Mambo unayoweza kuyafanya kuboresha afya yako 2016
HERI YA MWAKA MPYA! Ni kawaida mtu kujiwekea malengo yake kila unapoanza mwaka, lakini kupitia kona hii ya masuala ya afya, napenda kushea na wewe mambo kadhaa unayoweza kuazimia na kuyafanya mwaka huu na kuboresha afya yako.
Elewa kwamba afya yako iko mikononi mwako, tabia ya maisha unayoishi ndiyo inayoamua afya yako iweje. Chakula unachokula ndicho kinachoamua mustakabali wa afya yako. Kama ulikuwa unayafanya haya, azimia kubadilika mwaka huu:
ACHA SODA
Unene wa kupita kiasi, kisukari,...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi27 Jul
Je,unajua jinsi ya kuyafanya maisha yako yawe na shangwe ?
10 years ago
Mwananchi15 Mar
Je, unajua namna ya kuboresha haiba yako?
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-CkyPFx_doiA/Vef6c2Hb1KI/AAAAAAAH2Ac/CY2yR8zY9cQ/s72-c/Health%2BPix%2B2.jpg)
SERIKALI YAHAIDI KUZIDI KUPIGA JEKI WAFANYAKAZI WA AFYA YA JAMII KUBORESHA AFYA YA JAMII VIJIJINI
Akizungumza wakati wa ufunguzi wa semina ya wadau wa mradi wa mafunzo ya wafanyakazi wa afya ya jamii (Community Health Worker Learning Agenda Project - CHW-LAW) jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Mtendaji (idara ya uzazi na afya ya mtoto)...
9 years ago
Dewji Blog01 Jan
NHIF waianza 2016 kwa kuboresha huduma zao
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Michael Mhando akifafanua jambo kwa Waandishi wa Habari jana Jijini Dar es salaam (hawapo pichani).
Mkurugenzi wa Masoko, Elimu kwa Umma na Utafiti Rehani Athumani akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu maboresho katika Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya.
Waandishi wa Habari wakifatilia taarifa iliyokuwa ikitolewa na Uongozi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) jana Jijini Dar es salaam.(Picha na Jacquiline...
9 years ago
Global Publishers22 Dec
Shoga; mwaka 2016 uwe wa kuboresha penzi lenu!
Asalaam aleykhum! Shoga yangu bila shaka unaelewa kwamba mwaka 2015 uliokuwa na matukio makubwa ya kihistoria duniani na hapa nchini kwetu kufuatia kuwepo uchaguzi mkuu uliomuwezesha Dk. John Pombe Magufuli ‘Mzee wa kutumbua majipu’ kuingia Ikulu ya Magogoni ndo unaishia.
Ni wazi kwamba unatafakari na kufanya tathmini ya mafanikio uliyoyapata katika mwaka huu au namna ambavyo hujafanya kitu chochote cha maendeleo huku ukishuhudia majirani zako wakijenga nyumba, kununua magari, kusomesha...
9 years ago
MichuziNHIF kuanza mwaka mpya wa 2016 kwa kuboresha huduma zao
Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) unategemea kuboresha baadhi ya huduma zao ifikapo 2016 ili kuongeza ufanisi katika utoaji wa huduma hizo kwa wananchi.
Akiyasema hayo leo Jijini Dar es salaam Kaimu Mkurugenzi Mkuu Michael Mhando amezitaja baadhi ya huduma ambazo wana mpango wa kuziboresha kwa mwaka 2016 zikiwemo za kuongeza huduma ya matibabu ya moyo kwa kutumia bima ya NHIF,kutoa mikopo ya dawa,kurekebisha mfumo wa ulipaji wa baadhi ya huduma pia kubadili...
10 years ago
Mwananchi11 Nov
Bima ya Afya washauriwa kuboresha
11 years ago
Tanzania Daima22 May
CCBRT, Canada kuboresha afya ya uzazi
HOSPITALI ya CCBRT na Serikali ya Canada kupitia Idara ya Mambo ya Nje, Biashara na Maendeleo ya Canada (DFATD), wameingia makubaliano ya dola milioni 10.2 za Canada kwa ajili ya...