Mambo haya yanairudisha nyuma sekta ya elimu
Kila anayefuatilia hali ya mambo nchini hasa yanayohusu jamii, anatambua kuwa sekta ya elimu nchini inakabiliwa na changamoto nyingi, ambazo Watanzania wote kwa umoja wetu hatuna budi kupambana kuzikabili kwa maendeleo ya Taifa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi18 Sep
Shah: Mizengwe inarudisha nyuma biashara sekta ya ujenzi
9 years ago
StarTV26 Nov
Haki Elimu yazindua jopo la ushauri Uboreshaji Sekta Ya Elimu
Serikali kupitia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Nchini imeshauriwa kuyafanyia kazi mapendekezo yanayotolewa na wadau wa elimu katika sekta hiyo pamoja na kuboresha Idara ya Ukaguzi Shuleni ili kuhakikisha elimu inatolewa kwa usahihi.
Imeelezwa kuwa kwa kuzingatia hayo kutasaidia kuboresha Sekta ya elimu nchini hususani katika Shule za Umma, ambazo baadhi ya wazazi wamekuwa wakikwepa kuwapeleka watoto wao kutokana na dhana ya kuwa na elimu duni.
Katika uzinduzi wa jopo la washauri...
9 years ago
Dewji Blog17 Sep
Mabadiliko haya ndani ya sekta ya habari ni hazina kubwa kwa nchi
Na Mwandishi wetu
Sekta ya Habari ni moja ya sekta za huduma za jamii inayotoa huduma ambayo ni haki ya msingi ya raia kama ilivyotamkwa kwenye Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977.
Ibara ya 18 (2) ya Katiba inasema kuwa kila raia anayo haki ya kupewa taarifa wakati wowote kuhusu matukio mbalimbali nchini na duniani kote ambayo ni muhimu kwa maisha na shughuli za wananchi na pia juu ya masuala muhimu kwa jamii.
Aidha, kutafuta na kupewa habari kunatambuliwa duniani kote...
10 years ago
Mwananchi09 May
Mambo haya manne, shemeji atatuachaje?
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-WFOn7KcHduE/VLWKMV5I4PI/AAAAAAADVeg/EfQKj3gW2xg/s72-c/Katuni%2BJan%2B11.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VittCBMQg0LbBzVeMmI0LuiEs5oEO2JeUn37IvzrcrY*ihbS*vnS3dJJYzYYg3nFgpdXwcR5LYR3Tv*vk8myRASSR5YBlatA/CJ42RToWwAAWefl.jpglarge.jpg?width=650)
MAMBO HAYA MAGUFULI ATAJIFUNZIA IKULU
10 years ago
Michuzi06 Dec
10 years ago
Mwananchi28 Apr
Mambo haya yanachangia uhaba wa walimu wa sayansi