Maoni kuhusu #uchaguzi2015 Zanzibar
Mwandishi wetu Sammi Awami yuko kisiwani Zanzibar kuwaulizeni maoni yenu kuhusu uchaguzi ujao
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili25 Sep
Maoni ya Watanzania kuhusu kura za maoni
11 years ago
Vijimambo18 Oct
MAAZIMIO YA KAMATI KUU YA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO KUHUSU MCHAKATO WA KATIBA NA KURA YA MAONI KUHUSU KATIBA INAYOPENDEKEZWA

UTANGULIZI
Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) imekutana katika kikao chake cha kawaida na kujadili, pamoja na mambo mengine, mchakato wa Katiba Mpya. Kamati Kuu imepata taarifa ya kina juu ya mchakato ulivyoendeshwa katika hatua mbali mbali wakati wa kutungwa kwa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba na marekebisho yake na, baadaye, Sheria ya Kura ya Maoni.
Aidha, Kamati Kuu imepata taarifa ya mchakato ulivyokuwa katika hatua ya kuundwa kwa Tume...
10 years ago
BBCSwahili27 Oct
UCHAGUZI2015:TANZANIA YAAMUA
11 years ago
Tanzania Daima22 Jan
Maoni ya wananchi kuhusu Muungano
JUMATANO iliyopita tulichapisha mojawapo ya hotuba za Baba wa Taifa, hayati Mwalimu Julius Nyerere aliyoitoa mwaka 1995 kuhusu Muungano. Kwa mtazamo wake, Muungano ukivunjika, matokeo yake ni kusambaratika kwa Watanganyika...
11 years ago
Zitto Kabwe, MB21 Apr
Maoni kuhusu Muungano v Shirikisho
Maoni kuhusu Muungano v Shirikisho
Zitto Kabwe, Mjumbe, BMK
Iwapo Tanzania ni Shirikisho (Federation) au ni Muungano (Union) ni jambo ambalo limekuwa likuzua utata kwa miaka mingi. Hivi sasa katika vikao vya Kamati za Bunge maalumu la Katiba jambo hili limezua mjadala mkubwa ambapo baadhi ya Wajumbe wanapendekeza kuwa neno Shirikisho litoke kwenye sura ya kwanza ya Rasimu ya Katiba na wengine wakipendekeza libakie au hata kuweka wazi kabisa kuwa Tanzania ni Jamhuri ya Shirikisho la...
10 years ago
BBCSwahili07 Oct
Mambo 5 tofauti katika #uchaguzi2015
10 years ago
GPL20 Feb
11 years ago
BBCSwahili28 Mar
Kura ya maoni kuhusu Crimea si halali
10 years ago
Mwananchi22 Jan
Ifanyike tafakuri kuhusu Kura ya Maoni